Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Mzee alikua ana Jenga kiwanda ambacho walemavu ndio wangekua wafanyakazi hapo!!..Sasa watoto wake ndio jukumu lao kutimiza Ndoto ya Mzee!!...Huyu Dada amekuja kuharibu na kuchelewasha mambo mengi sana!!Miss Pablo nina shaka na wewe kwa jinsi unavyohemka na Matusi kwa mtu asiyekutukana. Itakuwa wewe ni kati ya wanafamilia ya Reginald.
Hebu Muheshimuni huyo Dada ni Mama yenu pia. Hivyo tu yaani!
Aisee kama ndio hivi basi inafikirisha kweli. Na kama yeye Jack na mwanasheria wake walighushi hakika atakuwa kiumbe cha ajabu sana. So far nitaendelea kutokuhukumu upande wowote maana sina uhakika ni yupi yupo sahihiIf that was the case then, why mzee Mengi alimpa ukurugenzu binti yake Regina wa East African Television? Kwanini yule kijana wake alimpa kua director of finance wa makampuni yake? Again, ni kwanini wosia ulisajiriwa kwa mwana sheria baada ya KIFO chake? Halafu na wewe unaamini kabisa mzee Mengi aandike wosia halafu mwana sheria wake atokee kabila moja na Jack? Mkuu unless na wewe uwe mfaidika wa hicho anacho kidai Jack nje ya hapo akili ya kawaida INAKATAA labda tu tuwe sio watu tunao fikiria vizuri
Zipo kwenye mitandao (Instagram, Twitter na Facebook)Kwani Jacky hana mali zake mwenyewe mpaka alilie mali za marehemu?
Nimeandika kujibu comments zinazomuita mdanganyaji.Ndio maana umeandika bila ya kusoma kuna nini??!!..Huyo Dada ambae unasema ana haki kashindwa mahakamani kwasababu usia umeonekana sio Sawa na pia alifoji sahihi za marehemu!!.. Lakini mbaya zaidi ni nature ya Biashara za family ya huyu Mzee na Dada wa Mjini!!..Ina onyesha Dada alikua kwenye mahusiano lakini hakujua ana ishi na Nani?!!..Hadi kuzalishwa bado hakujua Tu!!..Ni aibu hii
Utakua very close friend wake au wa mgangaNdumba, hakushikiwa bunduki alitundikwa juu ya mibuyu sana na kulishwa uchafu wa chini
Utakua very close friend wake au wa mganga
Hivi Sukuma gang ndio wakina nani?Business partner wangu alitaka kuuziwa moja kati ya vitalu vya dhahabu mwaka jana Geita na kiongozi wa serikali kutoka sukuma gang tulivyofatilia tukagundua ni Mali za late Dr Mengi tukaachana navyo huyu mwanamke anatumiwa na hao baadhi ya sukuma gang ili waendeleze issue zao za kitapeli
Kuna watu wanajua Mali zikiwa mikononi mwa huyu mbulula wats Nunua kwa bei Ya kutupwa na wao watanufaika
Itakua ajabu kama sahihi ni fake anawezaje kushinda NduguKulikoni huku nasikia Jack kapindua meza kibabe.
Kama jaki ni dada yako mwambie akazane kudanga huko dubai mpaka mbususu iwe nyekundu nduuu... huku wamachame tumejipanga barabara. Halaf kuwa na adabu. Uliona wapi malaya akaheshimika. Jiangalie weweMiss Pablo nina shaka na wewe kwa jinsi unavyohemka na Matusi kwa mtu asiyekutukana. Itakuwa wewe ni kati ya wanafamilia ya Reginald.
Hebu Muheshimuni huyo Dada ni Mama yenu pia. Hivyo tu yaani!
Ameshinda nini ? Ameomba marejeo ya case yakeItakua ajabu kama sahihi ni fake anawezaje kushinda Ndugu
Huyu kapagawa huyu. Hawa ni wale watu hawajapata exposure vyena ya dunia ya kujua walimwengu na mambo yao mabaya. Huwa wanaamini watu wote ni wema. Hawaijui michezo michafu thats why unaona anaongea hv. Muda utampa nafasi zaidi ya kuwajua walimwenguMzee alikua na familia kubwa hebu Fikiria watu wenye ulemavu waliokua wanapewa misaada na Mzee hebu Fikiria speech za Viongozi wa serikali na Taasisi nyingine kuhusu Maisha yake!!..Uliwahi kuona Chozi la Amiri jeshi mkuu wewe (JPM alitoa Chozi wakati ana muaga)
Anajulia wapi haya. Lile genge la wajane limetawanyika vibaya mno. Ila bashote alikua anawapenda wajane jamani[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Mzee alikua ana Jenga kiwanda ambacho walemavu ndio wangekua wafanyakazi hapo!!..Sasa watoto wake ndio jukumu lao kutimiza Ndoto ya Mzee!!...Huyu Dada amekuja kuharibu na kuchelewasha mambo mengi sana!!
Mkuu. Dubia unavyoiona sivyo ilivyo. Huyo jaki muone tu kwenye insta na akiongea kwa unyenyekevu. Acha kbs.Aisee kama ndio hivi basi inafikirisha kweli. Na kama yeye Jack na mwanasheria wake walighushi hakika atakuwa kiumbe cha ajabu sana. So far nitaendelea kutokuhukumu upande wowote maana sina uhakika ni yupi yupo sahihi
Hili ndo lengo lake toka awali. Alitaka auze kila kitu akimbie. Muha akawauze wasomi vile kirahisi? Asubutuu. Na migodi ameolewa ameikuta. She is very dumbBusiness partner wangu alitaka kuuziwa moja kati ya vitalu vya dhahabu mwaka jana Geita na kiongozi wa serikali kutoka sukuma gang tulivyofatilia tukagundua ni Mali za late Dr Mengi tukaachana navyo huyu mwanamke anatumiwa na hao baadhi ya sukuma gang ili waendeleze issue zao za kitapeli
Kuna watu wanajua Mali zikiwa mikononi mwa huyu mbulula wats Nunua kwa bei Ya kutupwa na wao watanufaika
Hatari sana hata kipindi kile mange alivotaka kumwaga Siri Kikwete aliingilia kati, kwanini askae chini wamalize haya mambo. Hao sukuma gang watamtapeli hivo vitu akiachiwa mwenyewe aiseeAnasaidiwa na Jk na baadhi ya sukuma ganga hela Hana anagawa K