Na yeye mbona alikuwa hajafikiria watoto wa mumewe? Inamaana Mali zote atafute mengi na mkewe mkubwa afu bi mdogo ndo aje achukue Mali na familia yake, eti hata wasimamizi wawe ndugu wa klyn, kwahiyo marehemu yeye hakuwa na mtu hata mmoja wa upande wake?Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Dunia nzima inamshangaa.Lakini Wamachame ndo ma mastermind wa system atakipata anachotafutaAridhike na anachokipata huyu mwanamke, unataka ulivyovikuta wkt hujatafuta kulikoni.
Katika vitu nachukia ni dhuluma kama hizi. Ngoja nicheki na family. Kitamkuta kitu huyu shankupeBinti ni fala huyu Kuna mtu au watu wanampotosha au anajipotosha mwenyewe.
kwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!Na yeye mbona alikuwa hajafikiria watoto wa mumewe? Inamaana Mali zote atafute mengi na mkewe mkubwa afu bi mdogo ndo aje achukue Mali na familia yake, eti hata wasimamizi wawe ndugu wa klyn, kwahiyo marehemu yeye hakuwa na mtu hata mmoja wa upande wake?
Ktk Mjane Jac naye mjane, kachangia nini kwenye utajiri wa Mengi?kwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!
hiyo sio haki, maana wosia aliutoa marehemu na yeye alikuwa anajua fika kwa nini aliamua kufanya hivyo, kwa sababu tayari walishapata share yao.
Mahakama lazima iangalie huyu mjane anavyo nyanyasika kisa eti hakuchuma mali na marehemu.
kila siku tunalalamika kuwa wajane wanyanyaswa na ndugu wa marehemu, sasa hebu tazameni Jackline Mengi anavyo taabishwa na kuyumbishwa.
huu ni unyanyasaji
Mahakama imtendee Haki huyu mjane.
ukiua kwa upanga? haya ni matokeo ya maisha aliyoishi na hao watoto wa marehemu pindi marehemu akiwa hai,Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Huyo mjane hakutafuta chochote kile katika maisha ya marehemu na usifananishe mke aliyetoka from zero to 100 na mumewe kisha akafariki na ndugu wakachukua mali.kwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!
hiyo sio haki, maana wosia aliutoa marehemu na yeye alikuwa anajua fika kwa nini aliamua kufanya hivyo, kwa sababu tayari walishapata share yao.
Mahakama lazima iangalie huyu mjane anavyo nyanyasika kisa eti hakuchuma mali na marehemu.
kila siku tunalalamika kuwa wajane wanyanyaswa na ndugu wa marehemu, sasa hebu tazameni Jackline Mengi anavyo taabishwa na kuyumbishwa.
huu ni unyanyasaji
Mahakama imtendee Haki huyu mjane.
Ulikuwa halali, ndio ukataliwe na mahakama kuu mkuu? Kwanza sheria gani inaruhusu mnufaika wa wosia kuhifadhi wosia?huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Ila Mengi naweza sema hakufikiria vyema kabisa. Kama kweli alidhamiria kumuachia Jacky na wanae wadogo mali angewamilikisha kisheria kabla hajafa.
Huwezi kuniambia na akili zake zote za biashara alishindwa ku-foresee hizi drama. Amemtakia matatizo tu huyu binti.
Bora mzee Mengi vile alivyofanya kuliko angethubutu kumuandikisha kabisa watu kama wale ni hatari angeweza hata kumkimbia au hata kumdedisha mapema.Ila Mengi naweza sema hakufikiria vyema kabisa. Kama kweli alidhamiria kumuachia Jacky na wanae wadogo mali angewamilikisha kisheria kabla hajafa.
Huwezi kuniambia na akili zake zote za biashara alishindwa ku-foresee hizi drama. Amemtakia matatizo tu huyu binti.
Mwarabu alikuwepo Dubai wakati mzee mauti yanamfika.Yule mwarabu wake wa Element nudge anakaendesha haka kabinti
waache kabisa kumtisha Mjane wa Marehemu.ukiua kwa upanga? haya ni matokeo ya maisha aliyoishi na hao watoto wa marehemu pindi marehemu akiwa hai,
Yani apande ndulele avune mpunga? pia nafikiri kama ulifuatilia kesi vizuri, kuna viashiria dhahiri kabisa ambavyo vilionesha mjane aliandika wosia mwenyewe, sema watoto wa marehemu waliplay fair......
Pia watoto wa marehemu, wakiamua kumfungulia mashtaka ya kutoa taarifa za mgonjwa, bila ridhaa ya ukoo, pili kufoji wosia sidhani kama atatoka salama
sasa ajiandae mapema, akishindwa hii kesi itakuwa the worst kwake.
Yeye si nasikia kajipa uenyekiti wa chama cha wajane?? Pili kwenye hiyo familia yeye alikuja na mali gani labda??Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Kila mpenda haki, wakina nani hao?waache kabisa kumtisha Mjane wa Marehemu.
kila mpenda Haki yuko pamoja na mjane