binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Ukiona hivyo hakutaka.... Kwanini hakutaka mimi na wewe hatujui. Ila naamini kabisa kuna vipo alivyopewa ambavyo havihusu hii familia nyingine.Ila Mengi naweza sema hakufikiria vyema kabisa. Kama kweli alidhamiria kumuachia Jacky na wanae wadogo mali angewamilikisha kisheria kabla hajafa.
Huwezi kuniambia na akili zake zote za biashara alishindwa ku-foresee hizi drama. Amemtakia matatizo tu huyu binti.
Ukiona hivyo hakutaka.... Kwanini hakutaka mimi na wewe hatujui. Ila naamini kabisa kuna vipo alivyopewa ambavyo havihusu hii familia nyingine.
Why Marejeo(Review) ? si anaomba rufani?(appeal) au marejeo siyo reviewSalaam Wakuu,
Ile kesi iliyofunguliwa na Mjane wa Marehemu Ragnard Mengi, Jackline Mengi dhidi ya Mtoto wa Mengi na wenzake watano inataraji kuanza kusikilizwa katika mahakama ya rufaa mwishoni mwa mwezi huu.
Kesi hiyo ambayo ni marejeo namba 332/1/2021 iko mbele ya jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Jacob Mwambegele.
Katika kesi ya marejeo Jackline Mengi anapinga maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyobatilisha wosia wa Regnard Mengi. Pia, Jackline anapinga uteuzi wa Benjamini Mengi na mwenzie kama wasimamizi wa mirathi ya marehemu Regnard Mengi.
PIA, SOMA: Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua
View attachment 1933053
Haya mambo ni unpredictable, anawez kushinda. Kidogo Court of appeal kuna haki inatendeka ( ?????)Tripu hii atakutana na hiroshima
Jacky ana uroho wa mali ambao sio wa nchi hii misimajumbasitaHuyu anataka nin mbona anatuaibisha sisi wajane
Jacky amekua ni kama mwiba kwa familia ya mengi, ivi Abdiel na Regina wanashindwa hata kuajiri professional hitman kutoka Marekani, ammalize Jacky kwa mazingira itakayoonekana amekufa kifo cha kawaida, maana at the end, Nahis kwa tamaa alizonazo jack anaeza hata kudhuru watoto wakubwa wa Mengi FRESHMANVipo. Jack ana appartments nzuri sana makongo juu ghorofa safi kabisa.. na mpaka leo kodi anapokea jack.. nazani zingekuwa za familia nzima wangeshampora usimamizi wa hizo appartments jack
Wosia ambao mdangaji ndie mrithi wa mali aliyoikuta imetengenezwa,akarithi kwa baba yakehuyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Huyo mdangaji mwenzake mana povu la omo kg 25Na yeye mbona alikuwa hajafikiria watoto wa mumewe? Inamaana Mali zote atafute mengi na mkewe mkubwa afu bi mdogo ndo aje achukue Mali na familia yake, eti hata wasimamizi wawe ndugu wa klyn, kwahiyo marehemu yeye hakuwa na mtu hata mmoja wa upande wake?
Si akarithi za marehemu baba yake,hata aende mahakama gani hashindi,mali zote za mengi amezikuta...toka amekua na mengi kipya gani alianzisha zaidi ya kula raha tu....sasa hivi akipambana sana vacation znzwaache kabisa kumtisha Mjane wa Marehemu.
kila mpenda Haki yuko pamoja na mjane
Very likely she is being deceived by those who are probably aiming to get benefited behind her back.Binti ni fala huyu Kuna mtu au watu wanampotosha au anajipotosha mwenyewe.
Ana haki gani?[emoji23] mnacheza nn.Haya mambo ni unpredictable, anawez kushinda. Kidogo Court of appeal kuna haki inatendeka ( ?????)
Share yao wakati anawapa mlikuwepo? Haiingii akilini atoe urithi woooote kwa bi mdogo aache watoto wake wa ujanani bila sababu yoyote ntuyabaliwe angeacha tamaa akakaa vizuri na watoto wa marehemu mumewekwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!
hiyo sio haki, maana wosia aliutoa marehemu na yeye alikuwa anajua fika kwa nini aliamua kufanya hivyo, kwa sababu tayari walishapata share yao.
Mahakama lazima iangalie huyu mjane anavyo nyanyasika kisa eti hakuchuma mali na marehemu.
kila siku tunalalamika kuwa wajane wanyanyaswa na ndugu wa marehemu, sasa hebu tazameni Jackline Mengi anavyo taabishwa na kuyumbishwa.
huu ni unyanyasaji
Mahakama imtendee Haki huyu mjane.
Salaam Wakuu,
Ile kesi iliyofunguliwa na Mjane wa Marehemu Ragnard Mengi, Jackline Mengi dhidi ya Mtoto wa Mengi na wenzake watano inataraji kuanza kusikilizwa katika mahakama ya rufaa mwishoni mwa mwezi huu.
Kesi hiyo ambayo ni marejeo namba 332/1/2021 iko mbele ya jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Jacob Mwambegele.
Katika kesi ya marejeo Jackline Mengi anapinga maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyobatilisha wosia wa Regnard Mengi. Pia, Jackline anapinga uteuzi wa Benjamini Mengi na mwenzie kama wasimamizi wa mirathi ya marehemu Regnard Mengi.
PIA, SOMA: Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua
View attachment 1933053
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Haki zipi ambazo hajapewa? Hali? Watoto wake lini wamelala na njaa? Je, hawasomeshwi? Akumbuke tu kuwa life haliwezi kuwa sawa na kipindi Mzee Mopao akiwa hai!Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana