Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Yani huyu K-Lynn anazidi kudhihirishia uma wa watanzania kuwa yeye ni Zwazwa! Hakunaga urithi wa namna hio aisee! Kwamba Mengi awasuse watoto wake wa damu aliofungua nao uzazi kisha ampe mali zote bi. mdogo?

Yeye analiona hilo ni jepesi tu kuwazulumu watu wazima wenye akili na exposure japo wanaweza kuwa na umri sawa nayeye!
 
Sahizi wanamnyoosha mazima😅 inaonekana kashapata serengeti boy ameanza kumuwasha gari kuwa akomae apate mali
 
Mjane huyu changudoa.
Embu excuuse meee.
 
Haki yake nini hapo? Amemkuta mzee wa watu kashatengeneza hela ,hujui watoto wakubwa wa huyo mzee wametoa support gani kwa baba yao halafu anatokea tu from no where anatokea mdangaji kwenda kutegesha k yake apokee mbegu ili arithishwe. Huyo mwanamke kwanza ana roho mbaya unadhani angetulia kwanza wale vijana wa mzee wangemtupa hivi hivi ? Ingawa hashindi hiyo kesi hata angeshinda wachaga wangemwua .
 
Baba yake si kamuachia urithi huko kigoma na burundi aende akaishi huko
 
Alitafuta lini nanani hizo mali ni jasho la mke mkubwa na Mengi bibi atafute zake.
 
Waache bhana,wajipe matumaini hewa
 
Haki ya mme au mke inaanzia kwa kilichopatikana baada ya kuoana na si vinginevyo, familia inaanzia ukizaliwa ndani ya ndoa (ndoa ni wawili walioishi pamoja mfululizo kwa zaidi ya miaka miwili).
 
Anadhihirisha tamaa za waziwazi ambazo hajatumia akili kabisa, bora angejipea nusu na watoto wakubwa nusu kidogo ingepunguza maswali eti haoni aibu kabisa Mengi aandike msimamizi wa mali awe shemeji yake badala ya watoto alionao au ndugu zake
 
huyu wakili kiherehere sana, namuona hata huku mahakamani anajikosha sana, okay pia mkoa anaotoka unachangia.
 
Imtendee Haki kwajasho lipi lililomtoka kwa iyo Mali anaopigania.

Uyo mwanamke Ni mbinafsi tu, Hana lolote.

Angekua timamu,
Angekua wa kwanza kubatilisha usia was mengi angalau awakumbuke na watotowake wengine.

Sio eti vile vipacha vyake TU vibebe kila kitu.
 
Akishindwa,
Atakua keshatengeneza chuki ya kutosha na familia ya marehemu.
 
Mengi alishamuona uyu mwanamke Ni golddigger.

Na Mtu mhuni, dawa Ni kumfanyia uhuni TU na wewe[emoji2]

Mengi was very smart guy
 
Bora mzee Mengi alivyofanya kuliko angethubutu kumuandikisha kabisa watu kama wale ni hatari angeweza hata kumkimbia au hata kumdedisha mapema.
Kwanza Kuna viachilia kua mwanamke kamdedisha.

Suala la kugundulika sahii sio ya mzee linafikirisha,

Afu dkk za mwisho za marehem,
Kuna vitu kwny mahusiano yao vilikua vinaendelea Kama vile viko STAGED kuuhadaa umma wa watanzania.
 
KABISA[emoji106][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…