Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Bila shaka wewe ndiye Kyln mwenyewe. Aliekudanganya kuwa wosia ni final ni nani?
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Haki gani?
Yaani taasisi unafikiri hawana akili waingie kwenye kesi kama hizi?
 
Hujaonaga wajane nin wakiitwa wajane na yy atatoka
 
Huyo dada atakuwa anakulelea tafuta hela acha umario utakuja utafunwe huko mjini
 
Huyo mdangaji alienda kwa Mengi kimaslahi,utakuwa ni mjinga kiasi gan kuamini ule wosia uliandikwa na marehemu?,kuna mengi sana ya kutilia mashaka kuhusiana na ule wosia
 
Inavyosemekana narudia tena inavyosemekanaa Klyn ndio alishinikiza ile vacation ya Dubei ili akaonane na huyo mrwarabu na unaambiwa alivyofika kule alikuwa anamuacha mzee hotelin yy anaenda kunyanduliwa
Kama unavyosema inavyosemekana, mzee alipeleka familia Zanzibar lakini bidada alilazimisha trip ya Dubai ili akakutane na Mwarabu
 
Inavyosemekana narudia tena inavyosemekanaa Klyn ndio alishinikiza ile vacation ya Dubei ili akaonane na huyo mrwarabu na unaambiwa alivyofika kule alikuwa anamuacha mzee hotelin yy anaenda kunyanduliwa
Jaman nyege zinatesa nyie hasa ukishakua 40s pengine dada watu alikua anashindwa kunyanduliwa hapa kutokana na umaarufu wake ikabid atafute safar ili iwe rahis..mie namsifu yule dada ooh! Kwanza hata hiyo nahis alifanyakaz sana kuitegesha..maana hadi mshidodo uje usimame hlf apate hizo nguvu za kuzungusha kiuno mchezo??
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we unachekesha kweli yaan! Kwahiyo mpaka leo unadhani jack alimpenda mengi? Khaaaa uzee ule apende nini wakat hata dyudyu kusimama ni shuhuli? Hilo hata mengi mwenyewe alijua hapendwi ila pesa na ndo maana alimhonga sana kabla hajampata na alipompata akaendeleza. Wangekua rika linaendana ungesema uchanganyikiwe kujua kapenda mtu au pesa lakin kwa uzuri na umri wa jacky kweli hasa ukajidanganye alimoenda mengi? Umelogwa weye
 
Aah sema Jacky naye kazidi kama anataka asilimia zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…