Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Kyline kila akiongea anawatumia watoto kama ngao. Anatuaminisha familia inawatenga wote.

Hivi inawezekanaje yeye kama mke halali wa marehemu familia nzima imtenge, iwe karibu na watoto wa mke wa zamani?

Akubali tu kukaa mezani, aachane na mambo ya mahakamani, mbona mali za kugawana ni nyingi kuliko kugombana?

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.



Sent using Jamii Forums mobile app
 


Kylin ana Pepo la kupenda kushindana na kua mshindi, alitaka kuwakomesha wale watoto wakubwa kwa Sababu wanajuana kitambo kimtaani mtaani alikua anaenda kuwasujudia enzi hizo kabla hajawa na Mzee Mengi wamsaidie kupiga nyimbo zake sasa ndio anaenda kukosa vyote kwa kushindana kwake ili awe mshindi
 

oh, ahsante mkuu kwa taarifa
pia umenijibu swali langu kuhusu huo wimbo, muda mrefu humu niliuliza sikujibiwa ule wimbo aliimbiwa nani
ahsante


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mambo ya kifamilia iachiwe familia especially when money is in equation.
 
Mambo yamegoma, kaambiwa kwa mila za kichaga anatakiwa aende kaburini akatambike, wazee wameliona hilo.

Kosa kubwa sana aliofanya huyo ni kuruhusu Dr Mengi azikwe Machame
Wazee wakifanya yao, huyo dada ataishia kupata uchizi
Vitu kama hivi siku hizi havipo. Unakuta wazee wa siku hizi wanatambika wamevaa Kaunda suit na jeans mizimu ipi itakubali upuuzi kama huu? Tambiko ili likubalike na mizimu lazima mlifanye mkiwa uchi. Unafanya Tambiko huku unakula soseji, burger na pizza? Mizimu niyakuheshimiwa bana!
 

Hivi mama umejiandaa lakini na mapovu ya ndugu wa Mengi wa mtandaoni?
 
Sasa kama mwenyewe Reginald alitaka hivyo...lazima kuna sababu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gold digger huyu atueleze kwanza vizuri tuelewe mzee Mengi alikufaje? Utata huo bado majibu halafu anatuletea mara mali zinaingiliwa mara kabiri. Mwambieni kuwa binadamu hatuujui mwisho wetu hivyo atulie sindano iingie taratibu. Na bado.
 
Lazaro Nyalandu, dr Janabi ( mume wa Sophia Byanaku) Luka ( mume wa Nancy Sumari)

Wajiandae wajifunze kupitia hili sakata la Mzee Mengi maana hao wote ni Waume za watu na wana watoto wakubwa tu kutoka kwenye ndoa zao za kwanza
Kumbe nyalandu Ana watoto wengine Zaid ya Sarah na Christopher
 
Mkuu umenena sawia bila chenga. Keep it up. Chukua 5.
 
The best comment ever!! ongeza sauti mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…