Kyline kila akiongea anawatumia watoto kama ngao. Anatuaminisha familia inawatenga wote.
Hivi inawezekanaje yeye kama mke halali wa marehemu familia nzima imtenge, iwe karibu na watoto wa mke wa zamani?
Akubali tu kukaa mezani, aachane na mambo ya mahakamani, mbona mali za kugawana ni nyingi kuliko kugombana?
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi inawezekanaje yeye kama mke halali wa marehemu familia nzima imtenge, iwe karibu na watoto wa mke wa zamani?
Akubali tu kukaa mezani, aachane na mambo ya mahakamani, mbona mali za kugawana ni nyingi kuliko kugombana?
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.
Sent using Jamii Forums mobile app