Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Nani kavalishwa koti la mzee ni yule wa kiume mkubwa kwaiyo yule ndio baba kwa Sasa akuna mwenye sauti zaidi yake kwa Sasa kwasababu yeye ndio baba
kwa mila zetu wachaga, mtoto wa kike hana urithi, na mwenye boma(mrithi wa mali za baba) ni mtoto wa mwisho. hapo hao mapacha wa jack kwa mila za kichagga ndio wenye boma, wataombaje ruhusa kuingia kwenye boma lao? jack yuko sahihi kulalamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haijalishi ingetokea hata km yeye asingewekwa bado angepinga pia
unajua urithi unavyoandikwa kweli? urithi umeandikwa mbele ya mashahidi ambao ni wanasheria ofisini kwao na haruhusiwi ndugu, mke, watoto kuuona zaidi ya mwanasheria wako, huyo jack hata yeye alikuwa hajui kilichoandikwa maana hakuwepo, waliokuwepo ni wanasheria wa mengi tu. ukimlaumu unamuonea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sredi imenikumbusha novel ya JHC

"Do me a favor ,drop dead"

Jacq kimoyomoyo Yuko na mzee ashafanya makaratee ya fake will

Anasema "do me a favor ,drop dead, do me a favor drop dead ""[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
So that I become rich. Ukiona anachelewa kufa unatengeneza mchongo wa yeye kuuawa katika namna inayofanana na kifo cha kawaida ili kuondosha mashaka kwa mamlaka.
 
Kwani huyu Jack si wa kishua toka nyumbani kwao huko?
 
Tobaaaaaaah uwiiiiiiii lol huyu dada hata huruma hana, acha aoneshwe vizuri yaani Mali zinatafutwa kwa jasho yeye anataka kuchukua kirahisi tyuuh kisa tamaa ya mzeee, poleeeeeeeh na bado wamkazie Hadi aikumbuke njia ya kufika bujumbura kutokea dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyewahi kuwa Mwanamuziki Nchini na ambaye ni mke wa Marehemu Regnald Mengi, Jacqueline Mengi maarufu kama K-Lyinn amedai kuzuiwa kuingia kwenye kaburi la mumewe, Reginald Mengi

Bila kusema ni nani anaowazungumzia, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter ameandika “Nimenyamaza kwa mengi sana tu. Mmefikia hatua ya kunizuia mimi na wanangu kuingia kwenye kaburi la mume wangu.”

Ameendela na kuandika “Tunafukuzwa eti mpaka tuombe ruhusa ya kuingia kwenye kaburi la mume na Baba wa watoto wangu. Nimechoka, sitakubali kuendelea kuona wanangu wakisononeka na sitakaa kimya.”

Reginald Mengi ambaye alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP alifariki dunia Mei 2, 2019 na kuacha mke (Jacqueline Mengi) na watoto wanne ambao ni Regina, Abdiel, Jayde na Ryan. Watoto hao amezaa na Mercy Mengi pamoja Jackline Mengi

View attachment 1365926

BAADHI YA MAONI YA WADAU:

View attachment 1365927
View attachment 1365928
View attachment 1365929
View attachment 1365930
View attachment 1365931
View attachment 1365932

She fabricated this story
 
Nimezuiwa kuingia kaburini kwa mume wake. Kwani alitaka kuingia kutafuta nini? Kwanza anaingiaje kaburini?
 
Ukafanye nn huko makaburini
Hebu atulie

Ova
 
Unajua huyu anahela lakini akili hana. Wanasheria watamlia hela and she might never win....she never laid her plans well now upande mwingine watacheza na loophole alizoacha.

Hajui Kula na kipofu she was too greedy and she might loose it all.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wamemlia ela kweli
 
Aliyewahi kuwa Mwanamuziki Nchini na ambaye ni mke wa Marehemu Regnald Mengi, Jacqueline Mengi maarufu kama K-Lyinn amedai kuzuiwa kuingia kwenye kaburi la mumewe, Reginald Mengi

Bila kusema ni nani anaowazungumzia, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter ameandika “Nimenyamaza kwa mengi sana tu. Mmefikia hatua ya kunizuia mimi na wanangu kuingia kwenye kaburi la mume wangu.”

Ameendela na kuandika “Tunafukuzwa eti mpaka tuombe ruhusa ya kuingia kwenye kaburi la mume na Baba wa watoto wangu. Nimechoka, sitakubali kuendelea kuona wanangu wakisononeka na sitakaa kimya.”

Reginald Mengi ambaye alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP alifariki dunia Mei 2, 2019 na kuacha mke (Jacqueline Mengi) na watoto wanne ambao ni Regina, Abdiel, Jayde na Ryan. Watoto hao amezaa na Mercy Mengi pamoja Jackline Mengi

View attachment 1365926

BAADHI YA MAONI YA WADAU:

View attachment 1365927
View attachment 1365928
View attachment 1365929
View attachment 1365930
View attachment 1365931
View attachment 1365932
Nyalandu kumbe alikuwa ana watoto kabla ya kumuoa Miss Tanzania Bi Faraja Kotta?
 
Back
Top Bottom