Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Nani kavalishwa koti la mzee ni yule wa kiume mkubwa kwaiyo yule ndio baba kwa Sasa akuna mwenye sauti zaidi yake kwa Sasa kwasababu yeye ndio baba
kwa mila zetu wachaga, mtoto wa kike hana urithi, na mwenye boma(mrithi wa mali za baba) ni mtoto wa mwisho. hapo hao mapacha wa jack kwa mila za kichagga ndio wenye boma, wataombaje ruhusa kuingia kwenye boma lao? jack yuko sahihi kulalamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haijalishi ingetokea hata km yeye asingewekwa bado angepinga pia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
So that I become rich. Ukiona anachelewa kufa unatengeneza mchongo wa yeye kuuawa katika namna inayofanana na kifo cha kawaida ili kuondosha mashaka kwa mamlaka.
 
Kwani huyu Jack si wa kishua toka nyumbani kwao huko?
 
Tobaaaaaaah uwiiiiiiii lol huyu dada hata huruma hana, acha aoneshwe vizuri yaani Mali zinatafutwa kwa jasho yeye anataka kuchukua kirahisi tyuuh kisa tamaa ya mzeee, poleeeeeeeh na bado wamkazie Hadi aikumbuke njia ya kufika bujumbura kutokea dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

She fabricated this story
 
Nimezuiwa kuingia kaburini kwa mume wake. Kwani alitaka kuingia kutafuta nini? Kwanza anaingiaje kaburini?
 
Ukafanye nn huko makaburini
Hebu atulie

Ova
 
Na wamemlia ela kweli
 
Nyalandu kumbe alikuwa ana watoto kabla ya kumuoa Miss Tanzania Bi Faraja Kotta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…