Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sio Veve basi ni Yokozuna😅Umegonga nini hapo? Kwa kutetea hivi
Hahaaa..kumbe kaukorofi ka Kinyanki hujakaachaNtamuachaje sasa shoga angu; vipi lakini Abdiel mnaendeleaje na Regina?
Jikite kwenye mada wewe mkaldayoHahaaa..kumbe kaukorofi ka Kinyanki hujakaacha
Ameacha bomu akutumia busara kabisaNadhani Mzee Mengi anahusika na haya matatizo yote, samahani japo hayupo kwa sasa. Whether aligawa mali kwa influence ya mkewe, kwa utashi binafsi au kupitia kwa wakili, huenda hakuwa fair kwa watoto wakubwa(power of love ilihusika hapa).
Nina uhakika haya matatizo yameibuka coz there was no fair share katika mgawanyo wa hizo mali, ambazo pia hao wakubwa walistahili kupata. Sasa katika kutaka kumuumiza huyu dada, wanatafuta means zozote wamuumize.
Jackie deserves, her twins deserve but the older brother n sister deserve too. Otherwise hizo mali zitapotea zote na hakuna wa kuzifaidi hapo. Busara itumike na huyu mama aachane na social media kuraise matatizo yake, zipo njia nzuri zaidi za kufanya hivyo.
Mgerasi nasikia na wewe unadai mgao kwa Mengi. Ukizipata hakutakalika humu na vyombo utaacha kuoshaJikite kwenye mada wewe mkaldayo
Ukute alitegewa papuchi na kusubiriwa akimwaga ndio unaambiwa haya sema "I love you crazy ""I love you crazy" by Mzee Mengi [emoji1787][emoji1787]
Huyu alikosea sana na legacy ya familia mahiri inaweza kupotea kirahisi. Endelea kupumzika kwa amani.
Pitieni kitabu cha Mzee Mengi kwa ambao hamjakisoma.
kuna haja ya dictation hapaNdugu zangu watz,naomba niwambie nipo mbez dsm wakati naanika uzi huuu,
nimeona kupitia mitandao ya kijamiii kuwa heti mke wa meng zengwe limeenza na linatokea uchagani?
kwanza naomba niwashauli ndugu wa matehemu Mengi kuwa jakline alimkatia kiuno mengi hiv nani aliwai mkatia kiuno kati yenu?
pili mzeee si aliacha usia? kati yenu mliofungua jarada la kesi ni nani alikuwepp?
ke alimubal polepale?
e
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hadi umri huo hujui yatima ni mtoto aliyeondokewa na BABA, basi kuna shida kwenye akili yako.Watoto yatima? Jack katweet akiwa kaburini?
Lkn Hawa watoto wakubwa wa mzee nao wanakosea? Kwanini hawazai asee?[emoji849][emoji849][emoji848] ...
Mdingi ndo maana akazaa na mjukuu wake, mitoto inaendeleza anasa mpaka inasahau familia yaaan..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakiniKuzaa hakuusiani na Urithi...kuzaa ni majaaliwa ya Allah wa kiume atazaa tu hata akifika Miaka 109 mwenyezi Mungu akimjaalia
Mali aliikutaAcha wivu hebu msaidieni huyo mjane we mangi jaribu kuvaa kiatu chake mkeo asumbuke na watoto wakati haupo mazee utafil aje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mali aliikutaUjambazi wake uko wapi?
Kupendwa ni kosa?
Alirithishwa Nini?Karithishwa na mume mazee
Kama ni kosa basi analo alomrithisha