Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Nadhani Mzee Mengi anahusika na haya matatizo yote, samahani japo hayupo kwa sasa. Whether aligawa mali kwa influence ya mkewe, kwa utashi binafsi au kupitia kwa wakili, huenda hakuwa fair kwa watoto wakubwa(power of love ilihusika hapa).

Nina uhakika haya matatizo yameibuka coz there was no fair share katika mgawanyo wa hizo mali, ambazo pia hao wakubwa walistahili kupata. Sasa katika kutaka kumuumiza huyu dada, wanatafuta means zozote wamuumize.

Jackie deserves, her twins deserve but the older brother n sister deserve too. Otherwise hizo mali zitapotea zote na hakuna wa kuzifaidi hapo. Busara itumike na huyu mama aachane na social media kuraise matatizo yake, zipo njia nzuri zaidi za kufanya hivyo.
Ameacha bomu akutumia busara kabisa
 
Hii iwe funzo kwa wanaume kushobokea watusi ...Kuna ndugu yangu alidanganywa na Ngozi , tako na uzuri wa sura kwa watoto wa kitusi ... Hii leo alichofanywa Cha mengi ni kidogo...


Nimeishi Sana na watusi , ogopa Sana Hawa watu .. Huyo K-lyin Ni mfano pekee na anatoa picha ya Jamii Yao ilivyo. Wengi mtasema mbona Kuna makabila hata bongo wako hivyo baadhi ya watu ... Nawaomba muulize watu ambao wamekaa na watusi hatushangai mengi kupigwa "spana" na kutolewa urithi wa kjinga.


Tena kuna mengine mengi yatafumuka ....

Wanaume wakati tukiongozwa na kichwa Cha chini tuwe tunakipa muda kchwa Cha Juu kufikiria kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"I love you crazy" by Mzee Mengi [emoji1787][emoji1787]
Huyu alikosea sana na legacy ya familia mahiri inaweza kupotea kirahisi. Endelea kupumzika kwa amani.
Pitieni kitabu cha Mzee Mengi kwa ambao hamjakisoma.
Ukute alitegewa papuchi na kusubiriwa akimwaga ndio unaambiwa haya sema "I love you crazy "


Basi mzee wetu bila hiyana "I love You Crazy Jacky"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu watz,naomba niwambie nipo mbez dsm wakati naanika uzi huuu,

nimeona kupitia mitandao ya kijamiii kuwa heti mke wa meng zengwe limeenza na linatokea uchagani?

kwanza naomba niwashauli ndugu wa matehemu Mengi kuwa jakline alimkatia kiuno mengi hiv nani aliwai mkatia kiuno kati yenu?
pili mzeee si aliacha usia? kati yenu mliofungua jarada la kesi ni nani alikuwepp?
ke alimubal polepale?
e



Sent using Jamii Forums mobile app
kuna haja ya dictation hapa
 
Lkn Hawa watoto wakubwa wa mzee nao wanakosea? Kwanini hawazai asee?[emoji849][emoji849][emoji848] ...

Mdingi ndo maana akazaa na mjukuu wake, mitoto inaendeleza anasa mpaka inasahau familia yaaan..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lkn Hawa watoto wakubwa wa mzee nao wanakosea? Kwanini hawazai asee?[emoji849][emoji849][emoji848] ...

Mdingi ndo maana akazaa na mjukuu wake, mitoto inaendeleza anasa mpaka inasahau familia yaaan..

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuzaa hakuusiani na Urithi...kuzaa ni majaaliwa ya Allah wa kiume atazaa tu hata akifika Miaka 109 mwenyezi Mungu akimjaalia
 
Back
Top Bottom