Jaffarai na Shy-Rose na Kuheshimiana baada ya kuachana

Jaffarai na Shy-Rose na Kuheshimiana baada ya kuachana

Angemjua ni kicheche asingekuwa nae katika mapenzi.....ndo kamjua sasa na kachukua hatua....nafikiri mtu kama Jafarai ana pressure sana kutoka kwa fans wake wa kusema ukweli....na inaumiza kuwa cheated....kila mtu ana namna anayoweza deal na tatizo,he is frustrated na nafikiri kafanya uamuzi mzuri.......
Give me break..... Unasupport upuuzi huu wa Jafarai. To me angeishia tu kulaani kuporwa mwanamama wake, coz sio demu kwa kuwa umri umeenda, lakini sio kumtangaza dunia nzima kuwa ni kicheche mzee na kutuambia kuwa ana miaka 42. Je amejua sasa kuwa limama lake ni lizee?? Amekuwa naye for years, wakati wote huo hakujua kuwa ni mzee. Jamani wasanii wa bongo hata kama shule hamkwenda lakini ukimtukana mtu katika mass media kama facebook unajiweka katika mazingira ya kushtakiwa kwa defamation of character, au abusing na ukaishia kufungwa bure. Mapenzi ndivyo yalivyo, ukiona yamekuzidi unachomoka kimyakimya and move forward
 
Hili liJaffarai JINGA kwel,hakyanani unaweza kukuta ye ndo kaachwa,maana linavyoipublicize hii ishu..duh.!!..mara facebuk,mara radion..yan anataka mambo yao binafsi ayatangaze..


Mwacheni alie jamani, alikuwa anamtegemea shyrose kwa malazi, mavazi na chakula (bongo fleva hailipi) sasa bibie kammwaga anataka kutanua na mtu wa hadhi yake na mwenye kipato chake.......dogo analia na mengi..........AMEFULIA!
 
Inabidi tumpe pole Jaffarai cuz amezidiwa kete na Mr II.
Hakutumia busara hata kidogo cuz kama shy ni bibi kizee.. mbona naye alikuwa anatoka naye?
 
Raha yake kunyamaza kimya kumwacha kama vile malaria imempanda kichwani. Ila huyo Mr.2 nae sijui mana anaweza kutoka na songi!!
Ha ha ha ila naona atamchunia huyu sharobaro halafu nashangaa wanaosema sijui mtoto mdogo na mtu mzima wote hapo wana akili timamu bwana
 
Ha ha ha ila naona atamchunia huyu sharobaro halafu nashangaa wanaosema sijui mtoto mdogo na mtu mzima wote hapo wana akili timamu bwana

Na mie inanishangaza hiyo 'mtoto mdogo'. kwani umri wa shy ameujua leo? amebalehe leo?au alishikiwa mtutu kuwa nae?! kwenye bongo flavour kwenyewe hana songi kali sasa, atulie tu kusikilizia maumivu ya changamoto za mapenzi.
 
Na mie inanishangaza hiyo 'mtoto mdogo'. kwani umri wa shy ameujua leo? amebalehe leo?au alishikiwa mtutu kuwa nae?! kwenye bongo flavour kwenyewe hana songi kali sasa, atulie tu kusikilizia maumivu ya changamoto za mapenzi.

nadhani ni panic ya jinsi ya kuyakabili maisha bila shyrose....muoneeni huruma tu....
 
Na mie inanishangaza hiyo 'mtoto mdogo'. kwani umri wa shy ameujua leo? amebalehe leo?au alishikiwa mtutu kuwa nae?! kwenye bongo flavour kwenyewe hana songi kali sasa, atulie tu kusikilizia maumivu ya changamoto za mapenzi.

Alichoharibu au kukosea ni pale alipoenda kwa wale wajinga wa XXL clouds akifikiri ndio watu watamuonea huruma kumbe ndio anajichoresha bure
 
Hawa ndo waheshimiwa wetu,waliomchagua wanahasara na wajihadhari na wake zao,maana mweheshimiwa yeye na wake wawenzie tu,so akija jimboni wafungieni wake zenu,huyu ni mtu hatari sana,na msitarajie maaendeleo hapo,maana jamaa mda wote anawaza wake za wtu,

Mhh jamani grethinkas hivi haya yametoka kwenye hii sredi pekee au? Mbona mkuu umeconclude na kutoa hukumu kali kiasi hicho kwa mr 2 au ulikuwa pia na lako jambo so umepata nafasi ya kuair out? Frankly sredi kama sredi haina hayo uliyoandika hapa, sina nia ya kumtetea Mr.2 lakini dah naona kama as if ulikuwepo alipotoka na huyo mama. Well hata kama walitoka ndio tuseme sasa atawapitia wanawake wote wa jimboni mwake kiasi cha kushindwa hata kufanya kazi? No this is too far in my opinion please ukiweza mwombe radhi mweshimiwa!
 
Nimeipenda hii ya JF na CDM maana hata ukifanya upuuzi wa dhahiri bado watakutetea na kukuremba..good to go Sugu, keep it up naona unakaribia ukatibu mkuu.
 
Nimeipenda hii ya JF na CDM maana hata ukifanya upuuzi wa dhahiri bado watakutetea na kukuremba..good to go Sugu, keep it up naona unakaribia ukatibu mkuu.

kaka humu sio kwenye siasa....
 
Pole dogo, Jipe Moyo ingawa najua bado unampenda Shyrose. Pili unafikiri tu kuwa anatoka na Mr 2.... not proved..... why to risk by taking action kwa habari za kuhisi tu? Tulia dogo utafakari maisha yalivyo na ujue namna ya kuwasilisha maono yako kwa jamii. Usizidi kujichora!!
 
Leo Jaffaray yuko live kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm akisema kaachana na Shyrose Banji ni kutokana na kugundua kuwa amecheat na ana Uhusiano na Hon. JOSEPH MBILINYI.

Faida ya elimu si kupata fedha tu. Inakusaidia hasa namna na ku deal na matatizo hasa katika maisha yetu ya sasa. Tofauti ya aliyesoma na asiyesoma utaiona kwenye namna wanavyo fanya maamuzi ya nini wafanye mara wanapopata matatizo. Asiyesoma mara nyingi anachemsha hata kama haki ilikuwa kwake na aliyesoma mara nyingi anaibuka kidedea hata kama yeye ndie mkosaji. Ni vizuri kama anayejua uelewa wake au uwezo wake kimaamuzi ni mdogo aombe ushauri kwa watu afanye nini. Ndio maana ugomvi wa familia "uswahilini" na "uzunguni" unakuwa tofauti mbele ya macho ya jamii, hata kama unahusu issue zinazofanana. Huu ni mtazamo wangu wa maisha!
 
Back
Top Bottom