Wafukuzwe tuu alipokuwa wanawanyanyasa wapinzani waliona raha. Sasa ni zamu yao kusomeshwa namba.Sasa hao MaDED hizo fedha wanazolazimishwa kukusanya, wananchi watazitoa wapi kama uchumi umedorola? Hawa Mawaziri wasiotumia akili hawapaswi kupewa hadhi hiyo kwani wanabwabwaja tu ili mradi wasikike na bwana mkubwa kuwa nao wapo!!
Kwa mtindo huu mtawafukuza MaDED wengi ili mpate nafasi ya kuwateua ndugu zenu!!
Wanyonge wajiandae kukamuliwa. Italetwa mpaka kodi ya kuku.
Ni jambo jema kibibi cha uswahilini Tandika.View attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe...
Wayaondoe yote hayana faida kwa nchi wala wananchi yanatumia fedha zetu vibaya kwa manufaa yao.View attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe ...
Bora hata ya kuku. Inaweza kuletwa kodi hata ya kujamba ukaambiwa uchafuzi wa OZONE LAYER kwa gesi hatarishi, utoe risiti ya elektroniki.Wanyonge wajiandae kukamuliwa. Italetwa mpaka kodi ya kuku.
View attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe ...
Kupigwa fimbo!!?!!View attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe...
ππππBora hata ya kuku. Inaweza kuletwa kodi hata ya kujamba ukaambiwa uchafuzi wa OZONE LAYER kwa gesi hatarishi, utoe risiti ya elektroniki.
Hii inaitwa choka choka na nafasi..Mpk ya vuzi walete tu mkuu.