Jaguar: Wakenya kuwaondoa kwa kipigo Watanzania, Wachina, Waganda na Wapakistani nchini mwao

Jaguar: Wakenya kuwaondoa kwa kipigo Watanzania, Wachina, Waganda na Wapakistani nchini mwao


Naunga mkono kauli ya PM wetu Mh. Kassim Majaliwa na katika kuweka kumbukumbu sawa: Rais Kenyatta ndiye aliyewaalika Watanzania na Waganda kwenda kufanya kazi na kuishi kwa uhuru nchini Kenya pasi kubughudhiwa... sasa binafsi sioni kama kauli ya pakapori ina nguvu kumzidi anayemfuga!!!
Aaah TUKALIME SI LAZIMA KUISHI KENYA. WAKITUHITAJIA WATAIJUA THAMANI YETU.
 
Watanzania tunajidhalilisha. Yaani akiongea mbunge tayari inakuwa ni tamko la serikali? Kwa hiyo Lusinde akisema hawataki Wachina kule Mtera, ichukuliwe kwamba Watanzania wamewafukuza Wachina? Ndio maana tunachekwa kwa ujinga
Hatari sana!!! NA UKIONA MTU YEYOTE HAPENDI WAGENI TAMBUA ANA UDUNI WA FIKRA NA WOGA WA CHANGAMOTO "AKILI DUMAZI"
 
Machungu ya SGR haya! Ghafla Mchina the most hated man in Kenya while Mtanzania pia falls under the trap kisa a beneficiary wa blunder za Wakenya kwenye SGR. Halafu huyu Jaguar si juzi alileta hate dhidi ya Harmonize na WCB kuteka airplay Kenya? Where r aggressive Kunyans?
 
Punguzeni ligi zisizo za maana, we are brothers
 
Huyu mbwa nae Kawa kigeugeu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shimamoo madaraka mamaee huyu... Yani jamaa mpuuzi sana alafu anakuja Kujitetea twitter...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Huko twitter anajiteteaje mkuu?
 
Mkuu tutanuka uvundo... maana kila sabuni ni ya Kenya dawa za mswaki vivyo hivyo... kuna mahala tunakwama "wanyonge!!"
Nilitaka nikuite mseng& ila nimeona nikuache tu..dawa ya meno gani inayotumika sana Tanzania inatoka kenya au sabuni gani inayotumika sana Tanzania inatoka kenya?
 
Nilitaka nikuite mseng& ila nimeona nikuache tu..dawa ya meno gani inayotumika sana Tanzania inatoka kenya au sabuni gani inayotumika sana Tanzania inatoka kenya?
Siwezi kuisemea fani yako....
Inawezekana ungali ukitumia "magwanji" kwa shughuli mbalimbali...
Acheni maisha ya kujipendekeza...
Hata wale wanunuzi feki wa "koroshow" mliowakaribisha kwa mbwembwe walitoka Kenya...
Si kila wimbo lazima tuuimbe... Nanukuu: "mtu mjinga akikwambia neno la kijinga nawe ukalikubali atakuona...."
 
Huyu jamaa kigeugeu kweli!
Pale ilikuwa kwao siku alipokuja kutumbuiza?
 
Kumbe hii habari imekuumiza
Na kunisononesha sana, ni bora angezungumza vile mtu wa kawaida tu pengine tungesema mihadarati imemzidi nguvu. Lakini kiongozi! Tena unahutubia pahala penye mkusanyiko!? Kwamba anadhani yeye au wakenya wao wana umaalumu gani!?
 
Back
Top Bottom