Jah Prayzah ft Diamond collabo kali zaidi ya mwaka huu

Jah Prayzah ft Diamond collabo kali zaidi ya mwaka huu

nenda waambie waaje, waje ooooh waje, waje[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
waje na rafiki zao, akina wema sepetu na fetty waje,
 
Bonge moja la ngoma, Chibu sijui Kizimbabwe kajifunza lini, Wazimbabwe wamependa kuona msanii mkubwa Africa kutoka Tanzania anaimba Kizimbabwe. Siku Diamond akipiga show Zimbabwa hadi Mgabe atakua ndani ya nyumba. Kwa level hizi sidhani kama Clouds watafika dau la Diamond Fiesta.

Kweli bonge la ngoma, hilo
Hicho ni kishona

Watora Mari= Umechukua pesa, hapa anamuelezea huyo dada ndio kachuka pesa
Tora = kuchukua, Watora =Umechukua
Mari= Mali, lakini tafsiri sahihi ni pesa

Kipande cha Diamond kinasema hivi
Ndadambuka (moyo)kunge ndandi= nimechanika (moyo) kama elastic (mpira)
Inini Handichagoni kusaoma moyo kunge njanji= Mimi siwezi kuwa na moyo (mgumu) kama reli

geranteeh , adamtupa92 , pumzihaiuzwi , eddy , samsun , brave one
 
Kweli bonge la ngoma, hilo
Hicho ni kishona

Watora Mari= Umechukua pesa, hapa anamuelezea huyo dada ndio kachuka pesa
Tora = kuchukua, Watora =Umechukua
Mari= Mali, lakini tafsiri sahihi ni pesa

Kipande cha Diamond kinasema hivi
Ndadambuka (moyo)kunge ndandi= nimechanika (moyo) kama elastic (mpira)
Inini Handichagoni kusaoma moyo kunge njanji= Mimi siwezi kuwa na moyo (mgumu) kama reli

geranteeh , adamtupa92 , pumzihaiuzwi , eddy , samsun , brave one
hii lugha mbona kama kinyakyusa?
 
Kweli bonge la ngoma, hilo
Hicho ni kishona

Watora Mari= Umechukua pesa, hapa anamuelezea huyo dada ndio kachuka pesa
Tora = kuchukua, Watora =Umechukua
Mari= Mali, lakini tafsiri sahihi ni pesa

Kipande cha Diamond kinasema hivi
Ndadambuka (moyo)kunge ndandi= nimechanika (moyo) kama elastic (mpira)
Inini Handichagoni kusaoma moyo kunge njanji= Mimi siwezi kuwa na moyo (mgumu) kama reli

geranteeh , adamtupa92 , pumzihaiuzwi , eddy , samsun , brave one
Asante sana mkuu kwa hii tafsiri,hii ngoma huyo jamaa akiipa promo vizuri itafanya poa sana uko kwao.
 
Aisee am speechless!! Dee nakumbuka uliwahi kusema kuwa unafanya kazi kwa bidii ili watu kitaa wakibishana kati yako na akina wizkid nani mkali hata watanzania wakikutetea wewe ni noma zaidi basi wakutetea kwa kuwa kweli
unafanya kazi nzuri.. Sasa nimeelewa ulikuwa na maana gani!!

Naomba ninukuu tena maneno yako ambayo umekuwa unayasema kila mara siku za hivi karibuni; "..naomba mniombee, mindhali niko hai mziki wetu utafika tunapotaka.."

Tanzania tunakupenda na tunakuombea!! Keep on shining..
 
mie naona collabo ya Psquare nayo imeenda shule, ziara ya zimbabwe hiyo show itabidi iambatane na uzinduzi wa ndege mpya ya ATCL tunaenda na pipa letu baada ya show tunarudi nalo, pia afanye ziara ya Gabon Benin na Ghana.
Ha! Ha!
 
Back
Top Bottom