Jahazi la Natenyahu lazidi kwenda Mrama

Netanyahu baado haamin kua wanamgambo mpala leo hii bado wanawapeleka makomandoo wa iDF kuzimu licha ya misaada ya makombora na mabomu ya kila aina anayopewa na US

1. Na Bado!

2. Mwana mkaidi hafaidi hadi siku ya iddi!
 
Sawa ila ni kiboko ya magaidi
wenye upeo wa kikobaaz wanafikiri Israel ni sawa na nchi zingine ile ndo makao makuu ya Mungu hapa duniani (wakati huhuo kobaaz na wao waking'ang'ania yawe makao ya shetani kupitia uzao wa ishmael) na ndo prophetic clock of world end times/events so kuna events zinatokea sio sababu ya mtu ni spiritual realm imeamua. Hakuna kiongozi yeyote atakayekuja kutawala Israel then akawa na ushirika mchafu na palestinian na ukadumu hiyo haipo, atakuja anti christ ataingia agano chafu na Israel na hakika halitadumu maana ndani ya miaka 7 litavunjika na Yesu atakuja kutawala dunia nzima akitokea Israel.
 
Marekani inahitaji kukombolewa
 
1. Zingatia hao ni aliothubutu kukiri yeye mwenyewe.

2. Bila kusahau taarifa za vifo vya askari vitani, kimkakati ni siri.

3. Kwa hakika hapo hata ukifanya x3 yaweza kuwa Bado ni Kwa makisio ya chini.
Hapo kabla ya kuingia Iran.Mara ngapi wanasaema wameshamaliza kazi kumbe bado.
akiingia Iran akadondosha vitu tel Aviv watakimbizana wote.
 
Hapo kabla ya kuingia Iran.Mara ngapi wanasaema wameshamaliza kazi kumbe bado.
akiingia Iran akadondosha vitu tel Aviv watakimbizana wote.
Yes wakifanya hivyo lazima warudi wote kuotoka gaza
 

1. Mkuu nitambue kuwa wewe na huyo mwamba mko nje kabisa ya mada.

2. Zingatia huyo mwamba anongelea uislam na waislam katika maana yake (kwa mtazamo wake) kama vitu viwili tofauti.

3. Hapo #2 hilo lililopo hapo, ni suala la kidini mahsusi kwenye jukwaa lake la kidini huko.

4. Kama yeye ni evangelical, mwokovu au msomi tu; akakutane wanazuoni wa aina yake huko kina: Prof. Shivji, Lissu, Kibatala FaizaFoxy, Malaria 2, Alwaz, Ritz, na waina hiyo mahsusi kwa ajili ya dozi kamili.

5. Hapo #4, sisi wengine tunatambua mgogoro huu hauna cha kufanya na dini:



6. Kwamba huu ni ukoloni kama ukoloni mwingine wowote uliowahi kuwa pande za kwetu, unaopswa kupingwa vilivyo na kila mpigania haki.

7. Tukichanganya changanya haya mambo tutakuwa kama mapoyoyo mengine tu ya aina za kina MK254, Moisemusajiografii (Moise Katumbi) au wa namna hiyo.
 
Israel inawalazimu wawe na itikadi hizohizo za Netanyahu ili kuhakikisha wanakuwa salama!

Huwezi mtu uwe katikati ya mataifa korofi na yanayotamani kuangamiza taifa lako lote kwa muda wowote halafu uwe wa kuchekacheka hovyo! Huo ni upimbi

Na waisrael wote hata akiondoka Netanyahu na aje mwingine, madamu ni mwisraeli, hawezi kuwa kama mnavyotamani nyinyi watu wa mnyaazi mungu
 

1. Kwa hiyo ndugu hilo nyomi linalopingana na itikiadi za Natenyahu na kumtaka kuondoka, ni mawazo yako kuwa limepotoka?

2. Au labda unadhani humo ni wapalestina au ni vibaraka wao?

3. Kwani wewe hutamani haki au amani baina ya watu wakiwamo hawa?
 
Mihemko hiyo
 

1. Mbwa ukimwendekeza atakufata hadi madhabahuni.

2. Marekani anakuja kukumbuka shuka kukiwa kumekucha:

a) Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

b) Ex-CIA Chief Panetta: IDF hutekeleza majukumu yao kama Wenda wazimu

c)

 
Tatizo hujui kuwa hujui

1. Kwa hiyo wewe "unajua" kuwa "unajua" na hivyo "uko vizuri."

2. Kama wewe mliangaziwa sana na kwa kweli:

Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

3. Uzi huu chini haukuwabakiza:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

4. Kwa hakika umejisemea mwenyewe.
 
Unathibitisha niliyoyasema. Sijasema mimi najua, ila nimesema wewe hujui kuwa hujui
 
Unathibitisha niliyoyasema. Sijasema mimi najua, ila nimesema wewe hujui kuwa hujui

1. Unathibitisha niliyoyasema, vipi kumshutumu mwingine kwa lisilokuhusu wewe?

2. Usemeje sijui kama nawe hujui? Basi bila shaka pia unasema kuwa unajua!

3. Hii kimahesabu inaitwa by contrapositive.
 
Unathibitisha niliyoyasema vipi kumshutumu mwingine kwa lisilokuhusu wewe?

Usemeje sijui kama nawe hujui? Basi bila shaka pia unasema kuwa unajua! Hii kimahesabu inaitwa by contrapositive.
Naamini ni inverse contrapositive au siyo cocastic
 
Waislamu mnashangaza sana, kawasaidieni wenzenu
 
Hapo kabla ya kuingia Iran.Mara ngapi wanasaema wameshamaliza kazi kumbe bado.
akiingia Iran akadondosha vitu tel Aviv watakimbizana wote.

1. Iran alipowafikisha (psychological warfare) inawala kuliko vita kamili.

2. Walipo wanaviogopa hata vivuli vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…