Jaji aliyetoa hukumu ya Sabaya tutapataje CV yake? Anasifika Kwa uadilifu ofisini kwake na machoni pa jamii?

Jaji aliyetoa hukumu ya Sabaya tutapataje CV yake? Anasifika Kwa uadilifu ofisini kwake na machoni pa jamii?

CV sio hoja kwani hata CV ya gavana wa BOT Prof.Florens hasitahili kuwa hapo!
 
Watanzania mna nongwa sana, mmeshaanza kumsagia kunguni
Mataifa mengi hupinga dhuruma Kwa kuwafichua wadhulumati, hupinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji

Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho. Pamoja na technicalities zote lakini mtuhumiwa Sabaya alikiri Mbele ya mahakama kwamba alitenda aliyoyatenda Kwa kutumwa na mkubwa wake.

Hii maana yake Nini, hakuna ubishi kwamba alitenda na Kwa mazingira haya hukumu haiwezi kujikita kwenye technicalities Kwa sababu mtuhumiwa anakiri kutenda aliyotuhumiwa nayo. Hoja hapa ni je Mhe. Jaji alipoona mtuhumiwa amekiri alidhani ni nani mwingine anapaswa kuthibitisha vinginevyo? Kwanini Mhe. Jaji asituambie mkuu wa wilaya akitumwa kuua na bosi wake Hii inakuwa Ina immunity?

Niombe Kwa utata huu tupate cv ya jaji huyu itatusaidia kujua ni muadilifu au maelekezo kutoka juu.
 
Mataifa mengi hupinga dhuruma Kwa kuwafichua wadhulumati, hupinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji

Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho. Pamoja na technicalities zote lakini mtuhumiwa Sabaya alikiri Mbele ya mahakama kwamba alitenda aliyoyatenda Kwa kutumwa na mkubwa wake.

Hii maana yake Nini, hakuna ubishi kwamba alitenda na Kwa mazingira haya hukumu haiwezi kujikita kwenye technicalities Kwa sababu mtuhumiwa anakiri kutenda aliyotuhumiwa nayo. Hoja hapa ni je Mhe. Jaji alipoona mtuhumiwa amekiri alidhani ni nani mwingine anapaswa kuthibitisha vinginevyo? Kwanini Mhe. Jaji asituambie mkuu wa wilaya akitumwa kuua na bosi wake Hii inakuwa Ina immunity?

Niombe Kwa utata huu tupate cv ya jaji huyu itatusaidia kujua ni muadilifu au maelekezo kutoka juu.
Unajua maana ya kukiri kisheria? Tunaanzie hapo kwanza!
 
Nchi hii hakuna haki kabisa, jambawazi kama sabaya na matendo yote yale maovu anaachiwa?
Kubaka! tena wake za watu!
Kukata watu wasikio!
Kupora watu mali zao hadharani!
Huyu anatakiwa sasa ahukumiwe mitaani na wananchi wenye hasira kali kama vibaka wengine!
Na gaidi mbona kaachiwa wakati mahakama ilimpata na makosa ya kujibu?
 
Back
Top Bottom