Hivi wewe unayeona utupu wa wenzako ina maana unawachungulia wakiwa wanaoga! Acha maneno yasiyoeleweka. Soma Katiba Inayopendekezwa ili kichwa chako kiwe na chochote kwani wewe ndo unaonekana huna kitu kichwani hata hujitambui kama jina lako lilivyo kuwa wewe nani kama kibantu changu kiko sahihi. Tuache habari ya kibantu ila ndugu yangu Ndinani wewe mweupe sana kichwani.:canada:
Hata uwe na ID mia kidogo UTUPU wako kichwani haubadiliki; yote hayoyanakusibu sababu ya njaa!!!!!