Jaji Eliezer Mbuki Feleshi anafaa kuwa AG

Jaji Eliezer Mbuki Feleshi anafaa kuwa AG

Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na alikuwa wa mwisho kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
lisemwalo ......
 
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na alikuwa wa mwisho kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Baada ya miaka Saba hatimae maandishi yako yametimia
 
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na alikuwa wa mwisho kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Mkuu Tunkamanin , kwanza asante sana kwa bandiko hili, umeusema ukweli mtupu na leo ukweli huu imetimia, ubarikiwe sana.
Huu ni uthibitisho kuwa kauli huumba.

Sio kila kauli huumba, bali kauli za watu wenye powers ndio huumba. You have the powers .
P
 
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na alikuwa wa mwisho kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Mkuu Tunkamanin, kwanza hongera sana kwa uzi huu.
Japo binadamu wote tumeumbwa sawa, lakini tunatofautiana sana uwezo, karama, vipawa, vipaji na nguvu, yaani powers, kuna baadhi ya wenzetu wana nguvu, ama kwa kujijua ama bila kujijua, mmoja miongoni mwa wenye nguvu hawa ni wewe!.

Amini usiamini, inawezekana kabisa ni kauli yako hii ndio imemuumbia feleshi u AG!.

Nafanya research ya powerful people wa JF, ili niwakusanye pamoja, mziunganishe powers zenu katika lile jambo langu, ili liwe.
Hongera sana kwa powers, naomba support yako kwenye lile jambo langu!.

Hizo powers kila mmoja wetu anazo, hata wewe unazo, ila wengi hawazitumii powers walizonazo kwa kutokujua kuwa wanazo hizo powers as a result, they just lay in a waste!.

Ili kujipima kama unazo na unaweza kuzitumia, tembelea hapa Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
P
 
Mkuu Tunkamanin, kwanza hongera sana kwa uzi huu.
Japo binadamu wote tumeumbwa sawa, lakini tunatofautiana sana uwezo, karama, vipawa, vipaji na nguvu, yaani powers, kuna baadhi ya wenzetu wana nguvu, ama kwa kujijua ama bila kujijua, mmoja miongoni mwa wenye nguvu hawa ni wewe!.

Amini usiamini, inawezekana kabisa ni kauli yako hii ndio imemuumbia feleshi u AG!.

Nafanya research ya powerful people wa JF, ili niwakusanye pamoja, mziunganishe powers zenu katika lile jambo langu, ili liwe.
Hongera sana kwa powers, naomba support yako kwenye lile jambo langu!.

Hizo powers kila mmoja wetu anazo, hata wewe unazo, ila wengi hawazitumii powers walizonazo kwa kutokujua kuwa wanazo hizo powers as a result, they just lay in a waste!.

Ili kujipima kama unazo na unaweza kuzitumia, tembelea hapa Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
P
Naunga mkono hoja.
K
 
Back
Top Bottom