OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Wanasahau kama DPP ni taasisi na pale kuna wakurugenzi wasaidizi kila kitengo na bado kuna wanasheria wa kanda ambao malanyingi ndo hufanya hizo kazi baada ya kumshauri DPP umuhimu wa kufanya hivyo, na mala nyingi huwa kuna kuwa na umuhimu wa kitechnique kufanya hivyo au wakati mwingine hakuna ushahidi na hata wakati mwingine kwa usalama wa nchi ambapo ushauri unatoka TISS na kwa Rais mwenyewe ambaye kumbuka ndo mteuzi wake.
Kama alikuwa na support yite hii ina maana kweli alikosa ushahidi unaodai ulikaliwa na PCCB, yaani walitunia TISS na Rais pia. Hapa sasa unaanza kuongea kuwa kama angetaka ushahidi angepata!!!
He was weak or compromised???!!!