Acha upumba.vu, samahani kama nimekuwa mkali kwa hili, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, kama humfahamu mtu ni bora ukakaa kimya, nimefanya kazi na huyu jamaa na nakuhakikishia sidhani hata kama anajua radha ya pombe ikoje, jamaa ni mcha Mungu na muadilifu hasa, kama kuna mengine yaseme lakini kuhusu uadilifu Feleshi ni miungoni mwa watu wachache sana walobakia Tanzania, uliza wanasheria wa serikali watakuambia.
Mimi NADHANI TATIZO LETU SI TU UADILIFU KAMA WENGI TUNAVYOTAKA KUAMINISHWA.TUNAHITAJI KIONGOZI/VIONGOZI 'COMPETENT NA CREATIVE'SINA HAKIKA KAWA FELESHI ANAO UWEZO WA KUTOSHA MANA HATA AKIWA DPP AMEKUWA AKITILIWA SHAKA NA WADAU KIUWEZO JAPO N MSOMI MWENYE VYETI.