Jaji Eliezer Mbuki Feleshi anafaa kuwa AG

Jaji Eliezer Mbuki Feleshi anafaa kuwa AG

Kuwa wa kwanza kufika ofisini na kuwa wa mwisho kuondoka. Bila kujali zile null proseque alizokuwa anazipiga kifisadi, kesi za kigaidi bila evidence ya kutosha na kipindi chake kutowahi kushinda kesi hata moja chini ya wanasheria wake....

Nlisema kama jambo hulijui uliza, unadhani utashinda vipi kesi kama hauna ushahidi wa kutosha? nimetolea mfano kesi moja ya UDA ambayo humu mliipigia sana kelele, Dr Hossea hakutaka Feleshi amjumuishe Kisena kwenye kesi kama mtuhumiwa na badala yake alitaka atumike kama shahidi wakati ushahidi ulikuwa wazi kwamba Kisena and Co walihusika kijinai.

Dr Hossea akahujumu ushahidi ili kumuokoa Kisena na Riz1 hivyo kesi kukosa ushahidi na kupelekea Dr Feleshi kuiondoa mahakamani, nilishangaa sana watu wakimlaumu Feleshi kwa hili badala ya kumpongeza, hamumjui Feleshi msimjaji.
 
Fungua hiyo maneno kwa urefu wake
Hii ni hati inayotolewa na DPP yenye nguvu ya kumwondolea mashitaka mtuhumiwa.
Wakati wa DPP Feleshi hati za aina hii zilitolewa kwa watuhumiwa hasa wa mauaji ikiwamo ile ya mtuhumiwa wa mauaji ya Bilionea wa Arusha Erasto Msuya aitwaye Joseph Damas(Chusa).Pamoja na watuhumiwa wengine kumtaja kama mhusika mkuu lakini DPP alimfutia mashitaka kwa kasi ya ajabu..
 
Hii ni hati inayotolewa na DPP yenye nguvu ya kumwondolea mashitaka mtuhumiwa.
Wakati wa DPP Feleshi hati za aina hii zilitolewa kwa watuhumiwa hasa wa mauaji ikiwamo ile ya mtuhumiwa wa mauaji ya Bilionea wa Arusha Erasto Msuya aitwaye Joseph Damas(Chusa).Pamoja na watuhumiwa wengine kumtaja kama mhusika mkuu lakini DPP alimfutia mashitaka kwa kasi ya ajabu..

Unadhani anafanya hivyo kwa kukurupuka tu? ni lazima uamuzi wake ubase kwenye ushahidi na pia maslahi ya umma, kama DCI kawasilisha kwa DPP ushahidi wa kumsafisha mtuhumiwa unadhani DPP atafanya nini zaidi ya kuiondoa kesi? DPP sio chombo chunguzi kumbuka.
 
Dr. Feleshi kila siku ukitoa jmosi ambapo huingia saa mbili na kutoka saa kumi na mbili na jpili ambapo huingia saa nne na kutoka saa kumi na mbili, huingia ofisini saa kumi na moja alfajiri na kutoka saa tatu usiku, huo uhuni na ulevi labda ni wa kimtazamo huu, jamaa alivyo lazima ujiulize mala mbili mbili umwingieje kumuhonga.

Ha ha ha Kama ikulu inavyotisha kwa ulinzi mzito... Rais anavyoogopwa kusogelewa kwa ulinzi Mkali alonao bado wahuni wanamchezea na kuchezea ikulu yetu atakuwa yeye unayedai anakesha ofisini?

Ha ha ha we jamaa inaonesha uwezo wako Wa kufikiri mdogo Sana MTU kukaa ofisini muda mrefu ndo alama ya uadilifu??

Huwa unalala nae huko kwake? Jamaa hamna kitu pale sema kwa Tanzania ilivyo sitashangaa akiteuliwa maana hata uko ikulu kuna vilaza wengi wasiojua hata proof read ya one page mpaka wanatuambia rais ameanza kazi tarehe 8/12/2010 badala ya 2014
 
Kuwa wa kwanza kufika ofisini na kuwa wa mwisho kuondoka. Bila kujali zile null proseque alizokuwa anazipiga kifisadi, kesi za kigaidi bila evidence ya kutosha na kipindi chake kutowahi kushinda kesi hata moja chini ya wanasheria wake....

Mmmh Tunkamanini, tafsiri tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha Kama ikulu inavyotisha kwa ulinzi mzito... Rais anavyoogopwa kusogelewa kwa ulinzi Mkali alonao bado wahuni wanamchezea na kuchezea ikulu yetu atakuwa yeye unayedai anakesha ofisini?

Ha ha ha we jamaa inaonesha uwezo wako Wa kufikiri mdogo Sana MTU kukaa ofisini muda mrefu ndo alama ya uadilifu??

Huwa unalala nae huko kwake? Jamaa hamna kitu pale sema kwa Tanzania ilivyo sitashangaa akiteuliwa maana hata uko ikulu kuna vilaza wengi wasiojua hata proof read ya one page mpaka wanatuambia rais ameanza kazi tarehe 8/12/2010 badala ya 2014

Nakufuatilia kaka. . . . . .
 
Feleshi hakustahili wala Ujaji ila ndiyo asante ya kuibeba UDA na madili mengine mengi ya wakubwa. Kesi zote kubwa za rushwa hazikufikishwa Kisutu kama Hosea alivyodai ni kweli tupu. Deputy AG George Masaju anastahili hiyo nafasi. Feleshi atagaragazwa sana na classmate wake Tundu Lissu.
 
Tunkamanini, kuna majaji au hata wanasheria wengine bora kabisa wanaofaa kushika hiyo post. Kila mtu hapa akianza kutaja jina kwa kuwa tu aliwahi kufanya kazi na mtu husika, patakuwa padogo hapa.

Tusubiri tu JK atuletee mtu. Fereshi hafai. At least uendaji wake ulishaonekana wakati ni DPP. It can not get worse than that
 
Nlisema kama jambo hulijui uliza, unadhani utashinda vipi kesi kama hauna ushahidi wa kutosha? nimetolea mfano kesi moja ya UDA ambayo humu mliipigia sana kelele, Dr Hossea hakutaka Feleshi amjumuishe Kisena kwenye kesi kama mtuhumiwa na badala yake alitaka atumike kama shahidi wakati ushahidi ulikuwa wazi kwamba Kisena and Co walihusika kijinai.

Dr Hossea akahujumu ushahidi ili kumuokoa Kisena na Riz1 hivyo kesi kukosa ushahidi na kupelekea Dr Feleshi kuiondoa mahakamani, nilishangaa sana watu wakimlaumu Feleshi kwa hili badala ya kumpongeza, hamumjui Feleshi msimjaji.


Duuuh we jamaa usitake watu tuseme mengi hapa...

Kisena na Riz 1 wanalilindwa na nani Kati ya Hosea na Feleshi??

Unajua vizuri kisa na sababu ya Feleshi kupewa u DPP?

Duh ha ha we chenga hasa Kati ya Hosea na Feleshi yupi ana uhusiano binafsi na huyo kisena na Riz 1?

Unafahamu nani aliyesababisha Feleshi kuzawadiwa ujaji?
 
mleta mada sidhan ka umemleta feleshi kwa nia nzuri...ushamwaribia ulaji hivyo!!! au ndo lilikuwa lengo lako!
Kwa bongo hata uwe msafi vp, bado utapindisha sheria kutii wanasiasa!! labda uwe maskini jeuri na upate bahati ka ya mzee mangula...tofauti na hapo utapotea..
 
Unadhani anafanya hivyo kwa kukurupuka tu? ni lazima uamuzi wake ubase kwenye ushahidi na pia maslahi ya umma, kama DCI kawasilisha kwa DPP ushahidi wa kumsafisha mtuhumiwa unadhani DPP atafanya nini zaidi ya kuiondoa kesi? DPP sio chombo chunguzi kumbuka.
Kwa hiyo unataka kuaminisha kuwa wote waliofanya uchunguzi mpaka kesi ikaenda mahakamani walikosea? kwa nini DPP aliruhusu mshtakiwa akaenda mahakamani? Huyu mfanyabiashara 'crook' ana maslahi gani kwa umma?
 
Duuuh we jamaa usitake watu tuseme mengi hapa...

Kisena na Riz 1 wanalilindwa na nani Kati ya Hosea na Feleshi??

Unajua vizuri kisa na sababu ya Feleshi kupewa u DPP?

Duh ha ha we chenga hasa Kati ya Hosea na Feleshi yupi ana uhusiano binafsi na huyo kisena na Riz 1?

Unafahamu nani aliyesababisha Feleshi kuzawadiwa ujaji?

Siwezi argue na mpu.mbavu kama wewe, nimekuona hata kule kwa Werema ukidai unamfahamu vizuri sana kwamba kazaliwa 1951, we jamaa sioni hata dhima ya mabandiko yako hapa ya kishenzi, muulize Hosea ushaidi wa UDA uko wapi ndo uje ulaumu Feleshi kuiondoa kesi mahakamani.

Huwezi fanya kazi za umma wakati huo huo ukawa mfanya biashara, hiyo pia ni moja ya mambo yanayomtofautisha Feleshi na hao wengine wote.
 
Kwa hiyo unataka kuaminisha kuwa wote waliofanya uchunguzi mpaka kesi ikaenda mahakamani walikosea? kwa nini DPP aliruhusu mshtakiwa akaenda mahakamani? Huyu mfanyabiashara 'crook' ana maslahi gani kwa umma?

It seems uko na maslahi binafsi na hiyo kesi, nenda ofisini kwa DPP au uliza mwanasheria wa kanda kwa nini aliiondoa hiyo kesi mahakamani, unahoji maslahi gani kwa umma? You can't be serious, hujui kama kuendesha kesi ni gharama? hujui ni nani anayelipa hizo gharama? na je kuna umuhimu gani wa kuendelea na kesi ambayo unajua hakuna ushahidi wa kutosha kumtia mtu hatiani au mtu huyo kasafishwa na DCI then ukawaingiza gharama walipa kodi?
 
Siwezi argue na mpu.mbavu kama wewe, nimekuona hata kule kwa Werema ukidai unamfahamu vizuri sana kwamba kazaliwa 1951, we jamaa sioni hata dhima ya mabandiko yako hapa ya kishenzi, muulize Hosea ushaidi wa UDA uko wapi ndo uje ulaumu Feleshi kuiondoa kesi mahakamani.

Huwezi fanya kazi za umma wakati huo huo ukawa mfanya biashara, hiyo pia ni moja ya mambo yanayomtofautisha Feleshi na hao wengine wote.

Matusi na jazba vyanini mkuu wangu??

Mbona mi nipo kawaida tu nachangia bila povu vipi mwenzangu?

Sasa ya Werema yamekujaje? Halafu nakushauri tu informations nyingi za kwenye hiyo website ni inaccurate kabisa....

Na pili kwa Tanzania enzi za kina werema hakukuwa na vyeti vya kuzaliwa so watumishi wengi walifoji miaka ili watumike kwa muda mrefu...

Usihamishe mjadala turudi kwa Feleshi...

Nimekuuliza Feleshi na Hosea nani anamahusiano binafsi na huyo Tapeli Kisena na Riz one?

Kila MTU anajua the whole system ilivyokuwa na kigugumizi juu ya umiliki Wa UDA Leo unaleta utetezi Wa hovyo?

Feleshi asingefika hapo alipo bila kuwa na uhusiano Wa karibu na kina JK....

Vipi kesi za akina Rwakatare ilikuaje zikafika kortini bila ushahidi Wa kina?
 
Matusi na jazba vyanini mkuu wangu??

Mbona mi nipo kawaida tu nachangia bila povu vipi mwenzangu?

Sasa ya Werema yamekujaje? Halafu nakushauri tu informations nyingi za kwenye hiyo website ni inaccurate kabisa....

Na pili kwa Tanzania enzi za kina werema hakukuwa na vyeti vya kuzaliwa so watumishi wengi walifoji miaka ili watumike kwa muda mrefu...

Usihamishe mjadala turudi kwa Feleshi...

Nimekuuliza Feleshi na Hosea nani anamahusiano binafsi na huyo Tapeli Kisena na Riz one?

Kila MTU anajua the whole system ilivyokuwa na kigugumizi juu ya umiliki Wa UDA Leo unaleta utetezi Wa hovyo?

Feleshi asingefika hapo alipo bila kuwa na uhusiano Wa karibu na kina JK....

Vipi kesi za akina Rwakatare ilikuaje zikafika kortini bila ushahidi Wa kina?

Tatizo hujiheshimu na unaleta mizaha kwenye mambo ya msingi, hilo la UDA wala halihitaji uwe na cheti cha form four kuzitambua rangi zake, Hossea kampeleka kwa DPP Kisena kama shahidi, DPP kapitia faili la ushahidi toka PCCB akagundua Kisena pia kahusika na akamjumuisha na watuhumiwa wengine, Hossea kwa kuwa PCCB ndio chombo chunguzi kwa hilo swala ili kumuokoa Kisena akavuruga ushahidi, na kumbuka kesi ni ushahidi ulitaka kesi ikae mahakamani wakati TAKUKURU wamehold na kuhujumu ushahidi?
 
Huyu Tunkamanini ndiye Dr Eliezer Feleshi mwenyewe anajipigia debe ili ateuliwe kuwa AG. Angalia posts zake zote utaona kuwa Ana habari za ndani kabisa ambazo anapaswa kuwa nazo mhusika tu na si mtu mwingine, halafu anapokutana na arguments za wachangiaji wengine wanaokosoa au kutoa mapugufu ya Feleshi basi anatoa povu kwa jazba. Hii ni aibu kwa mtumishi wa umma kwenye ngazi aliyofikia kutumia fake ID ya mitandao ya jamii kujipa sifa ambazo hana ili kumshawishi Raisi amteue. Aibu acha hizo Dr Eliezer Feleshi.
 
Huyu Tunkamanini ndiye Dr Eliezer Feleshi mwenyewe anajipigia debe ili ateuliwe kuwa AG. Angalia posts zake zote utaona kuwa Ana habari za ndani kabisa ambazo anapaswa kuwa nazo mhusika tu na si mtu mwingine, halafu anapokutana na arguments za wachangiaji wengine wanaokosoa au kutoa mapugufu ya Feleshi basi anatoa povu kwa jazba. Hii ni aibu kwa mtumishi wa umma kwenye ngazi aliyofikia kutumia fake ID ya mitandao ya jamii kujipa sifa ambazo hana ili kumshawishi Raisi amteue. Aibu acha hizo Dr Eliezer Feleshi.

Hehehe..I wish ingekuwa hivyo, hakuna mwanasheria anayejitambua hangetamani kuwa angalau robo tu ya Feleshi, kwanza ni msomi aliyebobea na pia ni mchapakazi na mtu asiyekuwa na majivuno, nayatambua haya kwa sababu nimefanya nae kazi kwa miaka zaidi ya miwili, uliza mwanasheria yeyote wa serikali atakueleza na ni jinsi gani walimwaga machozi alipoondoka.
 
Back
Top Bottom