Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza Feleshi ashitakiwe kwa kupokea rushwa kutoka kwa Iddi Simba na Simon Kisena aliyopokea kwa ajili ya kuondoa kesi ya UDA
Tunkamanini: Sitaki kuingia kwenye mabishano yako na AME. Lakini kwa faida wa wasomaji naomba kuweka jambo hili sawasawa
Kulingana na katiba yetu RAIS anayo mamlaka ya kumsaheme mtu/mfungwa yeyote aliyeapatikana na kosa mbele ya mahakama wakati wowote na hakuna chombo au mtu yeyote anayeweza kuhoji.
Lakini pia kulingana na katiba yetu, Rais hana mamlaka ya KUMSAMEHE mtuhumiwa yeyote wa makosa anayetarajiwa/aliyefikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Hivyo Rais kuwasamehe wezi wa EPA waliorudisha pesa wizi kwa hiari yao ilikuwa ni kuvunja katiba ya JMT.
Kama Rais alikuwa anawapenda sana hao watuhumiwa EPA, angesubiri kwanza wapatikane na kosa mbele ya mahakama halafu ndio awasamehe, hakuna mtu/chombo chochote kingehoji kwani mamlaka hayo amepewe na katiba ya JMT
Nimrod Mkono anafaa sana kuwa mwanasheria mkuu wa serikali
Yaani watu wahuni na walevi Kama Feleshi awe AG....
Ila yote yanawezekana maana alipoteuliwa kuwa DPP wengi hatukuamini na alipopewa ujaji tukapigwa na butwaa ngoja tusubiri ajabu lingine....
Acha upumba.vu, samahani kama nimekuwa mkali kwa hili, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, kama humfahamu mtu ni bora ukakaa kimya, nimefanya kazi na huyu jamaa na nakuhakikishia sidhani hata kama anajua radha ya pombe ikoje, jamaa ni mcha Mungu na muadilifu hasa, kama kuna mengine yaseme lakini kuhusu uadilifu Feleshi ni miungoni mwa watu wachache sana walobakia Tanzania, uliza wanasheria wa serikali watakuambia.
Ha ha ha ha haaa only in Tanzania mpaka nafasi nyeti watu wanatumia wapuuzi kuwapigia kampeni kwenye social media networks....
Unamfahamu vizuri Elieza Felleshi? Ha ha ati sio mlevi? Ninamfahamu jamaa toka akiishi Mwanza ni mlevi hatari na mhuni mhuni hivi sasa unapinga nini? Halafu mbona povu??
Yaani vyeo ambavyo ni dhamana Leo vimekua ulaji?? Dhamana inapigiwa kampeni??
Kazi IPO...
Ha ha ha ha haaa only in Tanzania mpaka nafasi nyeti watu wanatumia wapuuzi kuwapigia kampeni kwenye social media networks....
Unamfahamu vizuri Elieza Felleshi? Ha ha ati sio mlevi? Ninamfahamu jamaa toka akiishi Mwanza ni mlevi hatari na mhuni mhuni hivi sasa unapinga nini? Halafu mbona povu??
Yaani vyeo ambavyo ni dhamana Leo vimekua ulaji?? Dhamana inapigiwa kampeni??
Kazi IPO...
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.
Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.
Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.
Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na akimuwahi kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Mbona hujagusia kuhusu zile 'Nolle prosequi' tata alizokuwa akitoa alipokuwa DPP..
Feleshi hawezi kuwa Mwadilifu hata kidogo wakati ni mtu anaewachukia waislaam kwa kiwango cha kutisha,ni mbaguzi na Mdini aliepindukia.
ni Feleshi ambae mtuhumiwa wa mauaji Lulu Michael alipewa dhamana lkn Shekh Ponda Issa Ponda akazuiliwa dhamana.
Kila Mwislaam aliekamatwa wakati Feleshi ni DPP ,alionewa kwa kiwango kikubwa.
Feleshihafuati utaeala wa sheria ,yeye anaongozwa na imami ya dini yake.
Feleshi ni mshenzi kama washenzi wengine.
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.
Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.
Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.
Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na akimuwahi kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Binafsi naamini watu wapo na waadilifu sana. Tatizo kubwa ni kuwa mfumo wa Tanzania kwa sasa unawanyima nafasi watu ambao ni waadilifu kwa kuwa ni adui wa wengi. Kwa hiyo mtu yeyeyote ambaye umma unamwona kuwa ni mwadilifu uwezekano wa kuteuliwa ni mdogo. Moja kwa kuwa anaweza kabisa kukataa kwa kujua watamdhalisha kwa kumlazimisha namna ya kufanyakazi kwa matakwa maalum hivyo kumfanya siku ya mwisho aonekane si lolote Pili ni kuwa mwadilifuni hatari/adui wa mfumo uliopo.
So hoja y kuwa hakuna wau siyo kweli wapo.Tunatatizo la kuangalia watu ambao ni waongeaji au watafuta maslahi na kuacha sehemukubwa ya waadilifu na wazalendo ambo mfumo wao wa kufanya kazi n tofauti na watu wazuri/masahi.
Hebu tuanzie na alipokuwa DPP mazuri yake. "outstanding perfomance" hiyo unayoizungumzia tuiangazie wapi??!!!