Jaji Eliezer Mbuki Feleshi anafaa kuwa AG

Jaji Eliezer Mbuki Feleshi anafaa kuwa AG

Ha ha ha Kama ikulu inavyotisha kwa ulinzi mzito... Rais anavyoogopwa kusogelewa kwa ulinzi Mkali alonao bado wahuni wanamchezea na kuchezea ikulu yetu atakuwa yeye unayedai anakesha ofisini?

Ha ha ha we jamaa inaonesha uwezo wako Wa kufikiri mdogo Sana MTU kukaa ofisini muda mrefu ndo alama ya uadilifu??

Huwa unalala nae huko kwake? Jamaa hamna kitu pale sema kwa Tanzania ilivyo sitashangaa akiteuliwa maana hata uko ikulu kuna vilaza wengi wasiojua hata proof read ya one page mpaka wanatuambia rais ameanza kazi tarehe 8/12/2010 badala ya 2014
nilishawahi kufanya kazi na feleshi tangu akiwa mwanza namfahamu na alipokuwa dpp. siku zote amekuwa wa kwanza kuingia ofisini na wa mwisho kutoka. watoto wa hosea mnahangaika sana kumchafua lakini mtaenda kuaibika mmoja baada ya mwingine. mwenzenu wa kwanza huyoo ndio kajiulizu, Mungu kampiga kiboko. bado na wa chini yake.kuna siku hukumu ya Mungu itamfikia tu.
 
Feleshi hakustahili wala Ujaji ila ndiyo asante ya kuibeba UDA na madili mengine mengi ya wakubwa. Kesi zote kubwa za rushwa hazikufikishwa Kisutu kama Hosea alivyodai ni kweli tupu. Deputy AG George Masaju anastahili hiyo nafasi. Feleshi atagaragazwa sana na classmate wake Tundu Lissu.
haumjui feleshi tatizo. ana kifua sana na kama asingekuwa na kifua hosea hadi leo hii asingekuwepo pale pccb. amini usiamini ni mtu wa ki pekee na ndiye ambaye angeweza kuikomboa hiyo ofisi.
 
Hakuna mtakatifu ndani ya nchi yetu kwa sasa 'the Country is corrupt', tutalszimika kuwateua wale wale kati ya wachafu sababu hatuna la kufanya. Hakuna atakaeniaminisha kuwa X-DPP ni mtakatifu, kesi ngapi zimepigwa zengwe hatujui zilipoishia hasa za wakubwa na matajiri!?

Wewe ndg NCH hii huyo mtu wako ndio kasoma peke yake?
 
Hehehe..I wish ingekuwa hivyo, hakuna mwanasheria anayejitambua hangetamani kuwa angalau robo tu ya Feleshi, kwanza ni msomi aliyebobea na pia ni mchapakazi na mtu asiyekuwa na majivuno, nayatambua haya kwa sababu nimefanya nae kazi kwa miaka zaidi ya miwili, uliza mwanasheria yeyote wa serikali atakueleza na ni jinsi gani walimwaga machozi alipoondoka.
ofisi hiyo imejengwa na feleshi, masaju an werema walikuwa wanamchukia sana feleshi kwasababu waliona anachukua sifa kuliko wao. wao walikuwa maboss wao lakini feleshi alikuwa anawafunika na ndiye aliyekuwa AG kabisa, walibaki mapambo tu kutafuta escrow. werema amefutika, bado masaju ambaye ndiye watu walioharibu sana ofisi hiyo ambao naye sijui ataondoka lini.
 
Kwa hiyo hizi ndizo sifa zinazomfanya awe mwanashria bora sana kuliko wengine ili akalie hiyo ofisi??!!!
Kama ingekuwa ni interview hiyo nafasi ingebase kwenye historia tu au pamoja na mengine??!!
Kukaa ofisini kwa muda mrefu kwa tulipofikia asee kuna watu wako ofisini yaani hadi wahudumu tu wanshangaa kwanini bado wapo, yaani tangu tunasoma mpaka leo wapo!!!!

Mkuu hao ndio watu tunaotegemea walete mabadiliko kwenye NCH hii mtu anapoteza muda wake kuandika UGORO mleta mada nadhani ndo Feleshi mwenye kaja humu kupima kina cha maji
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ww KAFURILA lete MBUZI huku tusherekee, MWIZI tiyari kapigwa roba na wezi wenzie.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na akimuwahi kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya bado sijaona mtu mbadala.
You're very right, that is TZ government's experience and fashion to recycle garbage.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
mtu kama wewe ambaye hajui sheria na hajawahi kwenda mahakamani haupaswi kujadili naye, utapoteza muda. kwa hiyo wewe ulitaka feleshi awashitaki wale wahindi ambao Rais aliwapa amnesty? kwani yeye ndiye anaye arrest? kwa kukufahamisha, dpp hawezi kuvamia tu mtu na kumshitaki, anatakiwa kuletewa mtuhumiwa na watu wawili (polisi au pccb). hao wanawakamata, wanakusanya ushahidi, wanaleta jalada la ushahidi kwa dpp, kama hakuna ushahidi si utatia aibu mahakamani? ulishawahi kufika walau mahakamani mzee au mpo tu hapa mjini..
Refer my first post, PCCB ndiye ali complain kuwa yeye ndiye kikwazo. Alafu kusema Rais kasema sijui nini kwani how long did it take mpaka Rais alipotoa hiyo amnesty? Do you want to argue kuwa mashitaka yanapitiwa kwanza na Rais then ndiyo ya proceed? I dont need to be a lawyer to understand those basics. Msipende kutafuta vichaka vya kujificha, Rais mpaka kupata huo upenyo kuna watu kibao walihusika katika ku delay ku deal hao calprits!
 
Hivi wewe ni binadamu au mashine? Rais anapotoa msamaha kuna mtu anaeweza kuhoji au kupinga? Hiyo katiba ya nyumbani kwako na mmeo aisee.

Katiba hiyohiyo ya nyumbani kwangu iliwashitaki hao bangusilo wa EPA?

I repeat when the right does not read left is not easy to lie!

Hiyo katiba inayoruhusu wachache kushitakiwa na wengine kupewa msamaha kabla ya kuhukumiwa na mhimili wa mahakama ni ya nchi gani? Labda ya Tanzania ya leo ambayo Zanzibar si sehemu yake?!
 
Katiba hiyohiyo ya nyumbani kwangu iliwashitaki hao bangusilo wa EPA?

I repeat when the right does not read left is not easy to lie!

Hiyo katiba inayoruhusu wachache kushitakiwa na wengine kupewa msamaha kabla ya kuhukumiwa na mhimili wa mahakama ni ya nchi gani? Labda ya Tanzania ya leo ambayo Zanzibar si sehemu yake?!

kwa bahati mbaya sana, watz wengi hawana information na kesi za epa. watu kadhaa walioshitakiwa walipatikana na hatia pale kisutu na walifungwa vifungo wengine wanatumia vifungo hadi sasa, na wengine bado kesi zao zinaendelea. akina maranda na wenzie walishafungwa tayari na bado wana kesi nyingine za kujibu. cha kujiuliza ni kwamba, kuna mhindi mmoja alifungwa miaka 2 akaambiwa alipe mamia ya mamilioni, alipoenda ndani hata mwaka haukuisha akatolewa kwa msamaha wa rais. ajabu yake watu hawaoni hilo kama dpp feleshi alifanya kazi hiyo na wale madogo masikini mawakili wa serikali pale kisutu,wanaona tu mengine. think twice.

binafsi sidhani kama feleshi atakubali kurudi kwenye shuruba za kulitumikia taifa kama hizo, ila kama angeteuliwa, hakika yake ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ndio ingeboreshwa sana. waliofanya kazi na feleshi ndio wanaomjua alivyo. watu wa nje ambao wengine nimesikia wanasema chenge alikuwa dpp...hahaha, hata hawajui kinachoendelea hapa duniani. wana comment kwasababu wameona magazeti yamesema kitu.

Tatizo lenu ni kuwa mtu kama mm ninesha wa map na kila suggestion zenu unfortunately nazichukulia kimaslahi kwani maranyingi mmekuwa watetezi wa watu ambao wamelifikisha taifa letu hapa lilipo!
 
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na akimuwahi kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.

Naunga mkono hoja, nafasi hii inahita mtu mwenye kaliba ya Dr. Feleshi, huwa naskitika sana pale watu wasiomfahamu vizuri huyu jamaa wakimbedha, hakuna mwanasheria muadilifu na mchapa kazi kama huyu jamaa.

Huyu aliyekuwa anafungulia watu kesi feki za U gaidi kwa maelekezo ya Mwigulu na kuishia kuumbuliwa na Mahakama kuu...
Nyie watu mna Masihara sana jaman...
 
Tatizo lenu ni kuwa mtu kama mm ninesha wa map na kila suggestion zenu unfortunately nazichukulia kimaslahi kwani maranyingi mmekuwa watetezi wa watu ambao wamelifikisha taifa letu hapa lilipo!

Dada yangu jambo kama hulijui uliza, haya mambo yako wazi, Feleshi humjui hivyo usimchafue kwa habari za magazetini, hayo mnayoaminishwa yangekuwa kweli asingekaa pale kwa karibu miaka 8, Feleshi kafanya kazi katika mazingira magumu sana baada ya kuonekana ni kizingiti kwa hao wafanya biashara AG, deputy na akina Hossea, hayo mambo yako wazi na tiari kulikuwa na threads humu zikizungumzia hayo, Feleshi hakamati wahalifu bali anapelekewa ili ashitaki kosa lake lilikuwa wapi? Kuhusu UDA muulizeni Hossea faili liko wapi mpaka leo mbona bado halijarudi kwa DPP ili afungue mashtaka upya yakimjumuisha na Kisena?
 
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na akimuwahi kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Kama alikuwa wa kwanza kuondoka, alikuwa hamalizi hata dakika kumi ofisini sasa!
 
unajua kuwa katika kila mkoa kuna muwakilishi wa dpp anayefanya yote hayo? ni sawa na wewe ukienda kenya ukajisaidia barabarani, rais kikwete akaenda kutembelea kenya watu wakamlaumu rais kuwa amefanya jambo hilo kumbe yeye alikuwa ame delegate power kwa wakili wa serikali mfawidhi wa mkoa. hauijui hiyo ofisi, bora unyamaze kimyaaa.
Unafahamu hati yenyewe ilikuwa imesainiwa na nani?
 
Refer my first post, PCCB ndiye ali complain kuwa yeye ndiye kikwazo. Alafu kusema Rais kasema sijui nini kwani how long did it take mpaka Rais alipotoa hiyo amnesty? Do you want to argue kuwa mashitaka yanapitiwa kwanza na Rais then ndiyo ya proceed? I dont need to be a lawyer to understand those basics. Msipende kutafuta vichaka vya kujificha, Rais mpaka kupata huo upenyo kuna watu kibao walihusika katika ku delay ku deal hao calprits!
you are not a lawyer that is why you don't understand even simple language my friend.

1. kama pccb ndiye aliye complain, unajua kuwa pale kisutu kesi ile ilikuwa inaendeshwa na nusu mawakili wa serikali na nusu wanasheria wa pccb? walikuwa wanaendesha kwa jopo? na, je, kama hosea akisema dpp ndiye kikwazo wakati yeye hadi leo baada ya kurudishiwa jalada akamilishe upelelezi wa robert kisena hadi leo amekalia jalada unapata picha gani hapo wakati ofisi ya dpp inasubiri akamilishe kuleta vielelezo alivyoficha vya kisena ili kesi ianze upya?

2. kuhusu amnesty,ofisi ya dpp haina uwezo kuanzisha mashitaka yenyewe hadi iletewe mshitakiwa pamoja na ushahidi wake, anayeleta ni polisi au pccb. kwa hiyo, kama mtu yeyote atafanya kosa, halafu polisi hawajamkamata wala pccb hawajamkamata, dpp hana uwezo kufanya lolote. hivyo kama rais ametoa amnesty ina maana polisi hawakuwakamata wale watu, ulitaka dpp aende mtaani kuwakamata? unajua kuwa lawama hapo zilitakiwa ziende kwa polisi/pccb ambao hawakuwakamata wale watu?

3. unaposema kuwa mashitaka yanapitiwa kwanza na rais, unakuwa mbulula, kwasababu dpp anapitia mashitaka kama yataletwa kwake. mashitaka yanaletwa mtu akikamatwa kwa tuhuma akaandikwa maelezo yake na kukusanya evidence hapo ndio wanaleta mtu na jalada lake kwa dpp ili amshitaki mahakamani. kama polisi na pccb hawajafanya hivyo ulitaka dpp apitia mashitaka gani?

4. ukiona mtu hajakamatwa akiwa ametenda kosa, wa kumlaumu ni dpp anayesubiri mtuhumiwa aletwe kwake au polisi/pccb waliopewa mamlaka kukamata wahalifu?

5. tatizo kubwa la watz wanajadili vitu kumbe hawajui mchakato huwa ukoje. mtu kama wewe ni mmojawapo wa watu wanaopotosha jamii wakiamini kuwa wanajua kitu kumbe weupe. jitahidi, ukifanya mchezo hata mtoto wako aliyekuzaa anaweza kukuzidi akili kwasababu you are really empty upstairs.
 
you are not a lawyer that is why you don't understand even simple language my friend.

1. kama pccb ndiye aliye complain, unajua kuwa pale kisutu kesi ile ilikuwa inaendeshwa na nusu mawakili wa serikali na nusu wanasheria wa pccb? walikuwa wanaendesha kwa jopo? na, je, kama hosea akisema dpp ndiye kikwazo wakati yeye hadi leo baada ya kurudishiwa jalada akamilishe upelelezi wa robert kisena hadi leo amekalia jalada unapata picha gani hapo wakati ofisi ya dpp inasubiri akamilishe kuleta vielelezo alivyoficha vya kisena ili kesi ianze upya?

2. kuhusu amnesty,ofisi ya dpp haina uwezo kuanzisha mashitaka yenyewe hadi iletewe mshitakiwa pamoja na ushahidi wake, anayeleta ni polisi au pccb. kwa hiyo, kama mtu yeyote atafanya kosa, halafu polisi hawajamkamata wala pccb hawajamkamata, dpp hana uwezo kufanya lolote. hivyo kama rais ametoa amnesty ina maana polisi hawakuwakamata wale watu, ulitaka dpp aende mtaani kuwakamata? unajua kuwa lawama hapo zilitakiwa ziende kwa polisi/pccb ambao hawakuwakamata wale watu?

3. unaposema kuwa mashitaka yanapitiwa kwanza na rais, unakuwa mbulula, kwasababu dpp anapitia mashitaka kama yataletwa kwake. mashitaka yanaletwa mtu akikamatwa kwa tuhuma akaandikwa maelezo yake na kukusanya evidence hapo ndio wanaleta mtu na jalada lake kwa dpp ili amshitaki mahakamani. kama polisi na pccb hawajafanya hivyo ulitaka dpp apitia mashitaka gani?

4. ukiona mtu hajakamatwa akiwa ametenda kosa, wa kumlaumu ni dpp anayesubiri mtuhumiwa aletwe kwake au polisi/pccb waliopewa mamlaka kukamata wahalifu?

5. tatizo kubwa la watz wanajadili vitu kumbe hawajui mchakato huwa ukoje. mtu kama wewe ni mmojawapo wa watu wanaopotosha jamii wakiamini kuwa wanajua kitu kumbe weupe. jitahidi, ukifanya mchezo hata mtoto wako aliyekuzaa anaweza kukuzidi akili kwasababu you are really empty upstairs.

Bora umenisaidia, watu humu kazi yao ni kutukana tu bila hata kuwa na facts.
 
you are not a lawyer that is why you don't understand even simple language my friend.

1. kama pccb ndiye aliye complain, unajua kuwa pale kisutu kesi ile ilikuwa inaendeshwa na nusu mawakili wa serikali na nusu wanasheria wa pccb? walikuwa wanaendesha kwa jopo? na, je, kama hosea akisema dpp ndiye kikwazo wakati yeye hadi leo baada ya kurudishiwa jalada akamilishe upelelezi wa robert kisena hadi leo amekalia jalada unapata picha gani hapo wakati ofisi ya dpp inasubiri akamilishe kuleta vielelezo alivyoficha vya kisena ili kesi ianze upya?

2. kuhusu amnesty,ofisi ya dpp haina uwezo kuanzisha mashitaka yenyewe hadi iletewe mshitakiwa pamoja na ushahidi wake, anayeleta ni polisi au pccb. kwa hiyo, kama mtu yeyote atafanya kosa, halafu polisi hawajamkamata wala pccb hawajamkamata, dpp hana uwezo kufanya lolote. hivyo kama rais ametoa amnesty ina maana polisi hawakuwakamata wale watu, ulitaka dpp aende mtaani kuwakamata? unajua kuwa lawama hapo zilitakiwa ziende kwa polisi/pccb ambao hawakuwakamata wale watu?

3. unaposema kuwa mashitaka yanapitiwa kwanza na rais, unakuwa mbulula, kwasababu dpp anapitia mashitaka kama yataletwa kwake. mashitaka yanaletwa mtu akikamatwa kwa tuhuma akaandikwa maelezo yake na kukusanya evidence hapo ndio wanaleta mtu na jalada lake kwa dpp ili amshitaki mahakamani. kama polisi na pccb hawajafanya hivyo ulitaka dpp apitia mashitaka gani?

4. ukiona mtu hajakamatwa akiwa ametenda kosa, wa kumlaumu ni dpp anayesubiri mtuhumiwa aletwe kwake au polisi/pccb waliopewa mamlaka kukamata wahalifu?

5. tatizo kubwa la watz wanajadili vitu kumbe hawajui mchakato huwa ukoje. mtu kama wewe ni mmojawapo wa watu wanaopotosha jamii wakiamini kuwa wanajua kitu kumbe weupe. jitahidi, ukifanya mchezo hata mtoto wako aliyekuzaa anaweza kukuzidi akili kwasababu you are really empty upstairs.

I hope huja panic, siiujui issue ya Kisena dont divert my arguments! And then read your notes careful uone unavyokosa consistency.... Mm nakwambia PCCB boss ndiye anayelalamika wewe unasema DPP hawezi anzisha kesi what is your argument?

Mimi na uliza swali kwani Rais ndiye anayepitia mashitaka ndiyo ya proceed; wewe unarukia matusi bila kuelewa unajitukana mwenyewe kwa argument zako na ku confirm hilo jina kwako mwenyewe. Duuh I am at wrong place sorry I cant carry on!
 
I hope huja panic, siiujui issue ya Kisena dont divert my arguments! And then read your notes careful uone unavyokosa consistency.... Mm nakwambia PCCB boss ndiye anayelalamika wewe unasema DPP hawezi anzisha kesi what is your argument?

Mimi na uliza swali kwani Rais ndiye anayepitia mashitaka ndiyo ya proceed; wewe unarukia matusi bila kuelewa unajitukana mwenyewe kwa argument zako na ku confirm hilo jina kwako mwenyewe. Duuh I am at wrong place sorry I cant carry on!
Dada/binti, nenda polepole. nitajibu swali lako. umeuliza whether rais ndiye anayepitia mashitaka ili yaproceed....jibu lake ni siyo, anayepitia mashitaka ili yaproceed ni DPP. lakini kumbuka, dpp hawezi kupitia mashitaka hadi yaletwe kwake na pccb au polisi. vilevile, kesi nzima inajengwa na wapelelezi yaani pccb au polisi katika upelelezi wao kukusanya ushahidi kwasababu kama hakuna ushahidi hata dpp akisema kesi indelee hakuna mafanikio. hivyo, kama pccb wakiamua kumsaiia mtu mwovu kama kisena, watamkamata kweli lakini wataharibu ushahidi wake na kupeleka jalada kwa dpp ili likafie pale. sijui unaelewa(kessy/swai)?
 
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na alikuwa wa mwisho kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Hatimae yamekuwa mkuu, kwa CV yake basi kweli aliandaliwa na ndiye CJ ajaye.
 
Back
Top Bottom