you are not a lawyer that is why you don't understand even simple language my friend.
1. kama pccb ndiye aliye complain, unajua kuwa pale kisutu kesi ile ilikuwa inaendeshwa na nusu mawakili wa serikali na nusu wanasheria wa pccb? walikuwa wanaendesha kwa jopo? na, je, kama hosea akisema dpp ndiye kikwazo wakati yeye hadi leo baada ya kurudishiwa jalada akamilishe upelelezi wa robert kisena hadi leo amekalia jalada unapata picha gani hapo wakati ofisi ya dpp inasubiri akamilishe kuleta vielelezo alivyoficha vya kisena ili kesi ianze upya?
2. kuhusu amnesty,ofisi ya dpp haina uwezo kuanzisha mashitaka yenyewe hadi iletewe mshitakiwa pamoja na ushahidi wake, anayeleta ni polisi au pccb. kwa hiyo, kama mtu yeyote atafanya kosa, halafu polisi hawajamkamata wala pccb hawajamkamata, dpp hana uwezo kufanya lolote. hivyo kama rais ametoa amnesty ina maana polisi hawakuwakamata wale watu, ulitaka dpp aende mtaani kuwakamata? unajua kuwa lawama hapo zilitakiwa ziende kwa polisi/pccb ambao hawakuwakamata wale watu?
3. unaposema kuwa mashitaka yanapitiwa kwanza na rais, unakuwa mbulula, kwasababu dpp anapitia mashitaka kama yataletwa kwake. mashitaka yanaletwa mtu akikamatwa kwa tuhuma akaandikwa maelezo yake na kukusanya evidence hapo ndio wanaleta mtu na jalada lake kwa dpp ili amshitaki mahakamani. kama polisi na pccb hawajafanya hivyo ulitaka dpp apitia mashitaka gani?
4. ukiona mtu hajakamatwa akiwa ametenda kosa, wa kumlaumu ni dpp anayesubiri mtuhumiwa aletwe kwake au polisi/pccb waliopewa mamlaka kukamata wahalifu?
5. tatizo kubwa la watz wanajadili vitu kumbe hawajui mchakato huwa ukoje. mtu kama wewe ni mmojawapo wa watu wanaopotosha jamii wakiamini kuwa wanajua kitu kumbe weupe. jitahidi, ukifanya mchezo hata mtoto wako aliyekuzaa anaweza kukuzidi akili kwasababu you are really empty upstairs.