Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.
Nadhani anataka jaji mchaga
 
Jaji amekosea sana kujitoa ktk kesi.
maana yake ni kwamba tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji ni za kweli.
kabla ya kujitoa hizo tuhuma lazima kwanza zithibitishwe maaana sio tu kwamba zina mchafua Jaji/Majaji bali zinauchafua Muhimili wa Mahakama.
Umepagawa nini wewe chawa hadi unapost mara mbilimbili?
 
Awasilishe mahakamani kama anao ushahidi juu ya hayo anayo mtuhumu nayo, sio kumchafua Jiji bila ushahidi.

Kama hakuna ushahidi Jaji aendelee.

Kibatala anazidi kumchimbia shimo bila yeye kujielewa maskini Mbowe!!!

Hoja ya kitoto kweli hiyo eti unamkataa Jaji?!! Tena unatoa tuhuma za kizushi na majungu ya kumchafua Jaji?

Halafu hao mawakili wanamfundisha ujinga kama huo!!
Uzuri ni kwamba aliyekataliwa, tena in public, amekubali na kupisha wengine. Wewe endelea kulia lia..
 
Jaji amekosea sana kujitoa ktk kesi.
Maana yake ni kwamba tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji ni za kweli.
Kabla ya kujitoa hizo tuhuma lazima kwanza zithibitishwe maaana sio tu kwamba zina mchafua Jaji/Majaji bali zinauchafua Muhimili wa Mahakama.
Kwa hiki ulichoongea itakuwa wewe ni muuza genge au muuza maji kwa madumu, jielimishe kwanza ili ujue sheria inasemaje pale mtuhumiwa anapokuwa hana imani na jaji au hakimu. Tatizo kusoma hamtaki kazi ni kudandia nyuzi tuu.
 
Hakuna cha mashitaka mazito wala nini! Kesi ya Mbowe ni nyepesi tu, sema uzito unaouona Wewe ni mapenzi yako kwenye uongozi wa dhuluma, uvunjaji wa katiba na ubambikiaji kesi!
Nami naomba iwe hivyo (kesi nyepesi).

Ukweli unabaki Mawakili wake hawauoni huo wepesi, kama uonavyo wewe. Ingekuwa nyepesi, kihivyo, wangeendelea na kesi iishe haraka. Pingamizi zinaongeza muda wa mteja kuendelea kusota mahabusu.

NB: Mashitaka ya sasa yakifutwa atakamatwa na mchakato unaanza upya. Yawezekana jopo la Mawakili wake wakaanza pingamizi upya.
 
Tuhuma alizozitoa Mbowe dhidi ya Jaji Luvanda sio tu zinamchafua yeye bali zinawachafua Majaji wote na Muhimili wa Mahakama.
Hivyo Mbowe na Mawikili wake walipaswa wathibitishe tuhuma hizo nzito.
Akili kisoda mwili jumba [emoji23][emoji23]
 
Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.

Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,

Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.

kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.

ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Jaji kakataa upuuzi wa CCM na serekali yake.
 
Hii kesi CCM wasipokuwa makini itawaacha uchi...waachane nayo mapema!!

Jaji katoka mnyonge maskini...sijawahi kushuhudia Jaji anawashauri waleta mashitaka wakarekebishe shitaka wakati wao hata hawajaiomba mahakama..aisee.
 
Wapambe wake Mbowe wanasukumwa na hisia kuliko mashtaka dhidi yake ambayo ni mazito kiasi cha kuvuta wawakilishi wa Balozi za nje.

Kama zilivyo hoja zako, Mawakili wa utetezi hawamtendei haki mteja wao. Kwa kuwa hati ya mashtaka ilikuwa na mapungufu wangeendelea na kesi ili watumie mapungufu hayo kujenga hoja za kumnusuru mteja wao. Kitachotokea yataandaliwa mashtaka mazito ambayo watakuwa na kazi kuyapangua
Ujinga tu wa CCM na serekali yake....
-Kwamba anakabiliwa na mashtaka mazitooo!.
- kisha ataandaliwa mashtaka mazitooo! ambayo ni magumu kuyapangua!......
 
Ujinga tu wa CCM na serekali yake....
-Kwamba anakabiliwa na mashtaka mazitooo!.
- kisha ataandaliwa mashtaka mazitooo! ambayo ni magumu kuyapangua!......
Naamini umesoma na kuelewa mashitaka yanayomkabili na pingamizi za jopo (13) la Mawakili wake, ambazo baadhi zimekubaliwa na Jaji. Pia unatambua kiwango cha hisia za watu wa ndani na nje.

Mawili hayo yanaweka ulazima wa mashtaka kuandaliwa upya kulingana na uzito wa ushahidi walionao ili isije kujitokeza kuwa ni kesi ya "kubambika".

Laiti Mawakili wangeendelea na mashtaka yenye mapungufu, Serikali isingepata nafasi ya kuandaa mashtaka upya.
 
Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.

Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,

Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.

kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.

ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Vipi umetupiliwa mbali ushauri wako?
 
Back
Top Bottom