Sisi Mahakama tujitafakari,maslahi yetu yapo hivi:-
1. Mshahara zaidi ya Tshs 6,000,0000/-kwa mwezi
2. Nyumba masaki
3. Gari VXR
4. Likizo nje ya nchi kila mwaka.
5. Posho ya suto kila mwezi.
6. Overtime nyingi sana.
7>Fedha za sessions , kila tunapokwenda mikoani.
8.Ukistaafu kinua mgongo zaidi ya Tshs 200 milion.
9. Kila mwezi ukistaafu unapata 4,000,000 /- milioni 4.
10. Kusomeshewa watoto.
11. Uklinzi, house boy and girl,
14. NSSF , Bima ya afya.
Hayo yote bado tu mtu haridhiki anataka kukandamiza kitoto kama Mbowe kweli, Mungu anaona mjue .