Jaji Francis Mutungi ailima barua CHADEMA, ataka ijieleze ndani ya siku 5

Jaji Francis Mutungi ailima barua CHADEMA, ataka ijieleze ndani ya siku 5

Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Huyu akiheshimiwa sana ataitwa Jaji Tumbo Mutungi, Jaji Mchongo Mutungi, Jaji Fake Mutungi au Jaji Uchwara Mutungi.

Yaani kumwita huyu Mutingi Jaji, yaani sawa sawa na Jaji Lugakingira au Jaji Nyalali, itakuwa ni kuwavunjia heshima hawa wengine ambao walikuwa majaji hasa, waliouishi ujaji, siyo huyo ambaye anaishi kufuata maelekezo hata kwa mambo.ambayo yeye alistahili kuelekeza.

Hata kama ungekuwa na title gani, usipoiishi hiyo title utadharaulika tu.

'Kuna wanasiasa malaya. Wananunulika. Hawa ni malaya tu' - Mwalimu Nyerere. Kwa maneno ya Mwalimu, hata uwe Rais, Waziri, waziri mkuu, Mwenyekiti au katibu wa chama au mbunge, kama unanunulika, wewe ni mwanasiasa malaya. Title yako tunaiweka pembeni, tutakupa title yako halisi, 'Mwanasiasa malaya ......'.
 
Msajili wa Milele wa Vyama vya siasa nchini Tanzania , Francis Mutungi , ameokota taarifa mitandaoni anbako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .

Sasa Mtukufu Mutungi moja kwa moja kaisingizia Chadema.

---
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kupokea barua kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inayowataka wajielezea ndani ya siku tano, tangu kupokea barua hiyo.

Kwa kujibu wa barua hiyo ambayo bado haijawekwa hadharani ilipokelewa na chama hicho tangu Oktoba 2, 2023 mchana, kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa ikitaka wajielezea kwa madai ya kurekodi maudhui ya video ya kumdhalilisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

CCM inakishutumu chama hicho cha upinzani, ikidai kimerekodi maudhui ya video hiyo na kuyasambaza kwenye mitandao yake ya kijamii, pamoja na ya wafuasi wake, maudhui ambayo yanaashiria kutengenezwa kwa makusudi kwa lengo la kutaka kumshushia hadhi kiongozi wao.

Mwananchi Digital ilipomuuliza Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuhusu barua hiyo, amekiri ni kweli japo aligoma kufafanua kwa madai yupo likizo.
"Siwezi kulifanunua jambo hili kwa undani niko likizo," amesema.

Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amekana chama hicho kuhusika na suala hilo huku akieleza hata mitandao ya chama hicho haijarekodi taarifa zinazoelezwa kupitia barua ya msajili.

"Toka nilipopokea barua hiyo Oktoba 2, 2023 nimepitia mitandao rasmi ya kijamii ya Chadema sijaona video hiyo. Nafahamu pia Chadema haijatengeneza video yenye maudhui kama hayo yanayolalamikiwa," amesema Mnyika.

Mnyika amedai Ofisi ya Msajili inaendelea kupokea malalamiko hayo kutokana na kanuni kandamizi za maadili ya vyama vya siasa za mwaka 2019 zilizotokana na marekebisho mabaya ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019.

"Tunaendelea kutaka Katiba Mpya itakayowezesha kuwa na taasisi huru ikiwamo ofisi huru ya Msajili wa Vyama na kutungwa kwa sheria mpya ya vyama itakayolinda demokrasia, uhuru na haki za vyama vyama vya siasa," amesema.
Mutungi anatafuta kiki kupitia Chadema. Hapaswi kujibiwa huo ujinga wake mpaka alete evidence kuwa Chadema ndio waliotengeneza hako kavideo
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P


Rais wa awamu ya kwanza anaheshimika sana, ndani na nje ya nchi yetu lakini hadi mauti inamkuta, title yake maarufu na iliyotumika sana ni Mwl. Bado haikuwahi kupunguza hadhi yake.

NB: Siungi mkono mtu yeyote kuvunjiwa heshima Kwa namna yeyote ile. Hata ulipoitwa "njaa" mbele ya waandishi wa habari, binafsi sikufurahia na nilichukulia kama udhalilishaji
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Mkuu paschal mayala heshima haidaiwi Wala haiombwi huja yenyewe Kwa hili mtungi hastahili heshima hata kidogo ukiwemo wewetetezi wa wajinga
 
Msajili wa Milele wa Vyama vya siasa nchini Tanzania , Francis Mutungi , ameokota taarifa mitandaoni anbako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .

Sasa Mtukufu Mutungi moja kwa moja kaisingizia Chadema.

---
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kupokea barua kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inayowataka wajielezea ndani ya siku tano, tangu kupokea barua hiyo.

Kwa kujibu wa barua hiyo ambayo bado haijawekwa hadharani ilipokelewa na chama hicho tangu Oktoba 2, 2023 mchana, kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa ikitaka wajielezea kwa madai ya kurekodi maudhui ya video ya kumdhalilisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

CCM inakishutumu chama hicho cha upinzani, ikidai kimerekodi maudhui ya video hiyo na kuyasambaza kwenye mitandao yake ya kijamii, pamoja na ya wafuasi wake, maudhui ambayo yanaashiria kutengenezwa kwa makusudi kwa lengo la kutaka kumshushia hadhi kiongozi wao.

Mwananchi Digital ilipomuuliza Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuhusu barua hiyo, amekiri ni kweli japo aligoma kufafanua kwa madai yupo likizo.
"Siwezi kulifanunua jambo hili kwa undani niko likizo," amesema.

Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amekana chama hicho kuhusika na suala hilo huku akieleza hata mitandao ya chama hicho haijarekodi taarifa zinazoelezwa kupitia barua ya msajili.

"Toka nilipopokea barua hiyo Oktoba 2, 2023 nimepitia mitandao rasmi ya kijamii ya Chadema sijaona video hiyo. Nafahamu pia Chadema haijatengeneza video yenye maudhui kama hayo yanayolalamikiwa," amesema Mnyika.

Mnyika amedai Ofisi ya Msajili inaendelea kupokea malalamiko hayo kutokana na kanuni kandamizi za maadili ya vyama vya siasa za mwaka 2019 zilizotokana na marekebisho mabaya ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019.

"Tunaendelea kutaka Katiba Mpya itakayowezesha kuwa na taasisi huru ikiwamo ofisi huru ya Msajili wa Vyama na kutungwa kwa sheria mpya ya vyama itakayolinda demokrasia, uhuru na haki za vyama vyama vya siasa," amesema.
Sasa mbona haujaweka hiyo video
 
Ukiwa daktari wa tiba, unatibu wagonjwa, utaitwa Daktari ........ Lakini ikiwa ulisomea udaktari wa tiba lakini kumbe kazi yako kubwa ni ujambazi wa kutumia silaha, siku ukikamatwa utatajwa kwa jina lako halisi, yaani Jambazi Sugu ........, aliyekuwa amejificha kwenye udaktari tiba.

Huyu ni mhalifu aliyejificha kwenye ujaji.
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Kwahiyo kumuita mtu kwa tittle Ndio Heshima mkuu?
 
Mimi bado sijaelewa maana kwingine nasikia sijui bango limetengernezwa huku JF naona watu wanasema ni video. Kama ni video ya kiongozi wa CCM imevuja halafu CHADEMA wanalimwa barua mbona kama haingii akilini hivi. Nafikiri busara ni huyo mhusika wa hiyo video ndio aulizwe au waipeleke kwa wataalamu wa hiyo fani waifanyie uchunguzi kama ni kweli au wahuni wameitengeneza. Halafu huyo mheshimiwa Jaji Mutungi amewatumia barua CHADEMA ikiwa imeambatanishwa ushahidi/vielezo wa hiyo video au amewatumia barua kavu kavu bila viambatanisho? Hapa JF mtu akiposti kitu watu huwa wanasema habari bila picha haiminiki nadhani basi ni busara kwa Mnyika kumwambia Jaji Mutungi kuwa barua bila hiyo video inakosa mashiko.
 
JF kuanzia moderator na members idadi kubwa ccm walivokuwa vichwa maji wataomba ushaidi.
Na jiuliza kazi search engine na internet ni television ya TBC unasubiria vibindi Wala uwezi kubadilisha
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Teuzi utaishia kuzisikia kwenye Bomba tu.
 
Msajili wa Milele wa Vyama vya siasa nchini Tanzania , Francis Mutungi , ameokota taarifa mitandaoni anbako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .

Sasa Mtukufu Mutungi moja kwa moja kaisingizia Chadema.

---
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kupokea barua kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inayowataka wajielezea ndani ya siku tano, tangu kupokea barua hiyo.

Kwa kujibu wa barua hiyo ambayo bado haijawekwa hadharani ilipokelewa na chama hicho tangu Oktoba 2, 2023 mchana, kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa ikitaka wajielezea kwa madai ya kurekodi maudhui ya video ya kumdhalilisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

CCM inakishutumu chama hicho cha upinzani, ikidai kimerekodi maudhui ya video hiyo na kuyasambaza kwenye mitandao yake ya kijamii, pamoja na ya wafuasi wake, maudhui ambayo yanaashiria kutengenezwa kwa makusudi kwa lengo la kutaka kumshushia hadhi kiongozi wao.

Mwananchi Digital ilipomuuliza Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuhusu barua hiyo, amekiri ni kweli japo aligoma kufafanua kwa madai yupo likizo.
"Siwezi kulifanunua jambo hili kwa undani niko likizo," amesema.

Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amekana chama hicho kuhusika na suala hilo huku akieleza hata mitandao ya chama hicho haijarekodi taarifa zinazoelezwa kupitia barua ya msajili.

"Toka nilipopokea barua hiyo Oktoba 2, 2023 nimepitia mitandao rasmi ya kijamii ya Chadema sijaona video hiyo. Nafahamu pia Chadema haijatengeneza video yenye maudhui kama hayo yanayolalamikiwa," amesema Mnyika.

Mnyika amedai Ofisi ya Msajili inaendelea kupokea malalamiko hayo kutokana na kanuni kandamizi za maadili ya vyama vya siasa za mwaka 2019 zilizotokana na marekebisho mabaya ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019.

"Tunaendelea kutaka Katiba Mpya itakayowezesha kuwa na taasisi huru ikiwamo ofisi huru ya Msajili wa Vyama na kutungwa kwa sheria mpya ya vyama itakayolinda demokrasia, uhuru na haki za vyama vyama vya siasa," amesema.
Video ipi
Mbona Msajili anaasisi vitu tusivyovifahamu?
 
Back
Top Bottom