Jaji Francis Mutungi ailima barua CHADEMA, ataka ijieleze ndani ya siku 5

Jaji Francis Mutungi ailima barua CHADEMA, ataka ijieleze ndani ya siku 5

Kwahiyo Jaji katuzaa watanzania

Au CPA katuzaa?

Uzee unakujia kwa kasi sana 😂😂🔥
Pascal Mayalla unapofananisha kiongozi na baba yako mama yako au mjomba wako unakosea sana. Kinachotuunganisha sisi na viongozi iwe wa kuchaguliwa au kuteuliwa ni dhamana na majukumu tuliyowapa kisheria na kikatiba.
Hii dhana ya kuwafananisha na wazazi wetu ndio inatunyima nguvu ya kuwahoji na kuwawabisha, ni kama baba au mama afanye kosa nyumbani ni kweli siwezi kumuitisha kikao au kumtaka awajibike kwakuwa sio baba yangu kwa mujibu wa sheria na katiba. Lakini kiongozi sio mama wala baba yangu akifanya ujinga nitamwambia umefanya ujinga au upumbavu. Hili ni tatizo kubwa sana kwenye nchi za kijamaa ndio mana kuwajibishana kumekua kugumu sababu ya kuangaliana kwa jicho la undugu badala ya uongozi.
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Hivi kwanini huku kwetu tunapenda sana kutaja hizi title mara Wakili msomi, Dokta, Enginia, CPA, Jaji, Profesa na blablaa nyingi sana ila output zero kabisa...ila ukienda Uchina au Ulaya utasikia wakijitambisha mimi ni Mr xxxx au Miss au Mrs cccc kumbe humo kumbe utamkuta ni Eng. Dr. Xxxx na amefanya tafiti na mambo kibao yaliyoleta tija mwenye jamii.
Hii tamaduni tuliambukizwa na nani? Utamkuta hadi Mhitimu wa kozi ya Uhandisi au Udaktari tayari anajiita Engineer au Doctor baada tu ya kuhutimu chuo.
 
Huyu akiheshimiwa sana ataitwa Jaji Tumbo Mutungi, Jaji Mchongo Mutungi, Jaji Fake Mutungi au Jaji Uchwara Mutungi.

Yaani kumwita huyu Mutingi Jaji, yaani sawa sawa na Jaji Lugakingira au Jaji Nyalali, itakuwa ni kuwavunjia heshima hawa wengine ambao walikuwa majaji hasa, waliouishi ujaji, siyo huyo ambaye anaishi kufuata maelekezo hata kwa mambo.ambayo yeye alistahili kuelekeza.

Hata kama ungekuwa na title gani, usipoiishi hiyo title utadharaulika tu.

'Kuna wanasiasa malaya. Wananunulika. Hawa ni malaya tu' - Mwalimu Nyerere. Kwa maneno ya Mwalimu, hata uwe Rais, Waziri, waziri mkuu, Mwenyekiti au katibu wa chama au mbunge, kama unanunulika, wewe ni mwanasiasa malaya. Title yako tunaiweka pembeni, tutakupa title yako halisi, 'Mwanasiasa malaya ......'.
siongezi neno
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Katika kupambana na watu wa hovyo hovyo, Nyerere alisema heshima ya mtu itokane na huduma yake kwa umma. Huduma za kichizi kama hizi usilazimishe heshima ya kuteuliwa.
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Mayala=njaa
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Heshima haijengwi na cheo husika we Mayala!
Heshima hujengwa na mhusika mwenye cheo chenyewe!
Kama mwenye cheo anafanya mambo hovyo hawezi kuheshimiwa hataa kdg, na hii ipo ktk jamii yote
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Tukiwa nje ya siasa tutafanya hivyo lakini tukiwa ndani ya siasa hizo taito zenu hatuziweki ng'o, mwenyekiti wa CCM hayuko juu ya mwenyekiti wa Chadema na hatakuwa juu yake maisha.
 
Nawaza tu
Hiyo video inaweza kuipita Ile yakulishwa keki Kwa mdomo ya yule Raisi mweusi mfupi!!!

Vitu vingine ni aibu zakujitakia
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Wabunge walitunga Sheria kwenye mid eighties kwamba wawe addressed Kama 'mheshimiwa' lakini Kuna baadhi ya wabunge hawastahili kuitwa waheshimiwa kwasababu wao wenyewe hawajiheshimu.
Heshma Ni kitu Cha bure lakini anayestahili kuheshimiwa Ni yule anaye jiheshimu yeye mwenyewe.
Usitegemee mbunge shoga au msagaji au mwizi wa Mali ya umma au mwongo nimuite mheshimiwa.
 
Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Pengine anaondolewa title hiyo kwa umbumbumbu anaonesha ,perhaps
 
Heshima inatengenezwa na muhusika. kuna vitu ukivifanya vinakuvunjia heshima mwenyewe.. ndio maana wanasema heshima haiobwi ni automatic..wewe unamwombea heshima ......isitoshe huyo mtu ni jaji lakini ukiangalia mwenendo wake toka akalie hicho kiti huwezi kusema huyu mtu alifika level ya ujaji maana amekuwa akitekeleza mambo kisiasa zaidi kuliko proffessional.
Ningesoma mapema ulichomjibu paskol NAMI nisingekoment chochote kwake
 
Rais wa awamu ya kwanza anaheshimika sana, ndani na nje ya nchi yetu lakini hadi mauti inamkuta, title yake maarufu na iliyotumika sana ni Mwl. Bado haikuwahi kupunguza hadhi yake.

NB: Siungi mkono mtu yeyote kuvunjiwa heshima Kwa namna yeyote ile. Hata ulipoitwa "njaa" mbele ya waandishi wa habari, binafsi sikufurahia na nilichukulia kama udhalilishaji
Aliwakatalia katakata wasithubuti kumbatiza kitu kinaitwa daktari na hadhi hiyo alikuwa nayo

Alikuwa tofauti Sana na wakipekee,sio haya mazee yakileo haya yanakodiwa (uchawa mwingi mpaka weledi hawataki Tena watumie)
 
Back
Top Bottom