Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Baba yako au Mama yako unamuita kwa jina lake au kwa title yake?Kwahiyo kumuita mtu kwa tittle Ndio Heshima mkuu?
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yako au Mama yako unamuita kwa jina lake au kwa title yake?Kwahiyo kumuita mtu kwa tittle Ndio Heshima mkuu?
Francis mutungi.Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Hata siyo yale matusi ya nguoni ya tundulissu na mbatiya kweli. Mwaka 1985 nakumbuka Rais mpya walimtukana kina Mbatiya chuo kikuu matusi ya nguoni eti ana wake wawili. Majuzijuzi tundulissu ka.tukana Rais eti "anajiita mama". Yaani Tanzania tunayoijua sisi haiko hivo. Msajili In ndiye huyo huyo Msajili Out ukivunja masharti ya usajili wako.Msajili wa Milele wa Vyama vya siasa nchini Tanzania , Francis Mutungi , ameokota taarifa mitandaoni anbako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .
Sasa Mtukufu Mutungi moja kwa moja kaisingizia Chadema.
---
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kupokea barua kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inayowataka wajielezea ndani ya siku tano, tangu kupokea barua hiyo.
Kwa kujibu wa barua hiyo ambayo bado haijawekwa hadharani ilipokelewa na chama hicho tangu Oktoba 2, 2023 mchana, kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa ikitaka wajielezea kwa madai ya kurekodi maudhui ya video ya kumdhalilisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
CCM inakishutumu chama hicho cha upinzani, ikidai kimerekodi maudhui ya video hiyo na kuyasambaza kwenye mitandao yake ya kijamii, pamoja na ya wafuasi wake, maudhui ambayo yanaashiria kutengenezwa kwa makusudi kwa lengo la kutaka kumshushia hadhi kiongozi wao.
Mwananchi Digital ilipomuuliza Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuhusu barua hiyo, amekiri ni kweli japo aligoma kufafanua kwa madai yupo likizo.
"Siwezi kulifanunua jambo hili kwa undani niko likizo," amesema.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amekana chama hicho kuhusika na suala hilo huku akieleza hata mitandao ya chama hicho haijarekodi taarifa zinazoelezwa kupitia barua ya msajili.
"Toka nilipopokea barua hiyo Oktoba 2, 2023 nimepitia mitandao rasmi ya kijamii ya Chadema sijaona video hiyo. Nafahamu pia Chadema haijatengeneza video yenye maudhui kama hayo yanayolalamikiwa," amesema Mnyika.
Mnyika amedai Ofisi ya Msajili inaendelea kupokea malalamiko hayo kutokana na kanuni kandamizi za maadili ya vyama vya siasa za mwaka 2019 zilizotokana na marekebisho mabaya ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019.
"Tunaendelea kutaka Katiba Mpya itakayowezesha kuwa na taasisi huru ikiwamo ofisi huru ya Msajili wa Vyama na kutungwa kwa sheria mpya ya vyama itakayolinda demokrasia, uhuru na haki za vyama vyama vya siasa," amesema.
Mtungi ni zao la katiba mbovu ndio maana ana behave kama mama wa kambo.Hii video ni hatari tupu
Iangalieni imewekwa hapo juu
Utu uko wapi?Video ipo wapi?
Nimecheka hapa msajili wa kudumu nanyi pia mnaye mwenyekiti wa kudumu!Msajili wa Milele wa Vyama vya siasa nchini Tanzania , Francis Mutungi , ameokota taarifa mitandaoni anbako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .
Sasa Mtukufu Mutungi moja kwa moja kaisingizia Chadema.
---
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kupokea barua kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inayowataka wajielezea ndani ya siku tano, tangu kupokea barua hiyo.
Kwa kujibu wa barua hiyo ambayo bado haijawekwa hadharani ilipokelewa na chama hicho tangu Oktoba 2, 2023 mchana, kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa ikitaka wajielezea kwa madai ya kurekodi maudhui ya video ya kumdhalilisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
CCM inakishutumu chama hicho cha upinzani, ikidai kimerekodi maudhui ya video hiyo na kuyasambaza kwenye mitandao yake ya kijamii, pamoja na ya wafuasi wake, maudhui ambayo yanaashiria kutengenezwa kwa makusudi kwa lengo la kutaka kumshushia hadhi kiongozi wao.
Mwananchi Digital ilipomuuliza Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuhusu barua hiyo, amekiri ni kweli japo aligoma kufafanua kwa madai yupo likizo.
"Siwezi kulifanunua jambo hili kwa undani niko likizo," amesema.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amekana chama hicho kuhusika na suala hilo huku akieleza hata mitandao ya chama hicho haijarekodi taarifa zinazoelezwa kupitia barua ya msajili.
"Toka nilipopokea barua hiyo Oktoba 2, 2023 nimepitia mitandao rasmi ya kijamii ya Chadema sijaona video hiyo. Nafahamu pia Chadema haijatengeneza video yenye maudhui kama hayo yanayolalamikiwa," amesema Mnyika.
Mnyika amedai Ofisi ya Msajili inaendelea kupokea malalamiko hayo kutokana na kanuni kandamizi za maadili ya vyama vya siasa za mwaka 2019 zilizotokana na marekebisho mabaya ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019.
"Tunaendelea kutaka Katiba Mpya itakayowezesha kuwa na taasisi huru ikiwamo ofisi huru ya Msajili wa Vyama na kutungwa kwa sheria mpya ya vyama itakayolinda demokrasia, uhuru na haki za vyama vyama vya siasa," amesema.
kuna watu hawana hadhi ya kuitwa waheshiniwa kutokana na matendo yao regardless ya nafasi au vyeo walivyo navyo. Julius Nyerere hakujiita mheshimiwa na alikua na ana heshima kuanzia ngazi ya kijiji mpaka Dunia. hawa wapuuzi wanajikweza kuitwa waheshimiwa wakati matendo yao yanawadharaulisha kwenye jamii according to our moral standards. Ndio mana tunasema heshima ni kitu cha bure hakipaswi kudaiwa au kulazimishwa.Umemfumua ubongo
KARMA ! What goes around comes around !! Siungi mkono udhalilishaji wa aina yeyote kwa binadamu yeyote !!Kila ubaya utalipwa!
Kwahiyo Jaji katuzaa watanzaniaBaba yako au Mama yako unamuita kwa jina lake au kwa title yake?
P
Kwamba wamarekani wanamdharau Obama mwenye PHD ya havard Kwa kuandika Jina lake bila kuweka DR BALLACK OBAMA!!!!Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Yaani Samia asipo waona Hadi anatoka kwenye urahisi wewe na mwenzako wa kuitwa Mwashamba mnaweza changanyikiwa, Kwa kweli mnakipigania chama.Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Sasa huyu Mutungi naye vipi? Si ange share hako ka koneksheni na sisi tuonepo?Msajili wa Milele wa Vyama vya siasa nchini Tanzania , Francis Mutungi , ameokota taarifa mitandaoni anbako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .
Sasa Mtukufu Mutungi moja kwa moja kaisingizia Chadema.
---
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kupokea barua kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inayowataka wajielezea ndani ya siku tano, tangu kupokea barua hiyo.
Kwa kujibu wa barua hiyo ambayo bado haijawekwa hadharani ilipokelewa na chama hicho tangu Oktoba 2, 2023 mchana, kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Siasa ikitaka wajielezea kwa madai ya kurekodi maudhui ya video ya kumdhalilisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
CCM inakishutumu chama hicho cha upinzani, ikidai kimerekodi maudhui ya video hiyo na kuyasambaza kwenye mitandao yake ya kijamii, pamoja na ya wafuasi wake, maudhui ambayo yanaashiria kutengenezwa kwa makusudi kwa lengo la kutaka kumshushia hadhi kiongozi wao.
Mwananchi Digital ilipomuuliza Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuhusu barua hiyo, amekiri ni kweli japo aligoma kufafanua kwa madai yupo likizo.
"Siwezi kulifanunua jambo hili kwa undani niko likizo," amesema.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amekana chama hicho kuhusika na suala hilo huku akieleza hata mitandao ya chama hicho haijarekodi taarifa zinazoelezwa kupitia barua ya msajili.
"Toka nilipopokea barua hiyo Oktoba 2, 2023 nimepitia mitandao rasmi ya kijamii ya Chadema sijaona video hiyo. Nafahamu pia Chadema haijatengeneza video yenye maudhui kama hayo yanayolalamikiwa," amesema Mnyika.
Mnyika amedai Ofisi ya Msajili inaendelea kupokea malalamiko hayo kutokana na kanuni kandamizi za maadili ya vyama vya siasa za mwaka 2019 zilizotokana na marekebisho mabaya ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019.
"Tunaendelea kutaka Katiba Mpya itakayowezesha kuwa na taasisi huru ikiwamo ofisi huru ya Msajili wa Vyama na kutungwa kwa sheria mpya ya vyama itakayolinda demokrasia, uhuru na haki za vyama vyama vya siasa," amesema.
Hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Kwani usipoitwa jina lako kwa kuanza na hivyo vitangulizi vya Dr, Prof. Adv nk unapungukiwa nini eti?Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Si ilitakiwa huyo kiongozi wa chama chetu ndiye achukuliwe hatua kwa kukidhalilisha chama!!!ameokota taarifa mitandaoni anbako inadaiwa kuna video ya Aibu ya kiongozi wa ccm inasambaa mitandaoni .
Hivi huyo akienda kwao baba yake au mama yake mzazi atakumbuka kuyaweka hayo maneno si atamuita kwa jina lake halisi? Je na yeye atakuwa amemdharau mwanaye?kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Huishi kijikomba, rubbishHeshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P
Uwe unapunguza ujinga unapoamka. Uongo wake ni upi wakati barua ya Mutungi imeonyeshwa na Mnyika? Na Mnyika kawaomba Wenye video na pocha za kudhalilisha viongozi wa CHADEMA wazitume kwake ili amwandike Mutungi CCM wajieleze?Kama umejiunga Jana JF unaweza kufikiri taarifa za mtoa mada ni za kweli ila ukifuatilia utajilaumu sana kwa kuamini uongo wake
Kumheshimu Mtu asiyejiheshimu kama Mutungi ni kudhalilisha neno lenyewe "HESHIMA".Heshima kitu cha bure, position ya Msajili wa vyama vya siasa ni lazima ishikwe na mtu mwenye title ya Jaji mstaafu, hivyo kumtaja lazima uiweke title yake proper, ile title kama ya udakitari wa heshima, it's a real title kama ya Dr, Adv, CPA. Eng. Prof. etc kumuita Francis Mutungi bila Jaji Francis Mutungi ni kumdharau!.
Nafasi nyingine zinazishikwa na Jaji mstaafu ni Mwenyekiti wa NEC, Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Acha dharau!. And this is not the first time!, kiburi sii maugwana!.
P