Jaji Joachim Tiganga ameikosesha Mahakama point tatu muhimu dhidi ya Serikali

Jaji Joachim Tiganga ameikosesha Mahakama point tatu muhimu dhidi ya Serikali

Kitendo cha Jaji Joachim Tiganga aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake watatu kuamua kuwa wana kesi ya kujibu na baadaye serikali kupitia kwa DPP kusema hawana nia ya kuendelea na kesi kimeidhalilisha sana mahakama.

Endapo Jaji Tiganga angemaliza kesi hii mara baada ya Jamuhuri kumaliza ushahidi wake kwa kuamua kuwa akina Mbowe na wenzake hawana kesi ya kujibu, mahakama ingejijengea heshima kubwa sana kwa Watanzania na Dunia kwa ujumla. Hivi sasa mahakama imedhihirisha haiko huru na inategemea maoni ya serikali kuamua kesi.

Udhaifu huu wa mahakama umemfanya Samia kuwa shujaa (heroine) na kijizolea sifa asizostahili ndani na nje ya nchi. Sifa ambazo mahakama ingezipata kama ingetoa hukumu ya haki.

Jaji Mkuu anapaswa kujitafakari sana na hasa kwa kauli yake ya kuwataka majaji kutoa hukumu kwa kuzingatia maoni ya Jamuhuri.
Jaji nae alikuwa anaangalia posho halafu kwenye hukumu alilenga kitu ili apaishwe
 
[emoji871]Wacha kupotosha Umma wa watanzania.

[emoji871]Chadema hiyo hiyo ndio mliomtuma makamu mwenyekiti wenu Tundu Lissu kwenda kumuombea msamaha huko Ubelgiji.

[emoji871]Ni Chadema hao hao mliomtuma Askofu mkuu KKKT Gideon Shoo akiandamana na Kada mtiifu wenu Askofu Dk Benson Bagonza.

[emoji871]Kumuomba Mh Rais kumuachia huru Mbowe.

[emoji871]Kisheria hiyo kesi kama ingeanza kusikilizwa,kulikuwa Ni no Point of Return.

[emoji871]Wafuasi wa Chadema busara zenu ndogo sana.

[emoji871]Mkipewa fare deal bado mnaendekeza chokochoko tu.

[emoji871]Ndio maana maaskofu makini wa TEC walikataa kuhudhuria kikao kile ili kulinda heshima zao.
Unakereka ukiwa wapi? Umekula leo?
 
Jaji Joakim anachukua posho ya shs ngapi kwa siku
😂😂😂 Anataka kumalizia mjengo wake Mwanza kwa mgongo wa kesi ya kubumba ya ugaidi!
 
Sasa Kama mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu mlitaka mahakama iseme hana hatia?

Mbowe hakuwa Gaidi ni Mpuuzi tu atakaye amini hivyo.

Hata hiyo Mahakama ilijua hivyo Mbowe hakuwa Gaidi.

Kesi ilikuwa ya Mchongo kama ilivyokuwa kuachiwa kwake.
 
Kesi ya mchongo lakini alikutwa na KESI ya kujibu?
uwa mnajipa madaraka ya mahakama
Mbowe hakuwa Gaidi ni Mpuuzi tu atakaye amini hivyo.

Hata hiyo Mahakama ilijua hivyo Mbowe hakuwa Gaidi.

Kesi ilikuwa ya Mchongo kama ilivyokuwa kuachiwa kwake.
 
😂😂😂 Anataka kumalizia mjengo wake Mwanza kwa mgongo wa kesi ya kubumba ya ugaidi!
images (2).jpg
 
[emoji871]Wacha kupotosha Umma wa watanzania.

[emoji871]Chadema hiyo hiyo ndio mliomtuma makamu mwenyekiti wenu Tundu Lissu kwenda kumuombea msamaha huko Ubelgiji.

[emoji871]Ni Chadema hao hao mliomtuma Askofu mkuu KKKT Gideon Shoo akiandamana na Kada mtiifu wenu Askofu Dk Benson Bagonza.

[emoji871]Kumuomba Mh Rais kumuachia huru Mbowe.

[emoji871]Kisheria hiyo kesi kama ingeanza kusikilizwa,kulikuwa Ni no Point of Return.

[emoji871]Wafuasi wa Chadema busara zenu ndogo sana.

[emoji871]Mkipewa fare deal bado mnaendekeza chokochoko tu.

[emoji871]Ndio maana maaskofu makini wa TEC walikataa kuhudhuria kikao kile ili kulinda heshima zao.
Hivi hapa Tanzania mtuhumiwa yeyote wa uhalifu akiombewa msamaha kwa rais basi kesi inafutwa ndio sheria za Tanzania zilivyo.

Siku nyingine usikubali watu watambue kwamba wewe ni mpumbavu.
 
Mahakama za Tanzania zinaongozwa kwa maelekezo..shame 🚮🚮🚮
 
1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!

Umejifunza Nini?
Nimejifunza jeshi la magereza kukosa gali la kuwapelekea akina mbowe mahakamani na kesi ikahairishwa mpaka cku nyingine
 
Kesi ya mchongo lakini alikutwa na KESI ya kujibu?
uwa mnajipa madaraka ya mahakama
Ni kweli Jaji wa mchongo aliamua Mbowe ana kesi ya kujibu katika tuhuma za mchongo!
 
Kitendo cha Jaji Joachim Tiganga aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake watatu kuamua kuwa wana kesi ya kujibu na baadaye serikali kupitia kwa DPP kusema hawana nia ya kuendelea na kesi kimeidhalilisha sana mahakama.

Endapo Jaji Tiganga angemaliza kesi hii mara baada ya Jamuhuri kumaliza ushahidi wake kwa kuamua kuwa akina Mbowe na wenzake hawana kesi ya kujibu, mahakama ingejijengea heshima kubwa sana kwa Watanzania na Dunia kwa ujumla. Hivi sasa mahakama imedhihirisha haiko huru na inategemea maoni ya serikali kuamua kesi.

Udhaifu huu wa mahakama umemfanya Samia kuwa shujaa (heroine) na kijizolea sifa asizostahili ndani na nje ya nchi. Sifa ambazo mahakama ingezipata kama ingetoa hukumu ya haki.

Jaji Mkuu anapaswa kujitafakari sana na hasa kwa kauli yake ya kuwataka majaji kutoa hukumu kwa kuzingatia maoni ya Jamuhuri.
Nilisema ,Kama jaji Tiganga ataamua kwamba Kuna kesi ya kujibu ajiandae kuaibika huko mbele.Sasa yametimia.Jaji mzima usikulize ushahidi wote wa prosecution ,uone prima facie case halafu prosecution watie nolle! Kuna shida kwa huyo jaji.
 
Kitendo cha Jaji Joachim Tiganga aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake watatu kuamua kuwa wana kesi ya kujibu na baadaye serikali kupitia kwa DPP kusema hawana nia ya kuendelea na kesi kimeidhalilisha sana mahakama.

Endapo Jaji Tiganga angemaliza kesi hii mara baada ya Jamuhuri kumaliza ushahidi wake kwa kuamua kuwa akina Mbowe na wenzake hawana kesi ya
Watu wanaofikiri na kutoa ushauri uliosahihi au kutekeleza kama wewe unavyohoji siyo wengi hapa Tanzania. Wengi wanatazama kiongozi wao anachotaka kusikia au kuimba mara moja pambio la kusifu bila kumsaidia kiongozi wao kwa kumpa uchambuzi wa kitaalam na wenye hoja. Vinginevyo, Tanzania ingekuwa mbaliii!
 
1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!

Umejifunza Nini?
Nimejifunza kuwa kumbe hata mahakamani watu wanaoaminika Sana na Jamhuri, kumbe Wana asili ya uongo😄
 
Nimejifunza kuwa kumbe hata mahakamani watu wanaoaminika Sana na Jamhuri, kumbe Wana asili ya uongo😄
Kwakweli,magereza wanampa taarifa Jaji kuwa Mbowe ni mgonjwa kumbe sivyo!
 
Back
Top Bottom