Jaji Joachim Tiganga ameikosesha Mahakama point tatu muhimu dhidi ya Serikali

Jaji nae alikuwa anaangalia posho halafu kwenye hukumu alilenga kitu ili apaishwe
 
Unakereka ukiwa wapi? Umekula leo?
 
Jaji Joakim anachukua posho ya shs ngapi kwa siku
😂😂😂 Anataka kumalizia mjengo wake Mwanza kwa mgongo wa kesi ya kubumba ya ugaidi!
 
Sasa Kama mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu mlitaka mahakama iseme hana hatia?

Mbowe hakuwa Gaidi ni Mpuuzi tu atakaye amini hivyo.

Hata hiyo Mahakama ilijua hivyo Mbowe hakuwa Gaidi.

Kesi ilikuwa ya Mchongo kama ilivyokuwa kuachiwa kwake.
 
Kesi ya mchongo lakini alikutwa na KESI ya kujibu?
uwa mnajipa madaraka ya mahakama
Mbowe hakuwa Gaidi ni Mpuuzi tu atakaye amini hivyo.

Hata hiyo Mahakama ilijua hivyo Mbowe hakuwa Gaidi.

Kesi ilikuwa ya Mchongo kama ilivyokuwa kuachiwa kwake.
 
Hivi hapa Tanzania mtuhumiwa yeyote wa uhalifu akiombewa msamaha kwa rais basi kesi inafutwa ndio sheria za Tanzania zilivyo.

Siku nyingine usikubali watu watambue kwamba wewe ni mpumbavu.
 
Mahakama za Tanzania zinaongozwa kwa maelekezo..shame 🚮🚮🚮
 
Nimejifunza jeshi la magereza kukosa gali la kuwapelekea akina mbowe mahakamani na kesi ikahairishwa mpaka cku nyingine
 
Kesi ya mchongo lakini alikutwa na KESI ya kujibu?
uwa mnajipa madaraka ya mahakama
Ni kweli Jaji wa mchongo aliamua Mbowe ana kesi ya kujibu katika tuhuma za mchongo!
 
Nilisema ,Kama jaji Tiganga ataamua kwamba Kuna kesi ya kujibu ajiandae kuaibika huko mbele.Sasa yametimia.Jaji mzima usikulize ushahidi wote wa prosecution ,uone prima facie case halafu prosecution watie nolle! Kuna shida kwa huyo jaji.
 
Watu wanaofikiri na kutoa ushauri uliosahihi au kutekeleza kama wewe unavyohoji siyo wengi hapa Tanzania. Wengi wanatazama kiongozi wao anachotaka kusikia au kuimba mara moja pambio la kusifu bila kumsaidia kiongozi wao kwa kumpa uchambuzi wa kitaalam na wenye hoja. Vinginevyo, Tanzania ingekuwa mbaliii!
 
Nimejifunza kuwa kumbe hata mahakamani watu wanaoaminika Sana na Jamhuri, kumbe Wana asili ya uongo😄
 
Nimejifunza kuwa kumbe hata mahakamani watu wanaoaminika Sana na Jamhuri, kumbe Wana asili ya uongo😄
Kwakweli,magereza wanampa taarifa Jaji kuwa Mbowe ni mgonjwa kumbe sivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…