johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jaji Kiongozi Mh Mustapha Siyani amewataka watumishi wa mahakama watende Haki kwani bila kufanya hivyo wananchi watajichukulia sheria mkononi akitolea mfano wa ongezeko la mauaji linalotokea nchini kwa sasa.
Jaji Siyani alikuwa anaongea na watumishi wa mahakama wilayani Kondoa, Dodoma.
Chanzo: ITV habari!
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Jaji Siyani alikuwa anaongea na watumishi wa mahakama wilayani Kondoa, Dodoma.
Chanzo: ITV habari!
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!