Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani jaji ana wasiwasi gani, si mahakama zetu zinatenda haki kwa majibu wa sheria? Nini kimempa shaka hata kutoa kauli hiyo?Jaji Kiongozi mh Mustapha Siyani amewataka watumishi wa mahakama watende Haki kwani bila kufanya hivyo wananchi watajichukulia sheria mkononi akitolea mfano wa ongezeko la mauaji linalotokea nchini kwa sasa.
Jaji Siyani alikuwa anaongea na watumishi wa mahakama wilayani Kondoa, Dodoma.
Chanzo: ITV habari!
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kesi ya Mbowe bado haijaishaHawa viongozi WA Africa tabu sana. Jaji Siyani anapata wapi huo ujasiri WA kuyasema hayo?? Kwenye kesi ya MH. Mbowe alitenda haki??
This blood so called judge is nonsense! aliyoyafanmya kwenye kesi ya Mbowe ndiyo haki? Majitu ya limu ya kuunga unga wanaokoteza huko na kuyapa ujajiJaji Kiongozi mh Mustapha Siyani amewataka watumishi wa mahakama watende Haki kwani bila kufanya hivyo wananchi watajichukulia sheria mkononi akitolea mfano wa ongezeko la mauaji linalotokea nchini kwa sasa.
Jaji Siyani alikuwa anaongea na watumishi wa mahakama wilayani Kondoa, Dodoma.
Chanzo: ITV habari!
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Ndio nyinyi hao hao blood injusticeKesi ya Mbowe bado haijaisha
Tuusubiri mwisho wake kwanza.
Jaji Wa Mchongo (Connection)
Wewe hata ukiiona hoja mahali huwezi kuitambuaMpinge kwa hoja!
Hata kwa Kesi ya Mh Mbowe ndugu jaji kiongozi?Jaji Kiongozi mh Mustapha Siyani amewataka watumishi wa mahakama watende Haki kwani bila kufanya hivyo wananchi watajichukulia sheria mkononi akitolea mfano wa ongezeko la mauaji linalotokea nchini kwa sasa.
Jaji Siyani alikuwa anaongea na watumishi wa mahakama wilayani Kondoa, Dodoma.
Chanzo: ITV habari!
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Nasikia ukoo wenu umetengwa!Wewe hata ukiiona hoja mahali huwezi kuitambua
Unafikirisha sana pale ibilisi anapo hubiri haki.Yeye mwenyewe alishindwa kutenda haki anataka wenzie ndiyo watende!