elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 169
- 23
Cha muhimu tuangalie cv yake na ku compare na wengine kama Mbwana ndiyo tuangalie kama issue ni udini au vipi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale yale ya wale wale....msini-quote vibaya!!
Lazima tukemee pale tunapoona udini unachukua kasi.
Alishaahidi kila nafasi ikitokea lazima amchague m-kadhi na angalia nafasi zake nyingi za uteuzi.
post yako #266 was very good halafu tena ukaichakachua na hii ya udinini zamu ya waislamu kutesa
jk is very strategic. Angalia mihimili yote mitatu sijui unaona nini?:a s-alert1:
Uteuzi huu una harafu kali ya udini....alipomteua justice Ramadhan alijua ni mzee na hata kaa sana......sasa huyu ni kijana atakaa miaka 7..........au kwa lugha nyingine atamzidi JK kwa miaka miwili................................
lengo ni kuhakikisha mapingamizi dhidi ya sheria mpya ya mahakama ya kadhi yanatupiliwa mbali chini ya uongozi wa Chief Justice Othmani.............again JK is simply disgusting..............................
wakristu badala ya kupiga kelele you better brace for impact! Oic na kadhi hazikwepeki kwa vyovyote vile. Anzeni kuzoea. Ila kinachouma zaidi ni kuwa top four za tanzania (bila kugusa zanzibar) yupo mtu mmoja mkristu anayeweza kukaimu urais (speaker ana makinda). Usalama wa taifa (muislam), wizara ya mambo ya ndani (usalam ni mwislam), mahakama (mwislam), urais (mwislam). Kwa nini jk hana imani na wakristu kwenye mambo ya usalama?
ninyi si mna rais wenu DR. MFUKO WA CEMENT 5000/= SASA MNALALAMIKA NINI.
UCHUNGU UKIZIDI UNACHUKUA KAMBA HALAFU UNAIZUNGUSHA SHINGONI KISHA UNAFUNGA KWENYE MTI.
SISI WENGINE HUKO NYUMA HATUKUWA TUKIANGALIA MAJINA BALI UTENDAJI. LEO HALI IMEKUWA KINYUME. BUT ITS ONLY 1 OUT OF 5.
davies mwamunyange, huyu ndio mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama. Hao wote uliowaorodhesha hapo break yao ni kwa huyu bwana, na ndio boss wa hao wote, kama point yako imekaa kidini basi wewe ni loser, nchi yoyote lazima uweze kulizibiti jeshi, na jeshi la nchi hii linaongozwa na mkristo ambaye ni davies. Tpdf
Nakushangaa sana unapomuingiza Dr Slaa na Chadema kwenye ubishani wa wana JF wanaohoji uteuzi wa Kikwete wa CJ,kama wengine wanavyosema kama unalo la kutujuza ungetuelewesha kwamba amechaguliwa kulingana na sifa zake za kitaaluma na uzoefu,na pia hata kama ndugu yake wa damu yuko TISS labda hakutakuwa na muingiliano wa madaraka unatakiwa kupunguza hasira zako kwa kila kitu kumuhusisha DR Slaa na Chadema kwenye mambo yasiohitaji kuwahusisha sidhani Chadema au Dr Slaa wanaingiza akili kwenye vichwa vya wana JF ni individuals wenye maono yao,Swala la Zitto limeshazungumzwa sana hapa yeye mwenyewe ndiye aliyechemsha na kwa maana hiyo imekula kwake,Daah nilikuwa nashabikia CHADEMA nimeacha kumpa kura kikwete kama 2005 nikampa SLAA kura yangu yeye na mbunge na diwani wake, kumbe naishabikia CHADEMA bila kujua chama chenyewe na wafuasi wake ni wadini.
sasa nimegundua hawa jamaa hawapo kiukombozi zaidi zaidi wapo kidini. JK akichagua kiongozi mzuri mkiristo wanashangila ona kwa Magufuli, Mwakyembe n.k lakini akichaguliwa Muislamu wanaanza JK mdini. Jamani waslamu hajasoma lakini wapo wachache wameenda shule wapongezeni wakichaguliwa ili na wao waijenge nchi yao kwa moyo mmoja.
Samahani Raisi wangu Kikwete kwa kuto kuchagua naapa 2015 nitaichagua CCM sitajali dini wala kabila kwa sababu najua CCM hakuna udini ndiyo maana kila mwaka munashinda tena 2015 mutashinda kwa kishindo kwa sababu CHADEMA haina miaka zaidi ya mitatu kitakuwa kimekufa au kipo hoi angalia dalili zimeshaanza kuonekana wanampinga ZITTO Kabwe kwa sababu jamaa ni Muislamu na anamuunga mkono JK
Mbumbumbu mzungu wa reli mauaji ya kimbari hayana mwaka nchi hii yatotokea kwa ajili ya mpumbavu muliyemuapisha asiye soni mdini mdini mdini kama alivyosema mwenyewe ikulu hapatakuwa patamu shurti akanyage maiti za watu ndio aweze kukaa kwa miaka mitanokwani hukumsikia yule paroko aliyechagiza watawala wang'olewe?. Angelikuwa sheikh angekamatwa na kufunguliwa kesi ya uhaini. Hivyo lazima uwe strategic kuzuia mauaji ya kimbari kama ya rwanda yaliyoratibika na maparoko.