Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi

Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahimu Juma amesema kesi zinatakiwa kufikishwa mahakama baada ya upelelezi kukamilika lakini kinachofanyika ni tofauti na kusababishia wafungwa kujaa magereza.

Kiongozi huyo aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuwaapisha mawakili alisema tangazo lilitolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) mwaka 2012 linawataka wasikamate watu kabla ya upelelezi kukamilika.

“Kwa bahati mbaya hilo halifuatwi utakuta watu wanakamatwa ndipo upelelezi unaanza hilo linachangiwa, alisesema Jaji Mkuu.

Aidha, Jaji Mkuu alisema kumekuwa na changamoto upelelezi kutumia muda mrefu kukamilika hivvyo wapelelezi wanatakiwa kulaumiwa na sio mahakama.

“Watu wa kulaumiwa hasa ni wspelelezi na sio mahakama upelelezi unachukua muda mrefu na sababu wanazozitoa mahakamani hazina mashiko sisi tunataratibu zetu ambazo DPP alishazitoa katika tangazo la mwaka 2012,” alisema Jaji Mkuu.

Aliongezea kuwa:” Tangazo linasema usimkamate mtu kabla ya upelelezi kukamilisha bahati mbaya hilo halifuatwi watu wanawakamata ndipo upelelezi unaanza inachabgia kuongeza wafungwa gerezani,” alisema Jaji Mkuu.
 
Kutafuta jusfication za kuwaachia watu fulani. Kwanini hawajaachiwa sehemu zote bali kunachaguliwa sehemu moja. Kama jaji Mkuu anazungumziaje mhimili mmoja kushinikiza waliokutwa na hatia na mahakama waachiwe?
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahimu Juma amesema kesi zinatakiwa kufikishwa mahakama baada ya upelelezi kukamilika lakini kinachofanyika ni tofauti na kusababishia wafungwa kujaa magereza.

Kiongozi huyo aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuwaapisha mawakili alisema tangazo lilitolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) mwaka 2012 linawataka wasikamate watu kabla ya upelelezi kukamilika.

“Kwa bahati mbaya hilo halifuatwi utakuta watu wanakamatwa ndipo upelelezi unaanza hilo linachangiwa, alisesema Jaji Mkuu.

Aidha, Jaji Mkuu alisema kumekuwa na changamoto upelelezi kutumia muda mrefu kukamilika hivvyo wapelelezi wanatakiwa kulaumiwa na sio mahakama.

“Watu wa kulaumiwa hasa ni wspelelezi na sio mahakama upelelezi unachukua muda mrefu na sababu wanazozitoa mahakamani hazina mashiko sisi tunataratibu zetu ambazo DPP alishazitoa katika tangazo la mwaka 2012,” alisema Jaji Mkuu.

Aliongezea kuwa:” Tangazo linasema usimkamate mtu kabla ya upelelezi kukamilisha bahati mbaya hilo halifuatwi watu wanawakamata ndipo upelelezi unaanza inachabgia kuongeza wafungwa gerezani,” alisema Jaji Mkuu.
Huyu jamaa ndio jaji mkuu wa kiwango cha chini zaidi kuwahi kutokea nchi hii tangu ipate uhuru
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahimu Juma amesema kesi zinatakiwa kufikishwa mahakama baada ya upelelezi kukamilika lakini kinachofanyika ni tofauti na kusababishia wafungwa kujaa magereza.

Kiongozi huyo aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuwaapisha mawakili alisema tangazo lilitolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) mwaka 2012 linawataka wasikamate watu kabla ya upelelezi kukamilika.

“Kwa bahati mbaya hilo halifuatwi utakuta watu wanakamatwa ndipo upelelezi unaanza hilo linachangiwa, alisesema Jaji Mkuu.

Aidha, Jaji Mkuu alisema kumekuwa na changamoto upelelezi kutumia muda mrefu kukamilika hivvyo wapelelezi wanatakiwa kulaumiwa na sio mahakama.

“Watu wa kulaumiwa hasa ni wspelelezi na sio mahakama upelelezi unachukua muda mrefu na sababu wanazozitoa mahakamani hazina mashiko sisi tunataratibu zetu ambazo DPP alishazitoa katika tangazo la mwaka 2012,” alisema Jaji Mkuu.

Aliongezea kuwa:” Tangazo linasema usimkamate mtu kabla ya upelelezi kukamilisha bahati mbaya hilo halifuatwi watu wanawakamata ndipo upelelezi unaanza inachabgia kuongeza wafungwa gerezani,” alisema Jaji Mkuu.
Yaani hili nalo lilingoja mpaka tamko la jaji mkuu? Majaji wengine wote hawakuliona!
Na kwahiyo Jaji Mkuu haoni au hana habari kuhusu kesi za kubambikiwa wapinzani kama ya kifo cha Aquiline?
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahimu Juma amesema kesi zinatakiwa kufikishwa mahakama baada ya upelelezi kukamilika lakini kinachofanyika ni tofauti na kusababishia wafungwa kujaa magereza.

Kiongozi huyo aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuwaapisha mawakili alisema tangazo lilitolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) mwaka 2012 linawataka wasikamate watu kabla ya upelelezi kukamilika.

“Kwa bahati mbaya hilo halifuatwi utakuta watu wanakamatwa ndipo upelelezi unaanza hilo linachangiwa, alisesema Jaji Mkuu.

Aidha, Jaji Mkuu alisema kumekuwa na changamoto upelelezi kutumia muda mrefu kukamilika hivvyo wapelelezi wanatakiwa kulaumiwa na sio mahakama.

“Watu wa kulaumiwa hasa ni wspelelezi na sio mahakama upelelezi unachukua muda mrefu na sababu wanazozitoa mahakamani hazina mashiko sisi tunataratibu zetu ambazo DPP alishazitoa katika tangazo la mwaka 2012,” alisema Jaji Mkuu.

Aliongezea kuwa:” Tangazo linasema usimkamate mtu kabla ya upelelezi kukamilisha bahati mbaya hilo halifuatwi watu wanawakamata ndipo upelelezi unaanza inachabgia kuongeza wafungwa gerezani,” alisema Jaji Mkuu.
DPP ni mmoja wa wanaokamata (tena wakati mwingine kwa kificho kama anateka) kabla ya upelelezi kukamilika. Nashukuru umelisemea hili tutumaini watafanya hivyo.
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahimu Juma amesema kesi zinatakiwa kufikishwa mahakama baada ya upelelezi kukamilika lakini kinachofanyika ni tofauti na kusababishia wafungwa kujaa magereza.

Kiongozi huyo aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuwaapisha mawakili alisema tangazo lilitolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) mwaka 2012 linawataka wasikamate watu kabla ya upelelezi kukamilika.

“Kwa bahati mbaya hilo halifuatwi utakuta watu wanakamatwa ndipo upelelezi unaanza hilo linachangiwa, alisesema Jaji Mkuu.

Aidha, Jaji Mkuu alisema kumekuwa na changamoto upelelezi kutumia muda mrefu kukamilika hivvyo wapelelezi wanatakiwa kulaumiwa na sio mahakama.

“Watu wa kulaumiwa hasa ni wspelelezi na sio mahakama upelelezi unachukua muda mrefu na sababu wanazozitoa mahakamani hazina mashiko sisi tunataratibu zetu ambazo DPP alishazitoa katika tangazo la mwaka 2012,” alisema Jaji Mkuu.

Aliongezea kuwa:” Tangazo linasema usimkamate mtu kabla ya upelelezi kukamilisha bahati mbaya hilo halifuatwi watu wanawakamata ndipo upelelezi unaanza inachabgia kuongeza wafungwa gerezani,” alisema Jaji Mkuu.
Hilo likifanyika mahabusu watapungua magerezani. Askari wetu wajaribu kutazama documentary za DISCOVERY DX. Wenzetu wanapopeleleza hawakamati mtu mpaka wawe na ushahidi usio tia shaka na mara nyingine hutoa hata business cards zao kwa ajili ya mawasiliano kama mtu atakuwa na any information kuhusu tukio husika. Kwetu sisi ni pingu, tanganyika jack, kirungu, mateso ya kukiri kosa nk. Hii inaweza kupelekea mtu kuwekwa rumande kwa muda mrefu hata miaka na baadaye kuachiwa kwa kukosa ushahidi lakini akiwa amekaa muda mrefu mahabusu. Pengine kuwepo na fidia ambayo italipwa kwa mhanga pale ambapo ataonekana alikamatwa na baadaye kuachiwa baada ya kuonekana hana kosa.
 
Jaji mkuu eti naye analalamika tu kwani hajui kuwa kwenye vyesi vya sasa vya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na vinavyohusu wapinzani lengo ni ukomoaji na wala sio kukidhi matakwa ya kisheria.

Kwani ina maana hajui nani yuko nyuma ya hivyo vyesi.
 
Hii style ni kama tu ile ‘detention without trial ya enzi hizo.’
Watu wanaswekwa ndani zaidi ya miaka mitatu huo upelelezi utakamilika lini.
Waendesha mashitaka wa ngazi zote wanapaswa kuchaguliwa kwenye sanduku la kura na wananchi ili wasipotatua matatizo ya uhalifu wa aina zote ikiwamo ukandamizaji wa vyombo vya dola dhidi ya wananchi na ufisadi wajue kuwa wananchi watwachinjia baharini kwa visu vya kura mara mihula yao ya kukaa ofisini itakapokuwa imeisha. Hebu tuige demokrasia katika mambo ya msingi na sio kuhaha tu na chaguzi za madiwani na viongozi wa vitongoji.
 
Back
Top Bottom