Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wangelifanyia kazi hilo invekuwa njema sana. Maana akina malinzi waliingia ndani 2017 miezi ya tano au sita, ila upelelezi umekamilika katikati ya mwaka huu. Sasa kama mkigundua kwamba hana hatia mtamlipa kwa muda mwingi mliomkalisha mahabusu mtuhumiwa.Jaji mkuu wa Tanzania ameshauri wapelezi wa kesi kuharakisha upelelezi wa kesi ndipo mtu akamatwe "Mahakama hazipaswi kulaumiwa kwa msongamano wa watu magerezani bali wapelelezi wa kesi, wapelelezi huchukua muda mrefu kukamilisha upelelezi na sababu wao kuchukua muda mrefu wakati mwingine hazina mashiko" Jaji Mkuu
awamu hii alama kwenye paji la uso ni muhimu sana kama hutaki shidaKazungumza maneno ya kwenye majukwaa na sio hali halisi.Kama anadhamira na kweli anasali aanzishe mchakato wa kubadili baadhi ya sheria za kikoloni.Nchi zote isipokuwa za kidikteta kesi zote zinadhaminika isipokuwa murder.
Uhujumu uchumi ni fimbo ya kuwatesea wasio na chapa kwenye paji la uso.Ila Maisha ni upepo milango ya jela watakayotokea wenzao ndio watakayoingilia maana jela haina mwenyewe.
Uliona wapi kesi za kubambikwa ushahidi ukakamilika kwa wakati?Kama wangelifanyia kazi hilo invekuwa njema sana. Maana akina malinzi waliingia ndani 2017 miezi ya tano au sita, ila upelelezi umekamilika katikati ya mwaka huu. Sasa kama mkigundua kwamba hana hatia mtamlipa kwa muda mwingi mliomkalisha mahabusu mtuhumiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipopigwa chapa utapata tabu sana awamu hiiawamu hii alama kwenye paji la uso ni muhimu sana kama hutaki shida
Waambie jeshi la polisi wanaotupeleka lockup week nzima na kutuachia bila kosa.Jaji mkuu wa Tanzania ameshauri wapelezi wa kesi kuharakisha upelelezi wa kesi ndipo mtu akamatwe "Mahakama hazipaswi kulaumiwa kwa msongamano wa watu magerezani bali wapelelezi wa kesi, wapelelezi huchukua muda mrefu kukamilisha upelelezi na sababu wao kuchukua muda mrefu wakati mwingine hazina mashiko" Jaji Mkuu
Jaji mkuu wa Tanzania ameshauri wapelezi wa kesi kuharakisha upelelezi wa kesi ndipo mtu akamatwe "Mahakama hazipaswi kulaumiwa kwa msongamano wa watu magerezani bali wapelelezi wa kesi, wapelelezi huchukua muda mrefu kukamilisha upelelezi na sababu wao kuchukua muda mrefu wakati mwingine hazina mashiko" Jaji Mkuu
Kama jaji mkuu anaburuzwa kila hafla ya rais hata kuzindua kisima cha maji, ataweza kusimamia haki kweli? Yeye kashakubali kuburuzwa atii tu ili mlo wake ujae vizuri kwenye sahani. Hii kauli yake ni furahisha genge.