Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi

Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi

Jaji mkuu eti naye analalamika tu kwani hajui kuwa kwenye vyesi vya sasa vya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na vinavyohusu wapinzani lengo ni ukomoaji na wala sio kukidhi matakwa ya kisheria.

Kwani ina maana hajui nani yuko nyuma ya hivyo vyesi.
Mpemba safi wewe. Kinyesi = vinyesi. Kikombe = Vikombe. Kesi = Vyesi.

Kuna yule mwenzako alisema kaibiwa Kespa kwa vile no moja badala ya Vespa!
 
Ndio nimepitia maandiko yake kadhaa na kuona kuwa kuna harufu ya uchochezi wa ghasia

Mimesikikiza recorded voice na kujilidhisha kuwa membe amevuka mipaka

Nimeona kundi lililopo nyuma yake nakujilidhisha kuwa membe anania ovu


Nimeona kauli zake za uchochezi kuhusu watu kutekwa na wasiwasi wa watumishi wa umma ni kweli mbembe amekengeuka

Hitimisho

Sio mambo ya kuwakamata wachochezi wadogo na wanasiasa wa upinzani tu hata ndani ya chama pia maana Charity began at home so badala ya kumuita kwenye KAMATI ya kichama apelekwe kwenye sheria za nchi bila kujali alikuwa nani na yuko nyuma ya nani tufanye sawa kama kwa wapinzani na wanaharakati


USSR
Screenshot_20191231-040632.jpeg
Screenshot_20191231-040647.jpeg
Screenshot_20191231-040615.jpeg
Screenshot_20191231-040558.jpeg
Screenshot_20191231-035601.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20191231-035601.jpeg
    Screenshot_20191231-035601.jpeg
    43.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20191231-035542.jpeg
    Screenshot_20191231-035542.jpeg
    31.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20191231-035233.jpeg
    Screenshot_20191231-035233.jpeg
    38.1 KB · Views: 1
..Jaji Mkuu hatakiwi kuwashinikiza majaji na mahakimu ktk maamuzi yao.

..lakini pia Jaji Mkuu aliwahi kutoa kauli kuwa Mahakama haitatoa ushirikiano kwa wanaharakati.

..Sasa hoja hii ya kupinga wananchi kuwekwa mahabusu muda mrefu huku upelelezi haujakamilika ni hoja ya muda mrefu wa wanaharakati.

..kwa hiyo inafurahisha kwamba Jaji Mkuu ameona mantiki ktk hoja hiyo na ameamua kuiunga mkono.

..Lakini itapendeza na itakuwa jambo la kiungwana kama ataomba radhi kwa kauli zisizopendeza alizowahi kutoa dhidi ya wanaharakati.
Mkuu hoja hii tumeiongelea hapa JF miaka mingi.

Si hivyo tu, tulihoji kwanini watu wakamatwe weekend bila kufikishwa mahakamani katika masaa 24.

Tulihoji sana hivi Polisi inamkataje mtu bila ushahidi wa kutosha?
Kwamba mtu anakamatwa, ushahidi unatafutwa! wapi hili linatokea kwingine

Pili, Jaji aliwahi kusema suala la TL uchunguzi lazima ufanywe na vyombo vya ndani.
Sijui wakati BoT ikiungua alikuwa nchini au nje ya nchi.
Hili lilikuja baada ya shinikizo la wachunguzi wa nje, naye akaingia

Tatu, Jaji anapolalamika inasikitisha. Yeye ni mhimili, hivi amekaa na Wenzake na kutafuta suluhu ya tatizo? Kinachoonekana ni kusema ''mimi sihusiki'' kama Mwana jf yoyote.

Nne, Sugu alipomkataa hakimu hivi haikuwa haki yake?
Jaji alikaa kimya. Nadhani alipaswa atoe neno kuondoa utata, hakutoa.

Yapo mengi inatosha kusema, nafasi si kama ilivyokuwa! viatu ni vikubwa
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahimu Juma amesema kesi zinatakiwa kufikishwa mahakama baada ya upelelezi kukamilika lakini kinachofanyika ni tofauti na kusababishia wafungwa kujaa magereza.

Kiongozi huyo aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuwaapisha mawakili alisema tangazo lilitolewa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) mwaka 2012 linawataka wasikamate watu kabla ya upelelezi kukamilika.

“Kwa bahati mbaya hilo halifuatwi utakuta watu wanakamatwa ndipo upelelezi unaanza hilo linachangiwa, alisesema Jaji Mkuu.

Aidha, Jaji Mkuu alisema kumekuwa na changamoto upelelezi kutumia muda mrefu kukamilika hivvyo wapelelezi wanatakiwa kulaumiwa na sio mahakama.

“Watu wa kulaumiwa hasa ni wspelelezi na sio mahakama upelelezi unachukua muda mrefu na sababu wanazozitoa mahakamani hazina mashiko sisi tunataratibu zetu ambazo DPP alishazitoa katika tangazo la mwaka 2012,” alisema Jaji Mkuu.

Aliongezea kuwa:” Tangazo linasema usimkamate mtu kabla ya upelelezi kukamilisha bahati mbaya hilo halifuatwi watu wanawakamata ndipo upelelezi unaanza inachabgia kuongeza wafungwa gerezani,” alisema Jaji Mkuu.
Amwambie boss wake anayetoa maagizo ya kuteka na kukamata then uhujumu uchumi, wakati uchumi wenyewe hauonekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nimepitia maandiko yake kadhaa na kuona kuwa kuna harufu ya uchochezi wa ghasia

Mimesikikiza recorded voice na kujilidhisha kuwa membe amevuka mipaka

Nimeona kundi lililopo nyuma yake nakujilidhisha kuwa membe anania ovu


Nimeona kauli zake za uchochezi kuhusu watu kutekwa na wasiwasi wa watumishi wa umma ni kweli mbembe amekengeuka

Hitimisho

Sio mambo ya kuwakamata wachochezi wadogo na wanasiasa wa upinzani tu hata ndani ya chama pia maana Charity began at home so badala ya kumuita kwenye KAMATI ya kichama apelekwe kwenye sheria za nchi bila kujali alikuwa nani na yuko nyuma ya nani tufanye sawa kama kwa wapinzani na wanaharakati


USSRView attachment 1307882View attachment 1307883View attachment 1307884View attachment 1307885View attachment 1307886

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hupendi taifa lenye haki?
 
Muda wa mazoezi huu mkuu hakuna wanga wala kabohaidreti

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpumbavu... vijana wa aina yako ndio mna lirudisha nyuma hili taifa miaka 60 iliyopita. Membe kaongea ukweli. Na ukweli siku zote unauma! Pia unatoa amri ukiwa kama nani.? Go to hell
 
Wewe ni mpumbavu... vijana wa aina yako ndio mna lirudisha nyuma hili taifa miaka 60 iliyopita. Membe kaongea ukweli. Na ukweli siku zote unauma! Pia unatoa amri ukiwa kama nani.? Go to hell
Avatar yako inatia wasiwasi kama bado unajisaidia vizuri


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nimepitia maandiko yake kadhaa na kuona kuwa kuna harufu ya uchochezi wa ghasia

Mimesikikiza recorded voice na kujilidhisha kuwa membe amevuka mipaka

Nimeona kundi lililopo nyuma yake nakujilidhisha kuwa membe anania ovu


Nimeona kauli zake za uchochezi kuhusu watu kutekwa na wasiwasi wa watumishi wa umma ni kweli mbembe amekengeuka

Hitimisho

Sio mambo ya kuwakamata wachochezi wadogo na wanasiasa wa upinzani tu hata ndani ya chama pia maana Charity began at home so badala ya kumuita kwenye KAMATI ya kichama apelekwe kwenye sheria za nchi bila kujali alikuwa nani na yuko nyuma ya nani tufanye sawa kama kwa wapinzani na wanaharakati


USSRView attachment 1307882View attachment 1307883View attachment 1307884View attachment 1307885View attachment 1307886

Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry kwa kukuita mjinga! Imenilazimu tu.
Uchochezi ni upi hapo katika Tweet za Membe?
Mtu kujitenga na unafiki kawa mchochezi?
Kwa taarifa yako kutofautiana kimtizamo hiyo ni fursa kwenu praise team ila kwa kuwa nyie ni vipofu hilo hutolielewa! Pole sana.
 
CJ hapa anzingua how comes mtu usalama wake upo hatarini utaacha kumkamata au si anaweza vuruga uchungiz
Athumani Ally Maumba Vs Republic
Hii case hakuwahi isoma kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom