Jaji Mkuu anapaswa akemee matumizi mabaya ya Mhimili wa mahakama kukomoa wananchi wasiokuwa na hatia

Jaji Mkuu anapaswa akemee matumizi mabaya ya Mhimili wa mahakama kukomoa wananchi wasiokuwa na hatia

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Kumekuwepo na kesi za kisiasa ambazo kimsingi hazina ushahidi wa kuthibitisha madai husika.

Raia wamekua wakikaa mahabusu muda mrefu kwa kesi za kubumba kabisa.

Ushahidi wa hayo ni kesi za sabaya ambazo zilifunguliwa kisiasa tu na imethibitika hivyo baada ya mahakama kuona katika kesi zote mbili ushahidi ulikua na utata au hakukuwa na kesi kabisa.

Ukiachana na kushinda kwa kesi hizo zote mbili bado DPP ameruhusu kufungua kesi nyingine kama zile zilizokwisha mkoa mwingine. Mwisho wa kesi hii nao hautakua tofauti sana na hizo nyingine kwani tuhuma zinafanana.

Kutokana na hali hiyo ipo wazi kabisa kwamba mahakama inatumika kama fimbo ya kuumiza Raia.

Na sio jambo jema kwa Jaji mkuu kuruhusu mhimili anao uongoza kutumika vibaya.

Jaji mkuu anapaswa kusimama kidete na kulinda heshima ya mahakama dhidi ya vitendo vinavyopelekea heshima yake kushuka kama hiki cha kutumia mahakama kuadhibu watu.
 
Unamtetea jambazi?

Yeye mwenyewe kwenye ushahidi wa alisema kuwa alikuwa anayatenda yote kwa maagizo ya mteuzi wake .
alisema kuwa alikuwa anayatenda yote kwa maagizo ya mteuzi wake .!
 
Kumekuwepo na kesi za kisiasa ambazo kimsingi hazina ushahidi wa kuthibitisha madai husika.

Raia wamekua wakikaa mahabusu muda mrefu kwa kesi za kubumba kabisa.

Ushahidi wa hayo ni kesi za sabaya ambazo zilifunguliwa kisiasa tu na imethibitika hivyo baada ya mahakama kuona katika kesi zote mbili ushahidi ulikua na utata au hakukuwa na kesi kabisa.

Ukiachana na kushinda kwa kesi hizo zote mbili bado DPP ameruhusu kufungua kesi nyingine kama zile zilizokwisha mkoa mwingine. Mwisho wa kesi hii nao hautakua tofauti sana na hizo nyingine kwani tuhuma zinafanana.

Kutokana na hali hiyo ipo wazi kabisa kwamba mahakama inatumika kama fimbo ya kuumiza Raia.

Na sio jambo jema kwa Jaji mkuu kuruhusu mhimili anao uongoza kutumika vibaya.

Jaji mkuu anapaswa kusimama kidete na kulinda heshima ya mahakama dhidi ya vitendo vinavyopelekea heshima yake kushuka kama hiki cha kutumia mahakama kuadhibu watu.
Jinga kabisa
 
Kumekuwepo na kesi za kisiasa ambazo kimsingi hazina ushahidi wa kuthibitisha madai husika.

Raia wamekua wakikaa mahabusu muda mrefu kwa kesi za kubumba kabisa.

Ushahidi wa hayo ni kesi za sabaya ambazo zilifunguliwa kisiasa tu na imethibitika hivyo baada ya mahakama kuona katika kesi zote mbili ushahidi ulikua na utata au hakukuwa na kesi kabisa.

Ukiachana na kushinda kwa kesi hizo zote mbili bado DPP ameruhusu kufungua kesi nyingine kama zile zilizokwisha mkoa mwingine. Mwisho wa kesi hii nao hautakua tofauti sana na hizo nyingine kwani tuhuma zinafanana.

Kutokana na hali hiyo ipo wazi kabisa kwamba mahakama inatumika kama fimbo ya kuumiza Raia.

Na sio jambo jema kwa Jaji mkuu kuruhusu mhimili anao uongoza kutumika vibaya.

Jaji mkuu anapaswa kusimama kidete na kulinda heshima ya mahakama dhidi ya vitendo vinavyopelekea heshima yake kushuka kama hiki cha kutumia mahakama kuadhibu watu.

Ni upumbavu kwa office ya DPP kukubali kutumiwa na makundi ya watu fulani kulipiza kisasi dhidi ya watu wengine!
 
Ni upumbavu kwa office ya DPP kukubali kutumiwa na makundi ya watu fulani kulipiza kisasi dhidi ya watu wengine!
taswira ya ofisi ya DPP imechafuka mbele ya jamii.

Mahakama isikubali kutumika kisiasa.

DPP aonywe anachokifanya sio haki kabisa yeye na ofisi yake.
 
Kumekuwepo na kesi za kisiasa ambazo kimsingi hazina ushahidi wa kuthibitisha madai husika.

Raia wamekua wakikaa mahabusu muda mrefu kwa kesi za kubumba kabisa.

Ushahidi wa hayo ni kesi za sabaya ambazo zilifunguliwa kisiasa tu na imethibitika hivyo baada ya mahakama kuona katika kesi zote mbili ushahidi ulikua na utata au hakukuwa na kesi kabisa.

Ukiachana na kushinda kwa kesi hizo zote mbili bado DPP ameruhusu kufungua kesi nyingine kama zile zilizokwisha mkoa mwingine. Mwisho wa kesi hii nao hautakua tofauti sana na hizo nyingine kwani tuhuma zinafanana.

Kutokana na hali hiyo ipo wazi kabisa kwamba mahakama inatumika kama fimbo ya kuumiza Raia.

Na sio jambo jema kwa Jaji mkuu kuruhusu mhimili anao uongoza kutumika vibaya.

Jaji mkuu anapaswa kusimama kidete na kulinda heshima ya mahakama dhidi ya vitendo vinavyopelekea heshima yake kushuka kama hiki cha kutumia mahakama kuadhibu watu.
Leo kwa Sabaya mnaona ni kaonewa et kesi ya kisiasa mpaka manaitolea povu mahakama mmesahau nyie ndie wale mashabiki mnaoihamasisha mahakama kutumika kwenye kesi dhidi ya wapinzani wenu wa kisiasa. Mlikuwa mnatoa maneno ya kejeli dhidi ya kesi za kina Mbowe na Lisu n.k acheni na nyie muoneshwe inavyokuwaga na uchungu
 
Nitatoa rai yangu baada ya kesi zake zote kukamilika mahakamani...!
Kwa mtindo huu unadhani zitakwisha??

Huyu DPP akiachwa ataendelea kufungua kesi kila uchwao ili kumkomesha tu.
 
To be honest, mahakama na mfumo wa utoaji haki Tanzania ni takataka
 
Leo ndio mnaliaona hili? [emoji23][emoji23]
Hii mbona ndio ilikuwa modus operandi ya jiwe, na sio DPP tu hadi uhamiaji na taasisi nyingine kibao, tena wazi wazi kabisa bila aibu

Kitendo cha kipumbavu kikifanywa hata mara elfu moja bado hakigeuki kuwa kitendo cha busara!
 
CCM mjipambanue tujue moja kuwa UVCCM mlikua mnapika vibaka na majambazi mliowatumia awamu ya 5 kutesa watu.

Hakuna kuzunguka jambazi ni jambazi mbona hausemi watu waliokua wakimpinga dikteta wengine walichukuliwa hadi passport zao kwa sababu za kisiasa kusema ukweli hukuja hapa kusema?

Askofu Niwemugizi alichukuliwa passport yake kwa sababu zipi za msingi.?

Nadhani ungesema ni muda wa kulaani matendo ya kidhalimu na kufungua kesi za kutosha dhidi ya waliotumia ofisi vibaya kuumiza watu awamu ya 5 wewe unasema kesi ziishe sababu unaona ukifikiwa sababu ulikua mnufaika.

Haki huinua taifa.
 
Back
Top Bottom