Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Kumekuwepo na kesi za kisiasa ambazo kimsingi hazina ushahidi wa kuthibitisha madai husika.
Raia wamekua wakikaa mahabusu muda mrefu kwa kesi za kubumba kabisa.
Ushahidi wa hayo ni kesi za sabaya ambazo zilifunguliwa kisiasa tu na imethibitika hivyo baada ya mahakama kuona katika kesi zote mbili ushahidi ulikua na utata au hakukuwa na kesi kabisa.
Ukiachana na kushinda kwa kesi hizo zote mbili bado DPP ameruhusu kufungua kesi nyingine kama zile zilizokwisha mkoa mwingine. Mwisho wa kesi hii nao hautakua tofauti sana na hizo nyingine kwani tuhuma zinafanana.
Kutokana na hali hiyo ipo wazi kabisa kwamba mahakama inatumika kama fimbo ya kuumiza Raia.
Na sio jambo jema kwa Jaji mkuu kuruhusu mhimili anao uongoza kutumika vibaya.
Jaji mkuu anapaswa kusimama kidete na kulinda heshima ya mahakama dhidi ya vitendo vinavyopelekea heshima yake kushuka kama hiki cha kutumia mahakama kuadhibu watu.
Raia wamekua wakikaa mahabusu muda mrefu kwa kesi za kubumba kabisa.
Ushahidi wa hayo ni kesi za sabaya ambazo zilifunguliwa kisiasa tu na imethibitika hivyo baada ya mahakama kuona katika kesi zote mbili ushahidi ulikua na utata au hakukuwa na kesi kabisa.
Ukiachana na kushinda kwa kesi hizo zote mbili bado DPP ameruhusu kufungua kesi nyingine kama zile zilizokwisha mkoa mwingine. Mwisho wa kesi hii nao hautakua tofauti sana na hizo nyingine kwani tuhuma zinafanana.
Kutokana na hali hiyo ipo wazi kabisa kwamba mahakama inatumika kama fimbo ya kuumiza Raia.
Na sio jambo jema kwa Jaji mkuu kuruhusu mhimili anao uongoza kutumika vibaya.
Jaji mkuu anapaswa kusimama kidete na kulinda heshima ya mahakama dhidi ya vitendo vinavyopelekea heshima yake kushuka kama hiki cha kutumia mahakama kuadhibu watu.