Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yeye mwenyewe ni mfano mbaya kabisa usiofaa kuigwa.
Hawa watu wakati mwingine hujitoa akili kichwani na kudhani wengine hawana akili kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yeye mwenyewe ni mfano mbaya kabisa usiofaa kuigwa.
Hawa watu wakati mwingine hujitoa akili kichwani na kudhani wengine hawana akili kabisa!
Hivi kwanini asingenyamaza tu ?Jaji mkuu ameongea inavyopaswa kuwa, lakini uhalisia ni kinyume chake. Toka alipoingia kuwa jaji mkuu na jinsi alivyopata ujaji mkuu, yeye ndio amegeukia kuwa dhaifu kabisa kwa watawala.....
Asante mh jajiView attachment 2293211
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amewaapisha Mahakimu Wakazi wapya 20 na kuwapa angalizo kuhusu matumizi ya mitandao na marafiki wanaowazunguka....
"Nileteeeeeni Gwajimaaaaaaa" " mkurugenzi nakulipa mshahara nikupe na usafiri nakupa halafu unamtangaza mpinzani kashinda"Dpp ana chama cha siasa? Maana alifuta kesi ya gaidi Mbowe kijinga sana
Hii nafasi ni kubwa sn inahitaji mtu mwenye uwezo na siyo ukadaJaji mkuu ameongea inavyopaswa kuwa, lakini uhalisia ni kinyume chake. Toka alipoingia kuwa jaji mkuu na jinsi alivyopata ujaji mkuu, yeye ndio amegeukia kuwa dhaifu kabisa kwa watawala.
Kwa kiwango kikubwa mahakama chini yake, imetumika na wanasiasa wa chama tawala kwa jinsi walivyotaka. Watu wengi wamefungwa kwa kesi za wazi za kubambikiwa.
Na ukweli huo anaujua lakini hana la kufanya aidha kwa hofu ya kusema ukweli, au kulinda ulaji. Kwa sasa watu wengi wamepoteza imani na mahakama kuliko ilivyokuwa hapo awali.
Mahakama kwa sasa imekuwa ni sehemu ya kukomoa watu kuliko kutoa haki.
Wamrudishe akafundishe kazi ya Jaji mkuu haiwezi hata kdg, mahakama imekuwa kama tawi la CCMYeye mwenyewe ni mfano mbaya kabisa usiofaa kuigwa.
Hawa watu wakati mwingine hujitoa akili kichwani na kudhani wengine hawana akili kabisa!
Uwezo anao tena mkubwa sana tatizo labda ni kuwa tayari kutumia uwezowake.Hii nafasi ni kubwa sn inahitaji mtu mwenye uwezo na siyo ukada