Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya aina hiyo mpeleke mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama"

Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi Wateule Jijini Dar es Salaam, na kuwataka walioapishwa kuepuka mitego ya kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya aina hiyo mpeleke mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama"

Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi Wateule Jijini Dar es Salaam, na kuwataka walioapishwa kuepuka mitego ya kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
Tukisema hamko huru mnatishia kutumia nguvu za kimahakama kutufunga. Haya Sasa Leo mmesema wenyewe kuna watu wanawapigia simu kuwatisha/kuwaamuru mtoe hukumu wanavyotaka wao. Tume ya utumishi wa Mahakama unampeleka Hakimu au Jaji, kama umepigiwa na Wakubwa seriakalini àmbao mmewafanya wenyeviti wa kamati za Mahakama huyo Hakimu atampeleka wapi?
Hata hivyo afadhali mmekiri kwamba kwenye baadhi ya kesi huwa mnapokea maamuzi toka juu.
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya aina hiyo mpeleke mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama"

Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi Wateule Jijini Dar es Salaam, na kuwataka walioapishwa kuepuka mitego ya kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
Eeeh kumbe Jaji Liganga wanampigia sana Simu??🤣🤣🤣

Eeh Mungu endelea kuwaumbua hawa
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya aina hiyo mpeleke mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama"

Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi Wateule Jijini Dar es Salaam, na kuwataka walioapishwa kuepuka mitego ya kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
Yan hili lijuma ndo maana jiwe alikaa miezi 6 bila kulithibitisha kazini, kiazi kweli yan
 
Nilidhani pia ataongelea dhana ya majaji wa michongo kama yule aliyetajwa na WikiLeaks kuwa ni TISS na hupewa kesi maalum
 
Tanzania haijawahi kupata Jaji Mkuu wa hovyo kabisa kama Prof. Ibrahim Juma ambaye alikuwa mwalimu wangu pale UDSM na kwa namna alivyokuwa mtu wa staha na mpole na mcheshi kiasi sikutarajia kumbe ana uwezo mdogo wa uongozi wa Mahakama kiasi hiki.

Toka ameteuliwa hii nafasi hajawahi kuitendea haki Kama majaji wakuu wengine waliopita kama Samatta, nk ukiacha majaji wa Mahakama za juu kama marehemu Mwalusanya J, Lugakingira J as he then was.

Ameishia kuwa Jaji Mkuu wa matamko tu Kama mwanasiasa. Ameharibu sana muundo wa seniority kwenye Mahakama na staff ikiwemo muundo wa mawakili, practice, seniority, uchaguzi wa TLS, namna ya ushiriki nk.

Ameishushia Mahakama hadhi yake kwa kuruhusu kuendeshwa kwa kesi zenye utata wa kisheria na kiutendaji pia kesi za uhujumi uchumi ambazo zilikataza dhamana kwa watuhumiwa ingali anafahamu kabisa kwamba right to bail ni haki ya msingi katika utekelezaji wa haki ya mtu binafsi na dhana nzima ya innocence before the court.

Hajawahi kukemea na kuzitamka Sheria kandamini kwamba zipo kinyume na Katiba ya nchi. Amezipokea Sheria kama ya vyombo vya habari, Sheria ya mitandao, Sheria ya uhujumu uchumi, Sheria ya terrorism, na Sheria nyingine nyingi ambazo zipo kinyume na Katiba yetu.

Magufuli alimteua akijua kabisa huyu hajakulipa kwenye judiciary alikuwa lecturer tu hana ethics za uhakimu au judiciary.

Majaji wakuu waliokulia kwenye judiciary Wana sifa ya kutoendeshwa na serikali kuu (executive). Wamekuwa wakikemea sheria mbovu zinazotungwa bungeni na wamekuwa wakizikataa kuzitumia Mahakamani kwa kuwa zilikuwa kinyume na Katiba Ila huyu aliyepo yeye ni matamko ya jukwaani na sio akiwa functus officio.

Ndio maana judiciary imekuwa jalala la lawama za ukandamizaji wa haki ingali mwarobaini wake anaufahamu huyu Shemeji yake Mzee Shimbo.
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya aina hiyo mpeleke mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama"

Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi Wateule Jijini Dar es Salaam, na kuwataka walioapishwa kuepuka mitego ya kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
Jaji kupigiwa simu ni njia mojawapo ya "KULA UREFU WA KAMBA YAKE" waacheni wapigiwe tu. Simu watakazoripoti ni zile za kuwatishia. Za mpunga watamalizana na mpiga simu.

Nikisema "JAMUHURI YA MUUNGANO WA TZ" mnajibu "KILA MBUZI ALE UREFU WA KAMBA YAKE"
 
Jinale baba wa Imani ila matendo yake hayahusu imani.ndani ya utawala wake Kama jaji mkuu tumeshuhudia kesi nyingi za kindezi na yeye Hajawahi toka hadharani akikemea kesi hizi..He is The puppet of Politicians huku usomi wake ukiwekwa mfukoni kabsaa!!
 
Tanzania haijawahi kupata Jaji Mkuu wa hovyo kabisa kama Prof. Ibrahim Juma ambaye alikuwa mwalimu wangu pale UDSM na kwa namna alivyokuwa mtu wa staha na mpole na mcheshi kiasi sikutarajia kumbe ana uwezo mdogo wa uongozi wa Mahakama kiasi hiki.

Toka ameteuliwa hii nafasi hajawahi kuitendea haki Kama majaji wakuu wengine waliopita kama Samatta, nk ukiacha majaji wa Mahakama za juu kama marehemu Mwalusanya J, Lugakingira J as he then was.

Ameishia kuwa Jaji Mkuu wa matamko tu Kama mwanasiasa. Ameharibu sana muundo wa seniority kwenye Mahakama na staff ikiwemo muundo wa mawakili, practice, seniority, uchaguzi wa TLS, namna ya ushiriki nk.

Ameishushia Mahakama hadhi yake kwa kuruhusu kuendeshwa kwa kesi zenye utata wa kisheria na kiutendaji pia kesi za uhujumi uchumi ambazo zilikataza dhamana kwa watuhumiwa ingali anafahamu kabisa kwamba right to bail ni haki ya msingi katika utekelezaji wa haki ya mtu binafsi na dhana nzima ya innocence before the court.

Hajawahi kukemea na kuzitamka Sheria kandamini kwamba zipo kinyume na Katiba ya nchi. Amezipokea Sheria kama ya vyombo vya habari, Sheria ya mitandao, Sheria ya uhujumu uchumi, Sheria ya terrorism, na Sheria nyingine nyingi ambazo zipo kinyume na Katiba yetu.

Magufuli alimteua akijua kabisa huyu hajakulipa kwenye judiciary alikuwa lecturer tu hana ethics za uhakimu au judiciary.

Majaji wakuu waliokulia kwenye judiciary Wana sifa ya kutoendeshwa na serikali kuu (executive). Wamekuwa wakikemea sheria mbovu zinazotungwa bungeni na wamekuwa wakizikataa kuzitumia Mahakamani kwa kuwa zilikuwa kinyume na Katiba Ila huyu aliyepo yeye ni matamko ya jukwaani na sio akiwa functus officio.

Ndio maana judiciary imekuwa jalala la lawama za ukandamizaji wa haki ingali mwarobaini wake anaufahamu huyu Shemeji yake Mzee Shimbo.
Kumbe shemeji yake na Shimbo, hovyo kweli
 
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya aina hiyo mpeleke mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama"

Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi Wateule Jijini Dar es Salaam, na kuwataka walioapishwa kuepuka mitego ya kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
Anaposema kumingilia i hope hamaanishi kuingilia ile nyengine 😀
😀😀
 
Back
Top Bottom