Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Akitokea mtu akaweka kadi yake ya CCM hadharani atakuwa tayari kujiuzulu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya nyumba yake amesimika bendera kabisakuna hakimu anaitwa Simba,huyu ni sawa na kada kabisaa!
Jamani mwacheni marehemu apumzike kwa amani!Hivi jaji Agostino ramadhani yeye ibara ya 5 ya katiba alikua haijui?
Kwani Tulia ni jaji au hakimu?!Hivi Tulia alipata kadi lini hadi kugombea u naibu spika?! Tuanzie hapo mh. CJ.
Siyo ni sawa huyu ni kada mwenzetukuna hakimu anaitwa Simba,huyu ni sawa na kada kabisaa!
Hata yeye ni CCM damuKwani aliyekuwa Jaji Mkuu marehemu Agustino Ramadhani alichukua fomu ya kugombea Uraisi kupitia chama gani?
Au alikuwa mgombea binafisi?
Au sisi ni wajinga sana tumesahau?
Ndio maana wengine wakistaafu wanagombea, mfano, marehemu Jaji Augustino Ramadhani!Jaji acha uongo. Wengi wenu mnazo kadi mioyoni mwenu.
Ongeza wanajeshi,Polisi, usalama wa taifa, walimu, Nwa watumishi wote wa Umma hawatakuwi kufanya kazi kwa mlengo wa kisiasa ila wanabaki na Haki ya kupiga Kula
Hongera JWTZ na Mahakama kwa kujitenga na CCM mwaka huu.
Asidanganye Watu wote wana Kadi haoHivi jaji Agostino ramadhani yeye ibara ya 5 ya katiba alikua haijui?