We nenda tu ukajichimbie hukuTumeanza kuwa nchi ya kutetea MAJIZI na WAHALIFU.
Kwamba kwa sasa katika nchi yetu, DPP ndiye mwenye makosa na sio MAJIZI na MAUZA NGADA.
DPP anapoyashughulikia MAJIZI na MAUZA NGADA, anaambiwa "anabambikiza".
What is "kubambikiza" in a real contextual and legal meaning?
Utaumia sana, mungu wako analiwa na funza, Rais anapiga kaziHahahaa.... we kweli mwendawazimu!
Kifo ni kwa ajili ya kila mtu!
Ona bibi yako hapo chini anapewa uroda na makonda...View attachment 1790985
Biswalo aliifanya ofisi ya DPP kuwa ni sehemu mojawapo ya makazi ya shetani, naye binafsi akiwa mhudumu mkuu katika jumba la shetani.Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika kazi yake anatakiwa kuwa na nia ya kutenda Haki akimtaja chujio la kwanza katika masuala ya Haki.
Pia amesema DPP amepewa wajibu wa kuzuia matumizi mabaya ya taratibu katika mfumo wa utoaji Haki na kuangalia maslahi ya Taifa akiongeza, "Hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia katika kazi yake".
Aidha kwa upande wa maslahi ya Umma, Prof. Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka lazima asikilize wanacholalamika wananchi na maeneo yenye tatizo.
Huyu jaji mkuu alikuwa anashiriki mpaka vikao vya siri vya chama kwaajili ya kupanga hukumu za wasiotakiwa na jiwe.Huyu Pro naye sijui Jaji Mkuu huwa sijui hata anafanya nini huyu mzee? kazi yake kubwa ni kulalamika kama wananchi wanavyolalamika. Over
Hakuna mwenye akili anayeweza kuuliza maana ya kubambikizia mtu kesi.Tumeanza kuwa nchi ya kutetea MAJIZI na WAHALIFU.
Kwamba kwa sasa katika nchi yetu, DPP ndiye mwenye makosa na sio MAJIZI na MAUZA NGADA.
DPP anapoyashughulikia MAJIZI na MAUZA NGADA, anaambiwa "anabambikiza".
What is "kubambikiza" in a real contextual and legal meaning?
Tangu tupate uhuru, hatukuwahi kuwa na jaji mkuu asiye na msaada katika kulinda haki, ka huyu wa sasa.Jaji Mkuu anataka kujikosha. Kuna Jaji alimuachia Lema pamoja na DPP kutaka aendelee kukaa ndani. Wakati wa kumuachia Jaji akamwambia DPP kuwa wananajis katiba ( kama sikosei). Hakimu anaweza kumpa DPP muda wa kukamilisha uchunguzi ama sivyo anaifuta kesi. Huo uwezo wanao.
Amandla...
Kama una furaha malalamiko ya nini?Usinilazimishe kuwa na maumivu ambayo sina. I am very alive and happy!
Mimi nashangaa tu huyo BIBI KIZEE wenu anavyotetea MAJIZI kwa kasi ya 4G.
Na kwa habari ya funza, naamini hata mama yako ambaye ni marehemu anatafunwa pia.
Na kwa jinsi mama yako alivyokuwa na makalio makubwa, sipati picha funza wanavyofaidi yale mafuta.
Lile la mabati?Biswalo ana sehemu maalum kule kaburini.
Sasa yale mabati yaende hadi ardhiniLile la mabati?
Una point lakini tukiendelea kuwa na watu wanaodhani wajibu wao ni kwa aliyewateua na sio katiba waliyoapa kuilinda, basi hata iwe nzuri vipi itavunjwa with impunity.Mkuu hapa naona umejichanganya. Umesema sahihi kwamba tunahitaji kuwa na taasisi imara. Lakini umesahau kuwa ukiwa na Katiba isiyoruhusu kuwa na Taasisi huru, Taasisi haziwezi kuwa imara. Kama kila kiongozi wa Taasisi anachaguliwa na #1 na kufutwa kazi mara moja na huyo huyo #1 anapojisikia, sahau maana huwezi jenga taasisi imara kwenye matope na kinyesi!
Pole sana. Mimi mawazo yangu haitoshi kusema tu kuwa watu walioonewa wameachiwa bila kusema watesi wao wamechukuliwa hatua gani. Ujumbe unatakiwa kutolewa kuwa ukifanya uovu utalipa. Nje ya hivyo wataendelea kufanya.Imagine, cases kama hizi:[emoji116]
Nimemsikia mama akisema TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizowabambikia watu. Pigia mstari neno KUBAMBIKIA. Yani TAKUKURU wanakiri mbele ya Rais kuwa waliwabambikia watu kesi na wamekubali kuzifuta. Nimewaza sana kuhusu hao waliobambikiwa, familia zao, watoto wao na ndugu zao.
Nimemkumbuka rafiki yangu Abraham Ngoti ambaye TAKUKURU walimkamata huko Dodoma wakidai kuna kiasi kikubwa cha pesa kimeingizwa kwenye account yake. Akatakiwa kujieleza ni za nini? Wakamsafirisha usiku kama jambazi wakamleta Dar. Wakamuweka mahabusu yao kule Upanga.
Baada ya siku mbili TAKUKURU wakasema amejinyonga akiwa mahabusu. Familia haikukubaliana na taarifa hiyo kutokana na mazingira ya kukamatwa kwake hadi kufariki. Alijinyongaje mahabusu? Hakukua na ulinzi? Je inawezekana kujinyonga kwa kutumia suruali ya jeans? Inawezekana kujinyonga dirishani hadi kufa bila kujitetea kwa kushika nondo za dirisha? Inawezekana kujinyonga miguu ikiwa imegusa chini?
Maswali haya ndio yaliyofanya familia yake kuomba iundwe tume huru ifanye uchunguzi juu ya kifo cha ndugu yao. Lakini hakuna kilichofanyika. Waliambiwa maiti yenu hiyo hapo, mkazike.
Nimejaribu kuwaza hivi kama alibambikiziwa kesi kama hawa 147 anajisikiaje huko alipo. Kama wafu wanaona yanayoendelea duniani pengine anawalaani sana TAKUKURU.
Nampongeza mama kwa jitihada zake za kuibadilisha TAKUKURU. Nampongeza pia kwa kutoa maelekezo kwenye vyombo vingine kama Polisi na ofisi ya DPP. Lakini naomba atilie mkazo maelekezo hayo maana kuna wengi wamebambikiwa kesi na wanasota gerezani.
Mdude Nyagali anateseka rumande zaidi ya mwaka mmoja. Kila siku Jamhuri inaomba kesi isogezwe mbele kwa sababu ushahidi haujakamilika. Lakini ni Jamhuri hiyohiyo iliyosema imemkamata Mdude na kete za heroine nyumbani kwake. Kama kweli walimkamata na heroine ni ushahidi gani zaidi wanatafuta mwaka mzima?
Mazingira kama haya ndio yanafanya familia ya Mdude ihisi kwamba huenda kesi ya ndugu yao ni ya kubambikiziwa pia. Mama tafadhali ingilia kati. Taifa limepita kipindi kigumu sana wakati wa mwendazake, ni wakati sasa wa kuponya majeraha. We need truth and reconciliation.! MALISA
Sent using Jamii Forums mobile app
Biswalo mnamuonea bure, ni nani aliweza kwenda kinyume na Jiwe kipindi cha utawala wake? Wengine si wamekimbia mpaka nchi kumuogopa Jiwe? Mlitaka Biswalo apingane naye yampate ya kumpata?
Kwa katiba hii ni kuomba kuwa na Rais mwenye hofu ya Mungu, akiwa firauni ni hatari
Katika maisha yangu hakuna mtu naye muogopa ambaye kutwa kumtaja taja
Mungu au fivungu vya biblia/quran
Ova
Naunga mkono hoja kwamba kila mtu anapenda maisha yake, hao CHADEMA wenyewe wanamzomea Biswalo viongozi wao walikimbia nchi kwa kuogopa, Ila wanataka Biswalo ndo angejitoa muhanga.Biswalo mnamuonea bure, ni nani aliweza kwenda kinyume na Jiwe kipindi cha utawala wake? Wengine si wamekimbia mpaka nchi kumuogopa Jiwe? Mlitaka Biswalo apingane naye yampate ya kumpata?