Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma: DPP ni chujio la kwanza la haki

Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma: DPP ni chujio la kwanza la haki

Una point lakini tukiendelea kuwa na watu wanaodhani wajibu wao ni kwa aliyewateua na sio katiba waliyoapa kuilinda, basi hata iwe nzuri vipi itavunjwa with impunity.

Amandla..
Uko sahihi ni kwamba sikuelezea kirefu zaidi, lakini tukishakuwa na mfumo shirikishi wa kuchagua viongozi wanaochaguliwa wanakuwa na maadili zaidi.
 
Pole sana. Mimi mawazo yangu haitoshi kusema tu kuwa watu walioonewa wameachiwa bila kusema watesi wao wamechukuliwa hatua gani. Ujumbe unatakiwa kutolewa kuwa ukifanya uovu utalipa. Nje ya hivyo wataendelea kufanya.

Amandla...
Sahihi kabisa na hii itakuwa fundisho kwa wengine na tutaona dhana ya uwajibikaji ikifanya kazi
 
Kwenye Mamlaka hizo Mama weka Waislamu wenye hofu ya MUNGU hao kina Sabaya mpaka wajirekebishe , MTU anamtaja MUNGU mara 100 Kwa siku matendo yake Hadi Shetani haamini.
Kwa kweli na kwa dhati ya moyo wangu, naona waislamu ni watu wema sana hasa wale walioshika vzr dini yao. Wengi wanahuruma, wakweli na wapenda haki. Angalia hata vipindi ambavyo viongozi wakuu wa nchi walipokuwa Waislamu, raia waliishi kwa uhuru mkubwa na upendo. Nashauri Mama Aangalie kuwaweka Waislamu wachamungu kwenye maeneo yanye kuhitaji utu na uwepo wa haki Mf. Ma RPC, TRA, DPP, RSO, DSO, n.k
 
Back
Top Bottom