Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeijibu sawa kabisa Otorong'ong'o...ila ni roho siyo Roho....Najua umenielewa...Kitambo tulipokutana kwenye kudadavua vile vitabu vilivyondolewa kwenye Biblia...Shalom.Roho ya mtu haifi ila humrudia Yeye aliyeitoa..
Kwa Wakristo
Mhubiri 12:7
[7]Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,
Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.
kwenye taaluma ya sheria kujua jaji ametoa hukumu ngapi na ipi more authoritative ni jambo la sifa na ni kawaida. RIP JAJI MSUYA.
Pumzika kwa amani Jaji... Ulikaa kwenye kiti cha kutoa haki Duniani, sasa unaenda kukutana na haki isiyo na unafiki mbele ya kiti cha hukumu chake Muumba. I hope utapenya salama...
simulizi izo...Roho ya mtu haifi ila humrudia Yeye aliyeitoa..
Kwa Wakristo
Mhubiri 12:7
[7]Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,
Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.
Will 'not argue with someone who is ignorant in law'Kajifunze Kwanza maana ya actual communication context na actual communication content kisha ukishaelewa rudi tena uendeleze huu ' Upupu / Upuuzi ' wako uliouanika hapa. Hivi huko Vyuo Vikuu mnakoenda kusoma huwa mnajifunza nini kama vitu vidogo tu hivi vya uwasilishaji wa ujumbe au taarifa mahala au kwa wakati muafaka hamjui? Halafu mnajiita Wasomi. Shame on you!
Hapana mkuu. Asante kwa taarifa. Tumewazoea hao. Kila mtu anajua JF ndio 'kisima cha burudani'...Nimeona hii post yako instagram kuna mbwiga kaipeleka huko, amekutaarifu?
Pambana na Mstari huo wa Biblia...Roho bila mwili?
Basi jua hakuna mtu anae lala sehemu salama. Mtu anapokufa hajui nini kinaendelea duniani