Kwa imani yako na vitabu unavyosoma wewe hatuna haja kuviamini, wala sio lazima kufuata unachoona wewe kuwa ni sawa, kila mtu ana imani yake na maono yake na mtazamo wake jinsi anavyoamini yeye,
Wewe nani hata utuambie "sio sahihi" kwa nini tukuamini wewe kwa lipi?????
Hakuna aliyekufa akarudi atuambie kama maombi hayo yalimsaidia au hayajamsaidia, kama tuna mwamini Mungu na tunaamini anatusikiliza iweje asisikilize tukiomba kwa ajili ya mpendwa wetu,
Hatuna sababu ya kuiga uvivu wako wa kufikiri. Shame on you !!!!!!