Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye taaluma ya sheria kujua jaji ametoa hukumu ngapi na ipi more authoritative ni jambo la sifa na ni kawaida. RIP JAJI MSUYA.Oya sidhani kama hii ni busara ya Kiafrika na jifunze kutenganisha Usela na mambo ya Msiba. Wewe Mtu ameshatangulia mbele za haki badala tuonyeshe masikitiko yetu unakuja tena na maswali yako yasiyo na mbele wala nyuma. Tubadilike Mkuu. Wewe ni Mwanangu / Rafiki yangu mno humu JF ila kwa hili sikuungi mkono na tujifunze kuheshimu Umauti.
R.I.P Retired Judge Madam Upendo Msuya na pole pia kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote.
Mungu wangu,kama ndio iko ivyo viongozi wengi wameoza jamani...ila kwa nini wasiwe na hofu ya Mwenyezi Mungu maana hatuishi milele kuna hukumu mbele yetu...Maisha ya duniani ni ya kupita tu....MweeSiyo kweli alipingwa na kamishina wa madawa ya kulevya kwamba anawatetea wauza madawa akaamua kujiuzulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, R.I.P wafiwa.Tunaposema RIP mara nyingi twakosea, mtu akifa amekufa hajui chochote kinachoendelea duniani
Zaidi tutoe pole kwa familia yake na ndugu zake na watu waliokuwa karibu naye
Halafu kakusingizia eti mpalestina, mwambie ashindwe kwa jina la Yesu, wagalatia siyo wapalestina.Duh hili limenitoka huwa sina maneno haya
Ni bora usingeandika yaaniSawa, R.I.P wafiwa.
Kwa hiyo neno R.I.P litumike vipi ?Tunaposema RIP mara nyingi twakosea, mtu akifa amekufa hajui chochote kinachoendelea duniani
Zaidi tutoe pole kwa familia yake na ndugu zake na watu waliokuwa karibu naye
AminaHalafu kakusingizia eti mpalestina, mwambie ashindwe kwa jina la Yesu, wagalatia siyo wapalestina.