Ulitaka aweke jina la ailvester petro ππππNilijua tuu
Vipi tena mkuu waraka wa TEC unataka utolewe tenaπ€£π€£Nilijua tuu
Hahahaaa mdini sana huyuNilijua tuu
Mtanzania aliyeapishwa kuwa Jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki
Alhamisi, Agosti 24, 2023
View attachment 2728752
Jaji Omar Othman Makungu wa Mahakama ya Afrika Mashariki akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa EAC baada ya hafla ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu jijini Bujumbura. PICHA | EACJ
Muhtasari
Arusha . Jaji wa Tanzania jana aliapishwa kuwa jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ).
- Jaji Omar Othman Makungu, ambaye kwa sasa ni Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma zaidi: Tanzanian sworn in as new East
Huyu jaji ni Shia au Sunni?Mtanzania aliyeapishwa kuwa Jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki
Alhamisi, Agosti 24, 2023
View attachment 2728752
Jaji Omar Othman Makungu wa Mahakama ya Afrika Mashariki akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa EAC baada ya hafla ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu jijini Bujumbura. PICHA | EACJ
Muhtasari
Arusha . Jaji wa Tanzania jana aliapishwa kuwa jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ).
- Jaji Omar Othman Makungu, ambaye kwa sasa ni Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma zaidi: Tanzanian sworn in as new East Africa Court judge
Sahauuuu[emoji1787]Ulitaka aweke jina la ailvester petro [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
SahauuuJe, angekua ni Jaji John Petro ungetoa pongezi?
Hongera BASUTAHongera sana Jaji Omar.
Yaani hiki kibibi,kisingesoma sijui kingekuaje?..ni UDINI UDINI muda wote!Write your reply...JAJI YOHANA YAKOBO TLUWAY usingetoa pongezi..ww bibi acha udini.kpndi cha jk ulikuwa unakesha jf alipoingia magu ukasepa amekuja mama unakesha akija petro utakimbia.
π€£π€£π€£π€£ hiyo siku dunia itageuka juu chini!Ulitaka aweke jina la ailvester petro ππππ
π€£π€£π€£π€£ hiyo siku dunia itageuka juu chini!