Jaji Mtanzania aliyeapishwa kuwa Jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki

Jaji Mtanzania aliyeapishwa kuwa Jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki

🤣🤣🤣🤣🤣 mkuu chai umekunywa lakini?mada inazungumzia KKKT wewe umeingiza uislam umeona haitoshi unaleta habari za dp world

Hatari sana hii hao unaoishi nao hapo jirani kwako nawaonea huruma sana.
 

Mtanzania aliyeapishwa kuwa Jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki​

Alhamisi, Agosti 24, 2023
View attachment 2728752
Jaji Omar Othman Makungu wa Mahakama ya Afrika Mashariki akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa EAC baada ya hafla ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu jijini Bujumbura. PICHA | EACJ

Muhtasari​

  • Jaji Omar Othman Makungu, ambaye kwa sasa ni Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Arusha . Jaji wa Tanzania jana aliapishwa kuwa jaji mpya wa Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ).

Soma zaidi: Tanzanian sworn in as new East Africa Court judge
Nime-scroll chini faster nione jina la Jaji.
 
Back
Top Bottom