Jaji Rwegasira: Nimeagizwa na ngazi ya juu kuulinda mkataba wa LUGUMI

Jaji Rwegasira: Nimeagizwa na ngazi ya juu kuulinda mkataba wa LUGUMI

Msiwe na mchecheto wananchi, serekali yenu ipo imara na itawashulikia wote waliohusika kuazia wamwanzo hadi wamwisho, hili swala tumewaachia wahusika bado wanafanya visibility stady, wakiisha tutatoa taarifa kwa uma.

ile series ya "'story of mafisadi'' kumbe bado inaendelea, siku ikisha hii series na nchi nayo imemalizika, hakuna pombe wala soda, wote ni wale wale tofauti rangi tuu.
 
Pole sana Kama ni mmojawapo Wa wale wanaodhani Sasa amepatijana mkombozi, wapi watakaotolewa kafara Ila wengi watalindwa kwa nguvu zote ili kulinda heshima ya chama
daaaahh... ntaumia sana Magu akiacha hivyo vindumbwendumbwe vitatu
 
Huyo Mzee nilikuwa namuona mchapakaz kumbe nae wa ovyo kabsa!!
 
Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani jaji Projest Rwegasira ametoa ya moyoni kuhusu mkataba iliyopewa Lugumi Enterprises Ltd kusambaza vifaa maalum vya kuchukua alama za vidole kwenye vituo vyote vya jeshi la polisi nchini mwaka 2011.

Ndugu Rwegasira amesema kuwa ameagizwa na mamlaka ya juu kuuzuia mkataba kati ya Lugumi Enterprises Ltd na jeshi la polisi kwa madai kuwa kuutoa hadharani kwa wasio husika nao ni kukiuka taratibu za jeshi hilo.

Aidha ndugu Rwegasira amesema kuwa watakaoruhusiwa kuuona mkataba huo ni kamati ya bunge yenye mamlaka na jeshi la polisi nchini ambayo ni ya mambo ya nje, ulinzi na usalama na si vinginevyo.
Mimi sielewi huo usiri unatokana na nini? Hii si fingerprinting tu! Kuna siri gani hapo?. Endapo kutakuwa na conflict of interest na mjumbe yeyote wa hiyo kamati ya bunge, basi mhusika akae kando. Naomba Ndungai awe makini kwa hilo.

Huyu Rwegasira yuko juu ya polisi au polisi iko juu yake? Wizarani hamna wanasheria wa kumshauri mpaka achukue orders kutoka huko ngazi za juu (kama kuna ukweli wowote katika hii habari), halafu ajikoshe. Yeye should be held responsible kwa maamuzi aliyofanya.
 
Ngazi ipi..kuna ngazi ya juu hapa duniani au ni uwezo w kufikiri mdogo tu..!!!
 
Hapo ndo mtajua pombe siyo chai!! Eti kutumbua majipu? Tumbua hilo hapo basi tukusikie, mbona unaishia kutumbu vichunusi nawe unajitapa unatumbua majipu? Ila na wewe mleta mada naomba nikutukane basi japo kidogo, mamamaeeeeee unaletaje habari bila chanzo?
Hivi wewe Bawacha una akili timamu kweli? Atumbue nini sasa hapo wakati jambo lenyewe haliko wazi kama ni kashifa kweli au lah? Hivi ulimsikia mwenye kiti wa PAC.
 
kumbe huyu naye jipu hajui wananchi ndio mamlaka ya juu zaidi katika nchi?

sijawahi kuona profesa anashindwa kuelewa hilo kuwa watu wote walioko katika utumishi ni waajiriwa tu na mwajiri wao mkuu ni wananchi.

Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani jaji Projest Rwegasira ametoa ya moyoni kuhusu mkataba iliyopewa Lugumi Enterprises Ltd kusambaza vifaa maalum vya kuchukua alama za vidole kwenye vituo vyote vya jeshi la polisi nchini mwaka 2011.

Ndugu Rwegasira amesema kuwa ameagizwa na mamlaka ya juu kuuzuia mkataba kati ya Lugumi Enterprises Ltd na jeshi la polisi kwa madai kuwa kuutoa hadharani kwa wasio husika nao ni kukiuka taratibu za jeshi hilo.

Aidha ndugu Rwegasira amesema kuwa watakaoruhusiwa kuuona mkataba huo ni kamati ya bunge yenye mamlaka na jeshi la polisi nchini ambayo ni ya mambo ya nje, ulinzi na usalama na si vinginevyo.
 
Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani jaji Projest Rwegasira ametoa ya moyoni kuhusu mkataba iliyopewa Lugumi Enterprises Ltd kusambaza vifaa maalum vya kuchukua alama za vidole kwenye vituo vyote vya jeshi la polisi nchini mwaka 2011.

Ndugu Rwegasira amesema kuwa ameagizwa na mamlaka ya juu kuuzuia mkataba kati ya Lugumi Enterprises Ltd na jeshi la polisi kwa madai kuwa kuutoa hadharani kwa wasio husika nao ni kukiuka taratibu za jeshi hilo.

Aidha ndugu Rwegasira amesema kuwa watakaoruhusiwa kuuona mkataba huo ni kamati ya bunge yenye mamlaka na jeshi la polisi nchini ambayo ni ya mambo ya nje, ulinzi na usalama na si vinginevyo.
Nakala kwa Mag 3 .
 
Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani jaji Projest Rwegasira ametoa ya moyoni kuhusu mkataba iliyopewa Lugumi Enterprises Ltd kusambaza vifaa maalum vya kuchukua alama za vidole kwenye vituo vyote vya jeshi la polisi nchini mwaka 2011.

Ndugu Rwegasira amesema kuwa ameagizwa na mamlaka ya juu kuuzuia mkataba kati ya Lugumi Enterprises Ltd na jeshi la polisi kwa madai kuwa kuutoa hadharani kwa wasio husika nao ni kukiuka taratibu za jeshi hilo.

Aidha ndugu Rwegasira amesema kuwa watakaoruhusiwa kuuona mkataba huo ni kamati ya bunge yenye mamlaka na jeshi la polisi nchini ambayo ni ya mambo ya nje, ulinzi na usalama na si vinginevyo.
Maagizo kutoka mamlaka gani? Kama yeye ni Katibu Mkuu ameagizwa na Rais au Waziri Mkuu au Waziri wa Mambo ya Ndani?
 
Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani jaji Projest Rwegasira ametoa ya moyoni kuhusu mkataba iliyopewa Lugumi Enterprises Ltd kusambaza vifaa maalum vya kuchukua alama za vidole kwenye vituo vyote vya jeshi la polisi nchini mwaka 2011.

Ndugu Rwegasira amesema kuwa ameagizwa na mamlaka ya juu kuuzuia mkataba kati ya Lugumi Enterprises Ltd na jeshi la polisi kwa madai kuwa kuutoa hadharani kwa wasio husika nao ni kukiuka taratibu za jeshi hilo.

Aidha ndugu Rwegasira amesema kuwa watakaoruhusiwa kuuona mkataba huo ni kamati ya bunge yenye mamlaka na jeshi la polisi nchini ambayo ni ya mambo ya nje, ulinzi na usalama na si vinginevyo.
Hebu mkuu tupe source, kama ni the guardian mbona kwenye hii habari yako kuna chumvi nyingi?
 
sasa yule fundi viatu naye ni askari ? watuonyeshe upande wa said ule wa polisi waufiche basi , hii nchi kuna mambo yanafanyika kwa kiwango cha kutia aibu kabisa .
 
Thubutu! mkataba unaohusu familia ya mfalme na mtoto wake uwekwe wazi? lile limshamba toka Magu limeshasepeshwa
Yaani huyo mleta mada kawashika na nyinyi mkakubali kushikika? Tafuta the guardian usome kama kweli hiyo habari ipo hivyo kama jamaa alivyoamua kuitengeneza.
 
Lugumi alikuwa mng'arisha viatu tu,wamemtumia tu huyu kijana!
Prince na mkulu mwingine wanahusika hapa so hamna wa kuwagusa,JPM ni Rais ambaye anachagua wa kuwatumbua majipu na wengi wao wanatumbuliwa kama walichukua kambi ingine kisiasa!Pole sana Balozi Batilda
 
Huu mkataba nao unafigisufigisu nyingi, walioutaka ni PAC lakini tunasikia umeenda kamati nyingine mara PCCB wanaufanyia kazi sasa hao watu Rushwa wanaufanyiaje kazi wakati waliouomba hawajapewa na hawaja toa maoni au maazimio yao.
Magufuli anajipanga namna yakuchomoka hapo awaokoe waliomuweka madarakani....
 
Kama ni kweli.... basi kale kawimbo ketu ka ccm ni ile ile... ile ileeee.... pambarampa parampaaaaaa... only in Tz...
 
Hata iweje, hakuna Dr mwenye uwezo wa kulitumbua hilo jipu lilipo. Mwisho wa yote ni kupotea kwa huo mkataba
 
Lugumi ni kipimo cha tatu kigumu kwa Magu

  1. Cha kwanza ni Home Shopping Center (bado hatujajua nini kinaendelea kwani jamaa wanajipambanua kivingine)
  2. Ya pili ni sakala la Bandari (bado tunasubiri kama mtu yeyote wa "maana" ataumia)
  3. Sakata la tatu ni hili la Lugumi/Kitwanga/Mwema (tunaona watu wanabinuka-binuka tu)

Mengine mbwembwe...
Mkuu mbona hapo mengi tu LA singasinga je
 
Aacha uongo kama niivo kwann tuaminishwe kuwa mwenye Kampuni katoroka nchi
 
Back
Top Bottom