Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia shariaNamuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.
View attachment 2670759
Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.
Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo [emoji1484]...
View attachment 2670771
mwanamke shujaa wa mwaka 2023/2023,Namuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.
View attachment 2670759
Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.
Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾
View attachment 2670771
acha wivu mwanamme, mpe mama maua yake asiseme kama katiaba imevunjwa? she woman of the yearKipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Unamuonea wivu kwa kuwa kazinduka?Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
yaani achana nalo huyo, halafu dume hilo, linaandika ujinga, wakati mama katema madini ya kufa mtuUnamuonea wivu kwa kuwa kazinduka?
ndio kashasema, uhakika katafute mwenyewe, yeye ana miaka mitatu amalize huduma, mwacheni mama alitumikie taifa, na wengine waendelee kuvunja katiba waliyoapa kutetea, na mwisho kibwagizo cha Mungu nisaidia, utadhani ni mcha Mungu kweli.....Tupeni uhakika kama hiyo Barua kaandika Kwa mikono yake. Hiyo sahihi siyo ya mtu mwenye hadhi ya Jaji.
Kesho isije ikawa labeled ''fake news''
Kura yangu anayo aamue leoNamuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.
View attachment 2670759
Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.
Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo [emoji1484]
View attachment 2670771
Wapuuzi, chawa wengi sana wa CCM wanapewa support na magenge ya wahuni yanayofadhiliwa na kina rosthamSema kuna wapuuzi Fulani ndio wataka kutupeleka shimoni
Weka hapa barua nzima basi, hii barua ni taamu sana.
mie nimeipenda hiyo "Mugasha bib" safi sanaNamuona mama (pichani chini) anatrend sana, nadhani ni kutokana na barua yake ya kukataa kuungana na walio wachache juu ya 'anachosema' dhuluma kwa watanzania.
View attachment 2670759
Nimesoma sehemu ndogo sana ya barua yake hapo chini, mama yetu huyu sijui ni Msabato kaona liwalo na liwe, hataki hukumu ije mbele yale akose la kujipigania au kujitetea.
Wakati watanzania nchini wanasuguana na walio wachache wenye nguvu kimamlaka juu ya uwekezaji wa bandari yao na wawekezaji wajulikanao kama DPW, mama huyu ambaye ni Jaji wa mahakama ya rufani nchini kaandika mengi ila kuna sehemu ndogo hiyo 👇🏾
View attachment 2670771
ana security of tenure, jaji akiamua kuwa chawa basi kapenda mwenyewe,Sio rahisi kumuadhibu Jaji.
Anandla...